- Thread starter
- #21
shida ilianzia hapa noana haikua zambi tulivuka salama lakini huyu hakupaswa kugeuka yale mama weke mwengine kaz iendelee
shida ilianzia hapa noana haikua zambi tulivuka salama lakini huyu hakupaswa kugeuka yale mama weke mwengine kaz iendelee
kweli kabisa shida ipo hata haihitaji akil kabisa kuwatambua na kuwaamini hawa viongozi wa afya wote walio wahi kua na mlengo ule bas wakae pembeni waje uwapya hapo kidogo tunaweza waamini wanasema wanasiasa sio wa kuwaamini lakin hapa naona sio siasa ni taaluma nimr na wizara ziwe mpya watakua na ajenda kwa wnanchi hivi hivi wataendelea kumsafishia gwajima na kumuongezea wauminNiliwahi kushauri hapa kuwa kabla ya nationwide roll out ya Vaccine mama asafishe kwanza mabaki haya ambayo jana yalisema ivi Na Leo wanasema vingine wananchi tunapatwa Na mkanganyiko mana Wataalamu wetu jana wakisema ivi Na Leo wanasema vile hata Mimi nimeamua kukaa pembeni kwanza nikiangalia sarakasi zao
yule angeweza hata ww ungeenda kuchoma mbona uliwah kwenda pale lidaz kumsikiliza namna ya kupata ajiraSawa, mwambie Bashite kazi yake tayari umefanya.
Haaakweli kabisa shida ipo hata haihitaji akil kabisa kuwatambua na kuwaamini hawa viongozi wa afya wote walio wahi kua na mlengo ule bas wakae pembeni waje uwapya hapo kidogo tunaweza waamini wanasema wanasiasa sio wa kuwaamini lakin hapa naona sio siasa ni taaluma nimr na wizara ziwe mpya watakua na ajenda kwa wnanchi hivi hivi wataendelea kumsafishia gwajima na kumuongezea waumin
ni bora hayo mashaka yawepo lakin si kwa ambacho kinaendelea sasaHaaa
Wameshachelewa sana. Pale pale Rais Samia alipokuwa anachagua baraza la mawaziri alitakiwa usiwaweke .
Ukiwaondoa sasa hivi mashaka ni makubwa
Sababu ziko wazi na zimeelezewa na askofu Gwajima leo,Kwa kweli muitikio ni mdogo sana!
Tuliambiwa zililetwa chanjo milioni moja na ushee hivi.
Lakini bado mpaka hivi sasa unaweza kwenda kwenye moja ya vituo vinavyotoa chanjo bila hata kuweka miadi na ukachanjwa!
Kwani dadake siku hizi mbona sikuelewi unasimama upande gani au tozo imekuchanganyiiiChanjo zao la tozo
Mkuu wa mkoa ni failure tu hana influence yoyote mjini hapa ndo mana hata matamko yake watu hawachukulii serious wala nini yupo yupo tu.
Naomba nikuulize za, side effects za hiyo chanjo baada ya miaka mi5 ni zipi?Dar es Salaam ni kama imebeba picha ya Tanzania nzima wakati fulani ni kama pilot (case study) katika mikoa mingine.
Mkuu wa mkoa wa DSM alitangaza siku ya leo kuwa kutakua na chanjo ya UVIKO-19 katika uwanja wa taifa wa Uhuru, mimi nimekwenda na nimechanjwa hali nilioiona kwa leo hapana muitikio ni mdogo mno kuna sababu za msingi za kulipa nguvu jambo hili.
Mosi ni kwa wale waliokuwa viongozi wa awamu ya tano katika Wizara ya Afya wajipime,sio mpaka mama awabadilishie majukumu mengine.
Inawapa sana ugumu watanzania" jana waambiwe hivi na leo waambiwe hivi"(kiongozi anasema jana chanjo sio salama leo anasema chanjo ni salama)
Shaka kubwa sana imejengeka hapo kwa wananchi Rai yangu wapatikane viongozi wapya katika wizara hii kutuhamasisha juu ya uchanjwaji huu vinginevyo naona kabisa serikal inaenda kufeli katika jambo hili.
Sio mbaya kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akimuona RC mstaafu aliyegombea kule Mbutu ampe namna ya kuhamasisha watu anapokuwa na jambo lake kwa wananchi wa DSM, naona habari za ofisi yake zinaishia Bungoni tu sio Dar es Salaam yote
Muwe na Jumapili njema, korona ipo.
Ataanzia wapi ,hata yeye alikuwa na msimamo huo...mbona tunakuwa wepesi kisahau...Huo ulikuwa no msimamo ww Serikali ...Hakuna Waziri aliyekuwa na ubavu wa kumpinga Jiwe...mmekumbuka yaliyompata Ndugulile?!Niliwahi kushauri hapa kuwa kabla ya nationwide roll out ya Vaccine mama asafishe kwanza mabaki haya ambayo jana yalisema ivi Na Leo wanasema vingine wananchi tunapatwa Na mkanganyiko mana Wataalamu wetu jana wakisema ivi Na Leo wanasema vile hata Mimi nimeamua kukaa pembeni kwanza nikiangalia sarakasi zao
Sijawahi kwenda huko kwa jambo lolote katika maisha yangu.y
yule angeweza hata ww ungeenda kuchoma mbona uliwah kwenda pale lidaz kumsikiliza namna ya kupata ajira
fuatilia page za rafiki zake uko insta kwa page ya kingi wa mitandao ya kijamii kila siku ana habari lakin bado kua udambwi anaukosa habar zinaishi kwa marafiki zakeMnataka afanyeje?
Mmezoea show off na video cameras hekaheka mtoni ndipo mkubali kuwa anafanya kazi ?
Management styles zipo nyingi tofauti tofauti!
hawa viongozi ndio walipaswa wabakie na msima ule ili mama aone hana umuhimu wa kwenda na wangine ambao wangekua na sababu za msingi juu ya huu ugonjwaAtaanzia wapi ,hata yeye alikuwa na msimamo huo...mbona tunakuwa wepesi kisahau...Huo ulikuwa no msimamo ww Serikali ...Hakuna Waziri aliyekuwa na ubavu wa kumpinga Jiwe...mmekumbuka yaliyompata Ndugulile?!
Tusiwaonee Molel na Gwajima!
Ndugu yangu nakushauri kama upo above 40yrs old nenda kachanje hata kama upo strong kiasi gani nenda kachanje huu Ugonjwa hauwezi kwesha leo wala kesho.Niliwahi kushauri hapa kuwa kabla ya nationwide roll out ya Vaccine mama asafishe kwanza mabaki haya ambayo jana yalisema ivi Na Leo wanasema vingine wananchi tunapatwa Na mkanganyiko mana Wataalamu wetu jana wakisema ivi Na Leo wanasema vile hata Mimi nimeamua kukaa pembeni kwanza nikiangalia sarakasi zao