mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 403
Kuna wengine hawakwepeki anakukomalia mpaka kieleweke. Na wanavyojua kuongea hawa viumbe utakoma kumpenda. Anaweza kuwananga ukoo wenu mzima ndani ya sekunde chache tu.
Hapo kwenye mstari hahaha mkeo ana hatariiii