Nchi imekosa uongozi madhubuti hii. Ukishakuwa na rais ambaye hana vision usitegee matokeo chanya. Rais alikosea sana kuendelea na wale wale walioboronga mwanzoni.hii hali ikiendelea na huu mkanganyiko watuchanje tusichanje basi wananchi hawatajitokeza kabisa kuchanja.
Mkuu wa mkoa kafeli mno katika kuhamasisha wanadsm wajitokeze ilitakiwa leo ndio iwe slama kwa taifa kua dsm watu wamejitokeza wengi
Ndio maana havutii watuMnataka afanyeje?
Mmezoea show off na video cameras hekaheka mtoni ndipo mkubali kuwa anafanya kazi ?
Management styles zipo nyingi tofauti tofauti!
Si ndo hapoKwani chanjo si imesemwa kuwa ya hiyari?
Sasa kama wengi wameamua kwa hiyari yao kutochanjwa mnashangazwa na nini ?
Mwisho zita ekspaya kabla hazijaisha.
Kabisa na ziharibike tuTozo za Simu, mara kodi ya jengo. Unaanzaje kupata utulivu wa Akili kwenda kuchanja.
Bora kwenda kutafuta pesa Au kwenda kwenye Ibada kuliko kwenda kuchanja.
Chanjo zenyewe ziaharibike tu.
Matangazo Kwa kweli yalikuwa kidogo sana media nyingi hazikutangaza kabisa ndio maana mwitiko umekuwa hafifuDar es Salaam ni kama imebeba picha ya Tanzania nzima wakati fulani ni kama pilot (case study) katika mikoa mingine.
Mkuu wa mkoa wa DSM alitangaza siku ya leo kuwa kutakua na chanjo ya UVIKO-19 katika uwanja wa taifa wa Uhuru, mimi nimekwenda na nimechanjwa hali nilioiona kwa leo hapana muitikio ni mdogo mno kuna sababu za msingi za kulipa nguvu jambo hili.
Mosi ni kwa wale waliokuwa viongozi wa awamu ya tano katika Wizara ya Afya wajipime,sio mpaka mama awabadilishie majukumu mengine.
Inawapa sana ugumu watanzania" jana waambiwe hivi na leo waambiwe hivi"(kiongozi anasema jana chanjo sio salama leo anasema chanjo ni salama).
Shaka kubwa sana imejengeka hapo kwa wananchi Rai yangu wapatikane viongozi wapya katika wizara hii kutuhamasisha juu ya uchanjwaji huu vinginevyo naona kabisa serikal inaenda kufeli katika jambo hili.
Sio mbaya kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akimuona RC mstaafu aliyegombea kule Mbutu ampe namna ya kuhamasisha watu anapokuwa na jambo lake kwa wananchi wa DSM, naona habari za ofisi yake zinaishia Bungoni tu sio Dar es Salaam yote.
Muwe na Jumapili njema, korona ipo.
Kwakweli kwa ile clip niliyoiona Leo molel akiongea wakati wa magufuli kuwa chanjo ni mbaya ikiingia kwenye mwili wa mwanadamu!Niliwahi kushauri hapa kuwa kabla ya nationwide roll out ya Vaccine mama asafishe kwanza mabaki haya ambayo jana yalisema ivi Na Leo wanasema vingine wananchi tunapatwa Na mkanganyiko mana Wataalamu wetu jana wakisema ivi Na Leo wanasema vile hata Mimi nimeamua kukaa pembeni kwanza nikiangalia sarakasi zao
NdioSababu ziko wazi na zimeelezewa na askofu Gwajima leo,
Wazazi wangu washastaafu Dr na nurse,na wana hospital yao kwa sasa mkoani huko!mama alishaumwa last yr na alipona tunamshukuru Mungu! lakini wametuambia tusichanje na wao hawachanji! Na sbb za kitaalamu nimepewa,sa Dorothy aniambie nichanje?bila sbb za kujitosheleza, masihara.Ndugu yangu nakushauri kama upo above 40yrs old nenda kachanje hata kama upo strong kiasi gani nenda kachanje huu Ugonjwa hauwezi kwesha leo wala kesho.
Umekwenda uwanjani leo?Dar es Salaam ni kama imebeba picha ya Tanzania nzima wakati fulani ni kama pilot (case study) katika mikoa mingine.
Mkuu wa mkoa wa DSM alitangaza siku ya leo kuwa kutakua na chanjo ya UVIKO-19 katika uwanja wa taifa wa Uhuru, mimi nimekwenda na nimechanjwa hali nilioiona kwa leo hapana muitikio ni mdogo mno kuna sababu za msingi za kulipa nguvu jambo hili.
Mosi ni kwa wale waliokuwa viongozi wa awamu ya tano katika Wizara ya Afya wajipime,sio mpaka mama awabadilishie majukumu mengine.
Inawapa sana ugumu watanzania" jana waambiwe hivi na leo waambiwe hivi"(kiongozi anasema jana chanjo sio salama leo anasema chanjo ni salama).
Shaka kubwa sana imejengeka hapo kwa wananchi Rai yangu wapatikane viongozi wapya katika wizara hii kutuhamasisha juu ya uchanjwaji huu vinginevyo naona kabisa serikal inaenda kufeli katika jambo hili.
Sio mbaya kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akimuona RC mstaafu aliyegombea kule Mbutu ampe namna ya kuhamasisha watu anapokuwa na jambo lake kwa wananchi wa DSM, naona habari za ofisi yake zinaishia Bungoni tu sio Dar es Salaam yote.
Muwe na Jumapili njema, korona ipo.
Ulitegemea waseme muitikio ulikuwa mdogo?Umekwenda uwanjani leo?
Radio One taarifa ya habari ya saa mbili wanasema mwitikio ulikuwa mkubwa. Wewe unasema mdogo. Kipi ni kipi?