Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,681
- 46,362
Yapo mengi yamesemwa kuhusu usalama Chanjo za Corona, tunaendela kushuhudia hata watu wasio na ujuzi wowote wa tiba na sayansi ya madawa wakiwa mstari wa mbele kuonyesha madhara ya chanjo. Lakini ni vyema tufahamu.
1. Chanjo za COVID-19 ni SALAMA na zimefanyiwa majaribio ya kutosha ya usalama wake.
2.Chanjo za Covid zote za Marekani, Ulaya, Russia na China HAZIGUSI DNA kabisa, zote ni kwa ajili ya mRNA. Hizi chanjo hazitabadilisha DNA yako kwa namna yoyote.
3.Chanjo za COVID-19 zimewahi kutengezewa kwa sababu ya maendeleo makubwa ya teknolojia ya tiba na madawa katika karne ya 21 na ufadhili mkubwa wa haraka wa kifedha.
4.Sio kweli kwamba hata Chanjo nyingine amabazo zilifanyiwa majaribio ya muda mrefu ziliwahi kuleta madhara makubwa.
5.Mashirika yanayohusika na udhibiti wa chanjo yamezipa kibali cha haraka baada ya kuridhika ni salama kabisa.
6.Wapinga chanjo(Anti vaxxers) wamekuwepo katika chanjo zozote zilizowahi kutengenezwa, hawa wa sasa wana faida kubwa ya maendeleo ya teknolojia ya habari kueneza uvumi wao.
7. Ukiumwa unakimbilia hospitali kucheki afya yako na unamuamini daktari anajua au atajua tatizo lako. Hauendi kwa Gwajima, padri au wanasiasa, fanya hivyo kwa Covid pia. Sikiliza na fuata madaktari na wataalamu wa virusi wanachosema.
1. Chanjo za COVID-19 ni SALAMA na zimefanyiwa majaribio ya kutosha ya usalama wake.
2.Chanjo za Covid zote za Marekani, Ulaya, Russia na China HAZIGUSI DNA kabisa, zote ni kwa ajili ya mRNA. Hizi chanjo hazitabadilisha DNA yako kwa namna yoyote.
3.Chanjo za COVID-19 zimewahi kutengezewa kwa sababu ya maendeleo makubwa ya teknolojia ya tiba na madawa katika karne ya 21 na ufadhili mkubwa wa haraka wa kifedha.
4.Sio kweli kwamba hata Chanjo nyingine amabazo zilifanyiwa majaribio ya muda mrefu ziliwahi kuleta madhara makubwa.
5.Mashirika yanayohusika na udhibiti wa chanjo yamezipa kibali cha haraka baada ya kuridhika ni salama kabisa.
6.Wapinga chanjo(Anti vaxxers) wamekuwepo katika chanjo zozote zilizowahi kutengenezwa, hawa wa sasa wana faida kubwa ya maendeleo ya teknolojia ya habari kueneza uvumi wao.
7. Ukiumwa unakimbilia hospitali kucheki afya yako na unamuamini daktari anajua au atajua tatizo lako. Hauendi kwa Gwajima, padri au wanasiasa, fanya hivyo kwa Covid pia. Sikiliza na fuata madaktari na wataalamu wa virusi wanachosema.
Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
COMMISSION TO EXPOSE EVIL So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the daylight; what is whispered in your ear, proclaim from the roofs. Do not be afraid of those who kill...
www.jamiiforums.com