Chanzo cha Kifo cha Dr. Sengondo Mvungi

Chanzo cha Kifo cha Dr. Sengondo Mvungi

Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Kwa jicho la kawaida tu, haya yatakua mauaji ya kisasi au ya kumnyamazisha kuhusu jambo fulani kwakua habari za awali zinasema wauwaji hao hawakuiba kitu chochote
 
Chanzo cha kifo ni ugonjwa aliokuwa nao wakati akiwa matibabuni madaktari walishindwa kuokoa maisha yake japo walipigania mpaka dakika ya mwisho..

Naomba jf waifunge hii thread kwa heshima
True walahi
 
Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
Hivi mkuu kujadili hao wasomi uchwara aliowataja Gudume kunahitaji uwe umefika hata la saba? Yaani km inafika sehemu mtu wa level ya Prof au PhD holder anaonesha uzwazwa hadi wananchi wa chini kabisa wanaona,halafu wewe unataka kumuwekea immunity kisa ana mavyeti yake ya kukaa sandukuni afu kichwani kajaza tope!! Hebu jiheshimu mkuu.
 
Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
Halafu kinachozuiwa ni kumtahini mtu anayekuzidi elimu sio kumjadili.
 
Huyu alikuwa mmoja ya wasomi waliokuwa wanaaamini katika elimu waliyopata. Ni msomi ambaye ali elimika na si kuishia kuwa na vyeti.

Alifariki South Africa akiwa matibabuni.kifo chake kinahusishwa kwa ukaribu sana na mchakato wa Katiba Mpya. JAMIIFORUMS ni sehemu tuna thubutu kuzungumza.

Nini kilikuwa chanzo halisi, sababu ya kifo cha mwanasheria huyu Dr. S. Mvungi? Je mnakumbuka wasomi wangapi walioamini katika Elimu walikufa kwa sababu ya Kupigania Taifa hili? Mnamkumbuka Dr. J. Mwaikusa? Aliyepigwa risasi?

Tusipo waenzi hawa Tanzania itabakia na watu kama akina Dr. Bana, Prof. Lipumba, Prof. Kitila Mkumbo etc. Ambao ni mzigo na hasara kwa Taifa.
Anayejua haswaa alichoratibu na kumfanyia Sengodo Mvungi ni Waziri aliyetumbuliwa M N kwa kutumia vijana wake.

Sengodo Mvungi ndiye kichwa aliyekuwa muandaaji wa nyaraka zote za kuhusu katiba pendekezwa ya wananchi akimsikiliza Warioba.

Na damu ya Mvungi inamtesa sana.
 
Mimi namukumbuka alikuwa mtu mzuri na munyenyekevu.Ingawa wanasema mawazo ya katiba mpya ni ya Katiba ya Warioba lakini huyu ndie aliyebobea katika ku i polish katiba hiyo iliyotupwa nawasiopenda mabadiliko wanapenda ku maintain status quo.Ilisikitika kupoteza marehemu ADRIAN MVUNGI Mwenyezi Mungu akupe raha ya milele Amina
 
Chanzo cha kifo ni ugonjwa aliokuwa nao wakati akiwa matibabuni madaktari walishindwa kuokoa maisha yake japo walipigania mpaka dakika ya mwisho..

Naomba jf waifunge hii thread kwa heshima
Wewe ni mpuuzi wa Mwisho mtu avamiwe na majambazi wampige leo we unasema ugonjwa aliokua nao? Unaweza sema alikua na ugonjwa gani? Kaa kimya kama huelewi
 
Inawezekana kuna kitu amefanywa. Akili yake si ya kawaida.atakuwa na tatizo kiakili... Siyo bure. Watanzania tusipowakumbuka waliopigania taifa,tusipowaunga mkono tutabak na watu wa hovyo hovyo sana hapa nchini.
Kweli Mkuu,Tuwe na utaratibu wa kuweka kumbukumbu za mashujaa wetu na kuwaenzi
 
Wacha uongo !!!!
Chanzo cha kifo ni ugonjwa aliokuwa nao wakati akiwa matibabuni madaktari walishindwa kuokoa maisha yake japo walipigania mpaka dakika ya mwisho..

Naomba jf waifunge hii thread kwa heshima
 
Hapo mwisho umevuruga kabisa kwa kukandia usomi wa hao jamaa kwa kigezo kinachoonekana ni mahaba fulani ya kisiasa. It’s simply wrong kama hauna elimu ya kuifanyia tathmini elimu yao.
Maana, tatizo letu lingine ni mtu mwenye elimu ya kiakademia ya chini anakosoa ile ya juu yake. Hamna kitu kama hicho kwenye ulimwengu wa taaluma. Mathalani kama wewe ni wa form 4 na umekuta watu wanajadili Phd ya mtu, basi pita mbali hamna haja ya kukaukwa mate hapo.
Umekosea sana. Hata Msukuma ambaye ni darasa la saba anayo haki, na wala halazimishwi kupita mbali, asizungumzie ujinga wa maprofesa wa kongamano!
 
Kuna mawili. Inawezekana
1. Akili yako inashindwa kupambanua mambo
2. Una tatizo la kuelewa hata kitu chepesi sana.


Kwanza hujui elimu yangu na sina haja ya kukwambia ili nikuaminishe.dr. mvungi aliwahi nifundisha, marehem chachage aliwahi ni fundisha. Prof Kabudi aliwahi nifundisha. Dr. Bashiru aliwahi nifundisha.

Well. Naweza kuwa na elimu ya darasa la saba.sikatai lakini nikawa nimeelimika kuliko mwenye phd. Elimu si makaratasi au vyeti. Nyerere hakuwa na phd, socrates hakuwa na phd,bill gates hana phd,

Naheshimu watu waliosoma wakaelimika na kutumia elimu yao kwa manufaa ya taifa. Sasa sijajua wewe inakuaje umeshindwa elewa lugha nyepesi kama hii ukarukia hitimisho kondefu kama hilo
mkuu nimekuelewa maprofessa wetu wengi njaa mfano awamu ya 4 walkua wanapiga kelele kuhusu katiba mpya juzi kwenye kongamano wakamsifia mkuu kuhusu kusitisha katiba mpya dokta mvungi Mola ampumzishe salama
 
Historia za watu kama hawa ni lazima zihifadhiwe kwa kizazi kijacho kama kweli tunataka kujenga Taifa la maana.
 
Yaani ulivyotaja Lipumba, Baba na sijui Mkumbo nimeacha kula kwa kichefuchefu. R.I.P Mashujaa wetu!
 
Back
Top Bottom