Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,688
- 4,633
mi akinikera sioni shida kumnunia miezi mitatu,siku nikimchekea breki ya kwanza angaza ,then ndio nimchekee zaidi,kuna watu wana kera mtu unaona bora ukae kimya kuepusha msongamano wa matukio yasiyotarajiwa ati!