Tetesi: Chanzo cha afisa biashara aliyechana Quran tukufu ni kurogwa; aliwatesa wafanyabiashara katika ukaguzi wa leseni

UCHAWI ndiyo mahali pake :DKilosa wilaya za kwanza kwanza na kongwe lakini hazijawahi kukua wala kusonga mbele....

Everyday is Saturday................:cool:
 
Huku k.Mr kuna traffic alisimamisha kirikuu ya mpemba imejaa samaki mbwa yule akaombwaa andike faini wapii Anamjibuu asimsumbue ataandika anavyotaka ..TOKA satatuu asbh mpaka sanane anaiachia gari na ANATAKA 15" 000
Jamaa kammwambiaa niandikie faini ntalipaa WEWEE amelipaa AKAMWAMBIA ahsante sanaaaa


Kazii ikaanza Keshoyake kakamata gari mwendokasi akaomba HELA KUMBE NYUMA kuna afisa ananyota zake toka central...alipopokea akashuka jamaa akamfwata akachukua kofia akamwonyesha id yake AKAMWAMBIA nikukute MBEZI....kituoni

akahamia pale kuandika ripoti za wezi na wahuni reception

baadae ijumaaa sikunne tu akapigwa KITU UPANDE mzimaaa aufanyi kazii
gafla akaenda tanga kurudi AKAWA ana kanafuu jamaa akasikia

weeeeee akamtengeneza vilivyo this time alipgwaa mzigo WA MAANA wakamkimbiza KMR HOSPT BAADA yàhapoo n marehemu
 
chizi anaitafuta quran ilipo?.
Kuna vitu vya kutetea ila sio hivi.
Wakristo na waislam tusigombanishwe na huyu MPUMBAVU mmoja.
Kuwa muislam sio sababu ya kuuchukia ukristo na kuwa mkristo sio sababu ya kuuchukia uislam kila mtu ABAKI NA IMANI YAKE.
kuanza kuchana vitabu vya mwenzio huo ni uchokozi.
mkristo SOMA Biblia,muislam SOMA QURAN.
Sasa mbona unamchagulia chizi cha kufanya boss?

dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mjingamimi, Sasa chizi anapangiwa cha kufanya mkuu?

Chizi ni chizi tu,humuoni yule shoga anayejiita Nabii tito kila siku anafanya upuuzi wake huko barabarani huku ameshikilia bible na kuhubiri.

Swali,kwanini ashikilie bible?

dodge
 
Jembekillo, Mkuu kweli unaijua kilosa du! Mie niliondoka kilosa mwaka 2003 nilikua naishi hapo pembezoni mwa shinyanga hotel kuna ghorofa ambalo lilikua lina itwa COMFORT HOTEL kipindi hicho na hiyo hotel tulikua tunaiyendesha sisi mpinzani wetu wa biashara mkubwa aliku ni huyo shinyanga hotel ambaye kwa sasa ni marehemu.

COMFORT HOTEL ndiyo mahala pekee kipindi hiko walipata au tulipata kuonyesha msiba wa baba wa taifa mwalim julias kambarage nyerere kupitia luninga na kupitia Chanel ya ITV ambapo kwa kipindi hiko kulikua hakuna ITV kilosa nzima tulikua tunapata ITV kupitia satellite dish hivyo umenikumbusha mbali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huo uchizi mna uhakika kuwa ni CHIZI?
kwani serikali inawafanya kazi machizi?
Sasa chizi anapangiwa cha kufanya mkuu?

Chizi ni chizi tu,humuoni yule shoga anayejiita Nabii tito kila siku anafanya upuuzi wake huko barabarani huku ameshikilia bible na kuhubiri.

Swali,kwanini ashikilie bible?

dodge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naamini hakuna chuki kati ya Waislamu na Wakristo Nchi hii zaidi ya kuwa turufu ya Wanasiasa tu! Wakristo wana nyumba, wapangaji Waislamu! Waislamu wana nyumba, Wapangaji wakristo! Huku Uswahilini mpk vyakula tunapeana! Tunapanda mabasi pamoja, shule na vyuo tunasoma pamoja!
chizi anaitafuta quran ilipo?.
Kuna vitu vya kutetea ila sio hivi.
Wakristo na waislam tusigombanishwe na huyu MPUMBAVU mmoja.
Kuwa muislam sio sababu ya kuuchukia ukristo na kuwa mkristo sio sababu ya kuuchukia uislam kila mtu ABAKI NA IMANI YAKE.
kuanza kuchana vitabu vya mwenzio huo ni uchokozi.
mkristo SOMA Biblia,muislam SOMA QURAN.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.
 
Mi naamini hakuna chuki kati ya Waislamu na Wakristo Nchi hii zaidi ya kuwa turufu ya Wanasiasa tu! Wakristo wana nyumba, wapangaji Waislamu! Waislamu wana nyumba, Wapangaji wakristo! Huku Uswahilini mpk vyakula tunapeana! Tunapanda mabasi pamoja, shule na vyuo tunasoma pamoja!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna chuki yoyote! Itakuwa yule jamaa alitupiwa kajini kanafunzi !
 
Kama ni kweli hili swala hivo, basi kuna tatizo mahala, siitofautishi sana ishu hii na Ile ya mbagala ambayo mtoto alikojolea Quran na watu wakapanick,
Mambo ambayo msingi wake inaanzia kwenye utani na maskhara yanageuzwa tukio kirahisi kabisa,
Hakukuwa na hata haja ya waziri kuingilia Kati jambo ambalo limeanzishwa kama utani na maderva boda boda.
Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kufuatilia chimbuko la kisa cha Afisa biashara aliyeonekana akichana kitabu cha Qur'an!

Moja mwananchi ambaye hakutaka jina lake litajwe; Amesema Aliwahi kufungiwa biashara yake changa na afisa huyo walipo mkamata na mgambo wa halmashauri kwa kudaiwa kutokuwa na leseni;
Pamoja na kujitetea kuwa biashara yake ilikuwa changa na alikuwa tayali kashaanza mchakato wa kukata leseni lakini Afisa huyo pamoja na wenzake ( walimfungia biashara yake na kuondoka naye kimabavu kiasi cha kulipishwa faini ambayo hata hakupewa risiti!

Mnyetishaji huyo alizidi kusema, matendo ya afisa huyo yameumiza wafanya biashara wengi kwa kutisha na kukamata wafanya biashara!

Mnyetishaji huyo anasema Kitendo cha kuchana Quran ilikuwa ni mwanzo tu wa pigo katika kuelekea kutembea uchi!

Na iwe fundisho kwa maafisa wengine wanaotumia nafasi zao kunyanyasa wengine!

Waziri Jafo mnamo tarehe 7 feb 2020 alitoa tamko la kumsimamishwa kazi mtumishi huyo na kumwagiza mkurugenzi wa kilosa kumchukulia hatua ya nidham! Kwa maana hii mkurugenzi usisahau kupitia namna alivyokuwa akitekeleza majukumu yake kama mtumishi wa serikali ili kubaini kama kuna mazingira ya Rushwa yalifanyika hadi kupelekea mtumishi huyo kuchanganyikiwa!
View attachment 1351608
Kama chanzo cha kuchana quran ni kurogwa basi dozi ya urozi ingemkolea angeenda kuharishia msikiti na kumkojolea imam kwenye mdomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua najiuliza... Hiyo korani ilitoka wapi...lakini kwanini achukuliwe video...

Lakini most of all kwanini washee hiyo video.
Nafikiri hao jamaa walio istage hii event ni vichaa zaidi ya huyo. Na ni watuhumiwa sawa sawia na wahalifu wengine.

Jamaa kaharibiwa makusudically na wahuni.

Nisingemfukuza kazi.
 
Back
Top Bottom