Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

Mnabwabwaja tuu, mh rais, ana haki ya kumteua yeyote aneona anafaa katika kasi yake ya kuwaletea maendeleo wanainchi ili mradi asiwe na chembechembe na vimelea vya ufisadi kama lowassa, kwani makonda ilikwaje he stated from begining dogo huyu anajua kazi, birds with the same colour flock together, kamwombeni slaa awape maneno yakuandika
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Amekuwa akiwatumia Ma-RPC kuwanyanyasa Ukawa mda si mrefu atafunguliwa kesi ya kumlinda mtu aliyegushi hata ya Mahakama lakini kaamua makusudi kuwakomoa walalamikaji wabunge wa chadema.
 
Mnabwabwaja tuu, mh rais, ana haki ya kumteua yeyote aneona anafaa katika kasi yake ya kuwaletea maendeleo wanainchi ili mradi asiwe na chembechembe na vimelea vya ufisadi kama lowassa, kwani makonda ilikwaje he stated from begining dogo huyu anajua kazi, birds with the same colour flock together, kamwombeni slaa awape maneno yakuandika
Richmond ni ya Kikwete mbona kamteua kuwa mkuu wa chuo kikuu? Mwakyembe aliiba pesa za mabehewa mbona kamteua kuwa Waziri ? January Makamba alikuwa akipiga Udalali Kwa kutumia jina la ikulu pia alipiga pesa za kampeni bilion 1.7 mbona kateuliwa kuwa Waziri? Magu mwenyewe alinunua kivuko cha 1978 Kwa bilion 8, wizara ya Ujenzi ilikutwa imewalipa bilion 250 makandarasi hewa.
 
Uliona mbali kweli mkuu na hivi rais anapenda umbea hili nalo atalipata, halafu linamuhusu yeye ajitumbue mwenyewe sasa.
 
Uliona mbali kweli mkuu na hivi rais anapenda umbea hili nalo atalipata, halafu linamuhusu yeye ajitumbue mwenyewe sasa.
Tanzania hakuna Msafi Kwa 100% wengi wana madhambi Yao mda na saa ukifika watasomewa dhambi Yao .
 
Leta uthibitisho kuwa Kitwanga anapokea mshahara. Huyo waziri alishastaafu BOT siku nyingi, kama ni kuchafuana, tafuta hoja nyingine.
ushahidi Tanzania ? Hata ukipewa ushahidi utafanya nini wakati baba yako magu kaamua kufumba macho Kwa Ndugu yake.
 
Kama kunawatu wasiojielewa ni wewe. Huyo Kitwanga unaemuongelea hapa unamfahamu vyema au ni huo wivu wenu wa kike? muacheni afanye kazi msije anza mletea stress zenu zisizo na mpango. Huo ni wivu wa kike. Na kwa maneno yako hayo unadhani mheshimiwa Rais hajui anachofanya. We kilaza sana aisee. Hatuhitaji majungu huku.
Wivu gani wa kike ? Jina lake lipo BOT wivu unakujaje hapo? Rais ni binadamu hajui kila kitu ndiyo maana juzi ndiyo kajua kuwa Ndugu yake anakula haramu kaamua kwenda mwenyewe BOT akasema anajua mengi ameamua kusema baadhi tu, aliyoyaacha ni pamoja na Hilo jina la Ndugu yake , hakuna wivu hapo cha Msingi arudishe mishahara yote aliyokwapua Kwa miaka yote.
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.

I CAN SEE YOUR LOGIC, HATA KATIBU WAKE NI ALIYE KUWA NAYE UJENZI. MSIRI MWINGINE. WAPO WENGI TU.
 
I CAN SEE YOUR LOGIC, HATA KATIBU WAKE NI ALIYE KUWA NAYE UJENZI. MSIRI MWINGINE. WAPO WENGI TU.
CCM ni ile ile mambo yake ni Yale Yale , ushikaji na undugu Kama JK Sasa umerejea Kwa nguvu zote.
 
Duh ukawa sasa kimegeuka kijiwe cha majungu. Hoja aliondoka nazo Dr Slaa. Magufuli ni mtu wa kazi atawasumbua sana maana mtakuwa mnapotezana kila hatua anayopiga.
Tulisema Sefue ni jipu mkapinga Hapa. Alipotumbuliwa mkaona Magufuli kafanya miujiza
 
Kitwanga alishaacha kazi BOT alikuwa mtaani anafanya shughuli zake sasa leo iweje alipwe na BOT kweli bang mbaya aisee. Kwanza CDM hivi sasa hamna kitu kuna lidiwani letu hapa mbweni hata kiorganize shughuli ndogo kabisa hawezi ni upuuzi kuwa na chadema
 
Chumvi ya mawe ni dhahabu jimboni! Watu ni creative Bwana hacha kabisa!!
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Mungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali .
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Uwaziri wa kitwanga???
 
Kama Jf jukwaa la siasa litaendelea hivi hakika itapoteza wachangiaji wengi. Jukwaa juu mpaka chini linajaa majungu na fitina tu, limekuwa kama kijiwe cha kahawa badala ya kuwa sehemu ya watu kuweka hoja zenye mashiko na nzito. Sahivi hoja za Jf ni nyepesi mno kama nyimbo za kizazi cha miaka hii zinazojulikana kwa jina la big ji.
unategemea nini kwa watu waliokosa hoja
 
Back
Top Bottom