MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,117
Mkuu uwe na uhakika tusije tukauona mche wako na mayai yako meusi
Lowasa anajitambuaaaAkiwa na kosa akatumbuliwa tu! Mbona Lowassa "alishauriwa kujiuzulu" alipoleta dili la Richmond.
Urafiki wa Lowasa kwa JK na Lowassa uikuwa Mkubwa kuliko wa Magu na Kitwanga.
Cheo cha Lowassa kilikuwa kikubwa kuliko cha Kitwanga lakini akatumbuliwa. Akipatikana na Ushahidi "atashauriwa Kujiuzulu" kama Lowassa
ovaaaLowasa anajitambuaaa
nakuunga mkono mi si kukojoa tuu ni kunyaaa hadi huko korogwe na namanga na kuiachia nch haruf chafu ya kinyesNasema hivi Kitwanga akitumbuliwa nakojoa kuanzia hapa Korogwe mpaka Boda ya Namanga.
Ingawa simjui mimi namuunga mkono Okw. Mimi nitatembea uchi siku tatu mfululizo kama nilivyoahid ya January halaf najiua. Hamna namna ikitokea
hatufahamian ndio nlkuwa namaanisha. Haya nenda ukapewe buku 7 yakomkuu kuna watu humu huwa wanaitwa nyumbu, silipendi sana hili neno ila kuna watu mnalazimisha muonekane hivyo
JamiiForums ni zaidi ya TISS!Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.
Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.
Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.
Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Sasa wewe inakuuma nini?Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.
Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.
Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.
Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Hahaha we kweli @mbotok eti unajua anapo kaa?Sasa wewe inakuuma nini?
Ujinga Ushenzi Ubwege na Upumbavu unatokana na maneno unayozungumza.
Sasa Kuna watu chungu tele wenye maovu kibaao unawaacha unaangalia tu mawaziri wa Magu.
Jambo la kipumbavu sana.
Sasa subiri na tunajua unapokaa.
mkuu habar yako bwana?Mbona amekuwa Waziri tangu serikali ya awamu ya 4?...Ama nako alikuwa msiri wa JK?..
Eti atakuwa Waziri wa kwanza kufukuzwa na Bunge...Mbona hakufukuzwa na Bunge kipindi cha Awamu ya 4?