Chanzo cha Kifo cha Dr. Sengondo Mvungi

Chanzo cha Kifo cha Dr. Sengondo Mvungi

Chanzo cha kifo ni ugonjwa aliokuwa nao wakati akiwa matibabuni madaktari walishindwa kuokoa maisha yake japo walipigania mpaka dakika ya mwisho..

Naomba jf waifunge hii thread kwa heshima
Alivamiwa na watu nyumbani kwake mida ya usiku akapigwa na kuporwa laptop yake. Majeraha yalipelekea kifo chake siku chache baadaye.

Watuhumiwa walikamatwa ila kesi sijui iliishia wapi
 
Umekosea sana. Hata Msukuma ambaye ni darasa la saba anayo haki, na wala halazimishwi kupita mbali, asizungumzie ujinga wa maprofesa wa kongamano!
Elewa maana ya neno kiakademia. Kukurupuka sio kuzuri. Hamna suala la haki hapo ni uhalali wa kitaaluma.
 
Hakuna faida ya elimu kama ya Bana, ni total loss!

Mungu warehem wote na uwaangamize watesi wao kwa njia utakayochagua wewe
Kama faida kwako inapimwa kwa kigezo cha mahaba yako ya kisiasa kweli haitakuwepo.
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Naomba nikupe clue kwa mbaali juu ya maswali yako ... ila nyamanyama utaongezea mwenyewe ...

1. Alikua kijana ambae sio katika wale watoto wa fulani kama kina mwezi wa kwanza ...

2. Kwa sababu alikua kiherehere mwenye taaluma ya kujipendekeza kwa kiwango cha juu mara nyingi alipewa kengele kuwavisha paka wakorofi waliozuia mambo matam ...

3. Katika vuguvugu la katiba mpya alijikuta anakabidhiwa vipande vya nyama ya sumu awape mbwa wanaotaka mabadiliko na walio onekana kikwazo ...

4. Ndio maana alipewa ukuu wa wilaya Kama zawadi maalum ...

5. Amerithiwa kwa maelekezo maalum kutoka awamu ya 4 ...

6. Ndio maana akapewa ukuu wa Mkoa kujaribu kumnawisha mikono yake iliyo jaa damu za watu ...

7. Ndio maana hatumbuliki wala hagusiki ...

8. Analijua hilo ndio maana anakiburi ...

Hasa katika mkoa wangu wa DSM ...
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Kama nakumbuka vizuri Dr Mvungi pia aliuawa hapa hapa Dar es Salaam.
 
Mimi namkumbuka kama mwanasiasa na sio mwanazuoni
Kwa tafsiri ya ID yako na huyo marehemu ni sawa na umbali wa mbingu na Ardhi.

Ingekua ni ajabu kuu endapo hata wewe ungemkumbuka Kama "Mwanazuoni"….
 
True walahi
Nimeamini huna ulijualo zaidi ya neno wallah! Huenda umeungwa humu ugange njaa na kuitibu kwa buku saba! Mvungi alivamiwa na wasiojulikana na kukatwaapanga yaliyomsababishia kupoteza damu nyingi acha kupoteza watu! Kama jambo hulijui vyema, usichangie!
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Kumbukizi
 
Moyo wangu unalia Hayati mvungi,Hayati chachage,Hayati mwakusa nawapenda sana
Ipo siku.walikuwepo waliokuwa wanakindwa kwa mabunduki ya kisasa,helicopter,na magari yasiyojulikana ni mitambo gani.wakapoteza watu.wakajeruhi watu wakakufuru eti siku moja wataongoza malaika huko kunakotajwa mbinguni.mara kama vile wapo.Ikasemekana wapo wanashughuri,badae tukaambiwa tunasalimiwa.Mwisho wake leo wako wapi?
 
Msomi mwanasheria na m-bobevu kwenye uandishi wa katiba nchini na hicho ndicho kilipelekea mauti ,sikumbili mbele alikuwa anajiandaa kwenda kutoa mhadhara namna gani katika yenye serikali tatu inawezekana kuandikwa

Baada ya wanaccm kudai haiwezekani na itafanyaje kazi?

Wakati anajiandaa kwenda kuwajibu ,akavamiwa
 
Back
Top Bottom