macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,796
- 39,596
Imani za kale kabisa hizi. Dunia ya sasa hazina nafasi. At least kwa nchi zilizoendelea. Huu ujinga umebaki huku kwetu madongo kuinama!Kuna meneja wa TRA mmoja huko kigamboni aliwahi piga faini duka moja la hardware faini ya 10mil kwa kosa la kusahau kutoa listi kwa mteja, lakini baada ya wiki meneja huyo aliumwa ugonjwa wa ajabu uliopelekea yeye kuacha kazi