- Thread starter
- #41
Uchawi umetambulika hadi kwenye vitabu vitukufu wewe unasema uchawi haupi kwa hoja ganUchawi haupo, huo ni uongo.
Uchawi umetambulika hadi kwenye vitabu vitukufu wewe unasema uchawi haupi kwa hoja ganUchawi haupo, huo ni uongo.
Uchawi umetambulika hadi kwenye vitabu vitukufu wewe unasema uchawi haupi kwa hoja ganUchawi haupo, huo ni uongo.
Vitabu vitukufu ndio kitu gani?Uchawi umetambulika hadi kwenye vitabu vitukufu wewe unasema uchawi haupi kwa hoja gan
Sasa mbona unamchagulia chizi cha kufanya boss?
dodge
Sasa chizi anapangiwa cha kufanya mkuu?
Chizi ni chizi tu,humuoni yule shoga anayejiita Nabii tito kila siku anafanya upuuzi wake huko barabarani huku ameshikilia bible na kuhubiri.
Swali,kwanini ashikilie bible?
dodge
huo uchizi mna uhakika kuwa ni CHIZI?
kwani serikali inawafanya kazi machizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
chizi anaitafuta quran ilipo?.
Kuna vitu vya kutetea ila sio hivi.
Wakristo na waislam tusigombanishwe na huyu MPUMBAVU mmoja.
Kuwa muislam sio sababu ya kuuchukia ukristo na kuwa mkristo sio sababu ya kuuchukia uislam kila mtu ABAKI NA IMANI YAKE.
kuanza kuchana vitabu vya mwenzio huo ni uchokozi.
mkristo SOMA Biblia,muislam SOMA QURAN.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna chuki yoyote! Itakuwa yule jamaa alitupiwa kajini kanafunzi !Mi naamini hakuna chuki kati ya Waislamu na Wakristo Nchi hii zaidi ya kuwa turufu ya Wanasiasa tu! Wakristo wana nyumba, wapangaji Waislamu! Waislamu wana nyumba, Wapangaji wakristo! Huku Uswahilini mpk vyakula tunapeana! Tunapanda mabasi pamoja, shule na vyuo tunasoma pamoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maeneo aliyochania hiyo quran me napajua ni opposite na stendi ya mabasi ya kilosa kuna bar inaitwa Shinyanga then pembeni kuna kijiwe cha bodaboda. Hao bodaboda huwa wanaanza kuwatania walevi wa hiyo bar kwa kuwaambia kuwa hawawezi kufanya jambo fulani hata akilewa vipi. Sasa mlevi akiona hivyo anatafuta namna ya kudhihirisha atafanya nini ili aonekane jasiri.
Huyo afisa biashara ni mlevi mbwa alikuja kulewa hapo bar, baada ya kulewa ndo akakutana na bodaboda wakaanza kumwita mlokole gani wewe unalewa hovyo, akajibu dini yake ndo bora kuliko dini yoyote hata hao waislam si lolote kwake. Bodaboda mmoja akampa juzuu amma akamwambia ichane hii kama unaweza. Huyo mlevi akaichukua akaanza kuichana huku wanamrekodi video. Ndio mwanzo wa hiyo issue.
So yawezekana ni kweli karogwa ndo maana anafanya vitu nje ya self control au pombe ndio imempelekea kupata ujasiri wa kuchana maneno ya Allah (s.w)
Mengine nawaachia wahusika!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna chuki yoyote! Itakuwa yule jamaa alitupiwa kajini kanafunzi !
Hamna kipapai ana chuki na Uislam katokea Marangu ndugu yangu huyo Mungu ampe mwongozo awe mvumilivu na imani Za wengine
Kama chanzo cha kuchana quran ni kurogwa basi dozi ya urozi ingemkolea angeenda kuharishia msikiti na kumkojolea imam kwenye mdomoKatika kufuatilia chimbuko la kisa cha Afisa biashara aliyeonekana akichana kitabu cha Qur'an!
Moja mwananchi ambaye hakutaka jina lake litajwe; Amesema Aliwahi kufungiwa biashara yake changa na afisa huyo walipo mkamata na mgambo wa halmashauri kwa kudaiwa kutokuwa na leseni;
Pamoja na kujitetea kuwa biashara yake ilikuwa changa na alikuwa tayali kashaanza mchakato wa kukata leseni lakini Afisa huyo pamoja na wenzake ( walimfungia biashara yake na kuondoka naye kimabavu kiasi cha kulipishwa faini ambayo hata hakupewa risiti!
Mnyetishaji huyo alizidi kusema, matendo ya afisa huyo yameumiza wafanya biashara wengi kwa kutisha na kukamata wafanya biashara!
Mnyetishaji huyo anasema Kitendo cha kuchana Quran ilikuwa ni mwanzo tu wa pigo katika kuelekea kutembea uchi!
Na iwe fundisho kwa maafisa wengine wanaotumia nafasi zao kunyanyasa wengine!
Waziri Jafo mnamo tarehe 7 feb 2020 alitoa tamko la kumsimamishwa kazi mtumishi huyo na kumwagiza mkurugenzi wa kilosa kumchukulia hatua ya nidham! Kwa maana hii mkurugenzi usisahau kupitia namna alivyokuwa akitekeleza majukumu yake kama mtumishi wa serikali ili kubaini kama kuna mazingira ya Rushwa yalifanyika hadi kupelekea mtumishi huyo kuchanganyikiwa!
View attachment 1351608
Hizi ni ramli tu.
Uchizi wake unahusiana vipi na kuchana Quran?
mbona hajaenda kurusha mawe kambi ya jeshi?
Sent using Jamii Forums mobile app