Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

Charles Kitwanga ni msiri wa Dk. Magufuli

Hoja yako ya kilevi mkuu mbona kitwanga ameanza uwaziri tangu wakati wa jk.
 
Katika watu niliokuwa najua wataukwaa uwaziri ni huyu jamaa.Maana wakati wa kampeni jimboni kwake Magufuli alisema mbele ya watu,kwamba wasifanye masihara kutomchagua huyu jamaa kwani ana Kazi naye tena muhimu.Tangu hapo nilijua tu huyu jamaa ni waziri.

Kampa wizara ambayo ni nyeti,kumlinda yeye kama rais.Vita ya wahujumu uchumi si mchezo.
Kuna wizara ambazo lazima umpe mtu unayemfahamu vizuri: Ulinzi na Mambo ya ndani. Nakumbuka Nyerere alipokuwa Rais alimpa best man wake yaani Kambona wizara ya Ulinzi, Mwinyi alipokuwa Rais alimpa Salim Ahmed Salim wizara ya Ulinzi, Mkapa alipokuwa Rais alimpa Maokola Majogo Wizara ya Ulinzi. Hizi ni wizara muhimu sana katika usalama wa nchi. Si ajabu kumpa mtu unayemfahamu kwa karibu. Hivyo basi kama wanafahamiana hakuna cha ajabu kupewa hii wiazara.
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Majungu majungu ndio mjuayo. Pumbavu kabisa. Badala ya kuleta mada za maendeleo mnaleta unoko. Ulitaka akuteue wewe. Na wewe tafuta msiri wako mwacheni Magufuli afanye kazi
 
Kama Jf jukwaa la siasa litaendelea hivi hakika itapoteza wachangiaji wengi. Jukwaa juu mpaka chini linajaa majungu na fitina tu, limekuwa kama kijiwe cha kahawa badala ya kuwa sehemu ya watu kuweka hoja zenye mashiko na nzito. Sahivi hoja za Jf ni nyepesi mno kama nyimbo za kizazi cha miaka hii zinazojulikana kwa jina la big ji.

Pengine ni vema ikaitwa UKAWA forum
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.

Hoja yako haina mantiki kabisa. Kitwanga amekuwa waziri toka enzi za JK na hakuna mahali amefeli kiutendaji na ni dhahiri kuwa uzoefu wake ndiyo unafanya aweze kuteuliwa kuwa waziri kamili. Kujuana na JPJM si dhambi ya mauti na ni kigezo muhimu muhimu si serikalini tu bali hata katika maisha. Uliza mtu yeyote aliyeoa au kuolewa kama alifanya hivyo bila kumjua mwenziwe sembuse uwaziri? Charles Kitwanga anafaa kuwa waziri katika wizra ye yote ile!
 
Huyu kashafungiwa madirisha

Wenzake wamemtumia kupeleka taarifa za uwongo kwa Magu na magu limekuja juu ile kichizi

Hataki hata kumwona

Nafasi yake imechukuliwa na abdallah bulembo
 
Huyu kashafungiwa madirisha

Wenzake wamemtumia kupeleka taarifa za uwongo kwa Magu na magu limekuja juu ile kichizi

Hataki hata kumwona

Nafasi yake imechukuliwa na abdallah bulembo

Dadavua mkuu, taarifa gani hizo za uongo? Wengine tuko blinded!
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.
Chuki binafsi
 
Majungu at work. Halafu mnalalamika nchi haina maendeleo wakati hamtaki kujadili vitu vya maana mnahangaika na watu wanaowafanyia kazi ya kutumbua majipu.
 
Kuna kiongozi moja alikuwa waziri mkuu na kuwa mgombea Wa uraisi 2015 ambaye alikuwa ana mlinda mkurugenzi Wa wanyama pori kisa watoto wao wameoana na wanatoka ukawa, pili kuna naibu waziri Wa fedha ktk kipindi cha uwaziri mkuu wake ambaye naye watoto wao wameoana na hii hadithi inaweza kuendelea Na kuendelea lakini wasioitakia mema nchi hawaongelei hiyo issue
 
Bila kusahau kuwa amekuwa akilipwa huko BOT kwa miaka 6 mfululizo

huyu ndio waziri wa mambo ya ndani
 
Hoja yako haina mantiki kabisa. Kitwanga amekuwa waziri toka enzi za JK na hakuna mahali amefeli kiutendaji na ni dhahiri kuwa uzoefu wake ndiyo unafanya aweze kuteuliwa kuwa waziri kamili. Kujuana na JPJM si dhambi ya mauti na ni kigezo muhimu muhimu si serikalini tu bali hata katika maisha. Uliza mtu yeyote aliyeoa au kuolewa kama alifanya hivyo bila kumjua mwenziwe sembuse uwaziri? Charles Kitwanga anafaa kuwa waziri katika wizra ye yote ile!

Hili ndilo tatizo la teuzi za viongozi mbali mbali kutoainishwa kwenye katiba.

Raisi anakuwa na uhuru uliopitiliza wa kuteua mtu yeyote anayeona kuwa anafaa.

Mfano wako wa kufananisha wenzi kujuana kabla ya kufunga ndoa na raisi kumjua mtu anayemteua haviendani. Kwanza Raisi anapomteua rafiki yake itakuwa si rahisi kumwajibisha kama akikiuka misingi ya utendaji!
 
Ndugu zangu, mhe Rais amejipambanua kuwa atateua watu ambao ni wachapa kazi katika baraza lake la mawaziri. Naomba niwafahamishe tena kwa uhakika kuwa Charles Kitwanga aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ni mndani (msiri) wa mhe Rais.

Kitwanga alikwishaanza kujisifu kuwa atakuwa waziri wa wizara nyeti mapema kabisa na ushahidi upo. Lakini la pekee kubwa ni kuwa ni mtu asiyekuwa na rekodi ya utendaji wa kuwa waziri wa mambo ya ndani amepewa wizara hiyo sababu ya nepotism.

Muda utaamua na ni vema watanzania muelewe hata mhe Rais Magufuli na yeye pia kashindwa kuficha urafiki wa mtandao wake kinyume na kampeni zake.

Kitwanga atakuwa waziri wa kwanza kufukuzwa na bunge, ni suala la muda tu.

Udaku upo kila sekta.... Duh yaan mtu ukiwaza tu bhas unatafuta njia ya kuwaaminisha Na wengne daaah
 
Bila kusahau kuwa amekuwa akilipwa huko BOT kwa miaka 6 mfululizo

huyu ndio waziri wa mambo ya ndani

Kuna kipindi Jamii Forum ilikuwa inaaminika sana, lakini comment kama hii ya kwako ndio inashusha hadhi ya hili jukwaa na kuligeuza kuwa kijiwe cha chuki binafsi na majungu.

Kitwanga alistaafu BOT na jina lake halipo kwenye orodha ya wafanyakazi wala halipwi chochote.
 
Kuna kipindi Jamii Forum ilikuwa inaaminika sana, lakini comment kama hii ya kwako ndio inashusha hadhi ya hili jukwaa na kuligeuza kuwa kijiwe cha chuki binafsi na majungu.

Kitwanga alistaafu BOT na jina lake halipo kwenye orodha ya wafanyakazi wala halipwi chochote.

endelea kumtetea mtu wako
 
Back
Top Bottom