dafity
JF-Expert Member
- Aug 16, 2008
- 1,849
- 2,036
Chuma kinawekwa katika moto mpaka kinaiva kisha anabandikwa mnyama kwenye ngozi. Mifugo ingeweza kutamka maneno nadhani matusi yake yasingevumilika.
Watu wa haki za wanyama-TSPCA mpo wapi?
Hakuna njia nyingine ya kuwawekea alama ambayo haiumizi mwili na kuharibu ubora wa ngozi?
Tuwatendee haki wanyama!
Watu wa haki za wanyama-TSPCA mpo wapi?
Hakuna njia nyingine ya kuwawekea alama ambayo haiumizi mwili na kuharibu ubora wa ngozi?
Tuwatendee haki wanyama!