Chanzo cha Kifo cha Dr. Sengondo Mvungi

Chanzo cha Kifo cha Dr. Sengondo Mvungi

Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
Kwakweli Phd kama za Bana,Lipumba,Kitila et al lazima kudadisiwa.
Ni wanazuoni waliozikana taaluma zao.Wameamua kutii njaa zao na kusaliti kile walichokiamini.
Wewe phd ya kwako haina shida,usihofu
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Dr. Mvungi alikuwa critical thinker,katika mchakato wa katiba Mpya alikuwa na revolutionary ideas nyingi na ambazo kwa kiasi hazikuendana na matakwa ya watawala na wenzake.Kwa mujibu wa fununu,kuna aina fulani ya maoni ya msingi sana ambayo hayakuingia katika rasimu ya Warioba ambayo kuna siku wajumbe wa tume watayaweka wazi.Maoni haya inasemekana yangebadilisha muonekano na muelekeo wa taifa letu.
 
Mbona kama umepaniki? Jamaa hajasema anaponda watu wenye phd mbona amewapongeza wengine? Mkuu uwe unasoma unaelewa

Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
 
Kuna mawili. Inawezekana
1. Akili yako inashindwa kupambanua mambo
2. Una tatizo la kuelewa hata kitu chepesi sana.


Kwanza hujui elimu yangu na sina haja ya kukwambia ili nikuaminishe.dr. mvungi aliwahi nifundisha, marehem chachage aliwahi ni fundisha. Prof Kabudi aliwahi nifundisha. Dr. Bashiru aliwahi nifundisha.

Well. Naweza kuwa na elimu ya darasa la saba.sikatai lakini nikawa nimeelimika kuliko mwenye phd. Elimu si makaratasi au vyeti. Nyerere hakuwa na phd, socrates hakuwa na phd,bill gates hana phd,

Naheshimu watu waliosoma wakaelimika na kutumia elimu yao kwa manufaa ya taifa. Sasa sijajua wewe inakuaje umeshindwa elewa lugha nyepesi kama hii ukarukia hitimisho kondefu kama hilo



Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
 
Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
Hakuna faida ya elimu kama ya Bana, ni total loss!

Mungu warehem wote na uwaangamize watesi wao kwa njia utakayochagua wewe
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Matakwa ya chama fulani
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Yaaani hao waliobaki ni ushuzi tupu
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Pr- B. Bana / Pr- Lipumba
Pr- K. Mkumbo
Umewataja umeniharibia siku hivi inawezekanaje mtu msomi akawa wa ajabuajabu kama hawa mzigo kwa Taifa.
 
Mimi namkumbuka kama mwanasiasa na sio mwanazuoni
Uko sawa, kwa vile hukusoma na ulikuwa unamfahamu kupitia mikutano ya NCCR basis lazima umjue kama mwanasiasa.
Lakini kwa wasomi walio ona maandiko yake, mafundisho yake na mambo mengine academically watamuona mwanazuoni.
Ila jingalao unajitahidi sana kuitetea ccm, ungetumia nguvu hizo kujiendeleza elimu ya watu wazima ungefika mbali. Hilo li ccm ni kama kahaba gubegube hata libakwe na watu 10 linyewe linawacheka tuu
 
Back
Top Bottom