Nyamtajanyalwa
Member
- Jan 31, 2021
- 12
- 6
Ndungu zangu mm nimefika katika jukwaa hili ili niweze kutoa hili jambo ambalo binafsi limenitisha naomba kupata majibu kwa wataalamu, kuna dawa ya kutuliza maumivu kwa jina INDOSINE (si mtaalamu katika kuandika majina ya madawa).
Dawa hii imekuwa ikitumika kama sumu ya panya, na mimi binafsi nimeitumia kwani nilikuwa nasubumbuliwa sana na panya katika stoo yangu, ndugu zangu hii dawa imefanya vizuri sana kuliko dawa zote za panya nilizotumia zinazozalishwa nje na ndani ya Tanzania.
Sasa wasiwasi na swali langu, "hivi hii dawa itakuwa salama kweli kwa afya zetu sisi binadamu kama panya wanakufa kiasi kile na ukizingatia majaribio mengi ya tiba panya hutumika kama vijaribio?
Msaada kwa wataalamu wa madawa na afya. Asante.
Dawa hii imekuwa ikitumika kama sumu ya panya, na mimi binafsi nimeitumia kwani nilikuwa nasubumbuliwa sana na panya katika stoo yangu, ndugu zangu hii dawa imefanya vizuri sana kuliko dawa zote za panya nilizotumia zinazozalishwa nje na ndani ya Tanzania.
Sasa wasiwasi na swali langu, "hivi hii dawa itakuwa salama kweli kwa afya zetu sisi binadamu kama panya wanakufa kiasi kile na ukizingatia majaribio mengi ya tiba panya hutumika kama vijaribio?
Msaada kwa wataalamu wa madawa na afya. Asante.