Tetesi: Chanzo cha afisa biashara aliyechana Quran tukufu ni kurogwa; aliwatesa wafanyabiashara katika ukaguzi wa leseni

Sasa chizi anapangiwa cha kufanya mkuu?

Chizi ni chizi tu,humuoni yule shoga anayejiita Nabii tito kila siku anafanya upuuzi wake huko barabarani huku ameshikilia bible na kuhubiri.

Swali,kwanini ashikilie bible?

dodge

Lakini mbona wote hatutumii ht Dakika moja tuu kuwaza ni wapi huyu jamaa aliipata Qoran tukufu?Alikuja nayo toka nyumbani na kuingia nayo baa?
Kama inavyosemekana alikuwa amelewa....je hao waliompatia Qoran (wakimjaribu) wangemtaka awapige na akawapiga wangeenda polisi kushitaki?
Uhalifu huu Ametenda kwa matakwa yake mwnyw au amechagizwa atende??


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Updates

Huyo jamaa bundi kazidi kumuandama tena na leo; magufuli kamfukuzia mbali!
Yaaan anapigwa kama mpira wa kona!

Kiufupi ndugu zake wajiandae kwa lolote kuanzia sasa! Vinginevyo Mkono wa Mungu uingilie kati

Update yako ndio ni leo
Ila kama ungeweka tarehe ingekuwa pbora zaidi kutimiza lengo la wewe kutoa update
 
Hiyo ishu hata kama ilikua staged, jamaa ni mpumbavu, imeshakula kwake.
Aende akapambane na hali yake. Inaonekana ana kibri. Ashawatia janga wategemezi wake.
 
Lakini mbona wote hatutumii ht Dakika moja tuu kuwaza ni wapi huyu jamaa aliipata Qoran tukufu?Alikuja nayo toka nyumbani na kuingia nayo baa?
Kama inavyosemekana alikuwa amelewa....je hao waliompatia Qoran (wakimjaribu) wangemtaka awapige na akawapiga wangeenda polisi kushitaki?
Uhalifu huu Ametenda kwa matakwa yake mwnyw au amechagizwa atende??


Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuhitaji kujua aliipata wapi lakini tunaangalia aliifanyaje baada kuipata;
Mfano hata mwanafunzi akiingia chumbani kwako akiwa uchi, haina maana ndo umtie
 
Nilisema kuwa ametengenezewa kesi. Hiyo quran angeitoa wapi katika mazingira hayo. Mtu anampa mtu quran eti chana hii kama inachanika huku akijua itachanika. Na hizi ndo zimekuwa tabia za waislam kuanzisha chokochoko wapate pa kuanzia ugomvi. Tutafika?
Wewe una chuki na waislam, watu wamesema boda boda ndo walimpa wewe unasema waislam wana choko choko usitafute la moyoni mengine tuache tuyahifadhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda.

Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.

Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake.

Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.

So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimkubali jamaa anaichana quran halafu anaitemea mate. Hii ni bonge ya dharau!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kufuatilia chimbuko la kisa cha Afisa biashara aliyeonekana akichana kitabu cha Qur'an!

Moja mwananchi ambaye hakutaka jina lake litajwe; Amesema Aliwahi kufungiwa biashara yake changa na afisa huyo walipo mkamata na mgambo wa halmashauri kwa kudaiwa kutokuwa na leseni;
Pamoja na kujitetea kuwa biashara yake ilikuwa changa na alikuwa tayali kashaanza mchakato wa kukata leseni lakini Afisa huyo pamoja na wenzake ( walimfungia biashara yake na kuondoka naye kimabavu kiasi cha kulipishwa faini ambayo hata hakupewa risiti!

Mnyetishaji huyo alizidi kusema, matendo ya afisa huyo yameumiza wafanya biashara wengi kwa kutisha na kukamata wafanya biashara!

Mnyetishaji huyo anasema Kitendo cha kuchana Quran ilikuwa ni mwanzo tu wa pigo katika kuelekea kutembea uchi!

Na iwe fundisho kwa maafisa wengine wanaotumia nafasi zao kunyanyasa wengine!

Waziri Jafo mnamo tarehe 7 feb 2020 alitoa tamko la kumsimamishwa kazi mtumishi huyo na kumwagiza mkurugenzi wa kilosa kumchukulia hatua ya nidham! Kwa maana hii mkurugenzi usisahau kupitia namna alivyokuwa akitekeleza majukumu yake kama mtumishi wa serikali ili kubaini kama kuna mazingira ya Rushwa yalifanyika hadi kupelekea mtumishi huyo kuchanganyikiwa!
View attachment 1351608

Updates

Huyo jamaa bundi kazidi kumuandama tena na leo; magufuli kamfukuzia mbali!
Yaaan anapigwa kama mpira wa kona!

Kiufupi ndugu zake wajiandae kwa lolote kuanzia sasa! Vinginevyo Mkono wa Mungu uingilie kati
Miafrika kila kitu kurogwa
 
Back
Top Bottom