Chanjo, Lockdown, Uchumi na Mitego ya Kiintelijensia: Tanzania ya 2022

Unajua sometyms nawaza watanzania hivi mnajikuta nyie kina nani kila janga mseme ni vita vya kiuchumi? Kwahyo nchi nyingine kama Italia waliozika maelfu ya watu wao hii vita hiawahusu..Kwa kipi hiko mnachowaogopesha hao wazungu?
 
Chanjo ni hiari ya lazima
🤣🤣
....ndio maana mimi muuza kahawa nimeling'amua hilo na kujiandaa KUCHANJWA....

Nitaendelea kuwapa elimu ya chanjo marafiki na wateja wangu !!

#NajiandaaKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
Mawazo mazuri ila mwisho umeharibu JK ni mwanadiplomasia mzuri na ana ushawishi mkubwa nje na ndani na siasa azaziweza ziwe za kihuni au za haki bado hajachoka tumtumie ukiangalia kipindi hiki tushaamua kwenda sawa na Dunia kama inavyotaka.
Kama hatuwezi kushindana nao tuungane nao tu.


Sijui kama umesoma kuelewa au ili umjibu mleta mada,tukiamua kwenda sawa na dunia ndo itatubidi wimbi linalokuja/litakalokuja na sisi tuende kama watakavyofanya wao lock down etc so ameshauri ni vyema tuchukue uelekeo wetu mapema ili ikifika tayari tuwe na options zetu za kufata.

Kwa kutumia diplomasia hizo hizo hao huko duniani watatumia diplomasia zao tena meza moja na Kikwete ili tuyumbe.
 

Ufunuo wa Yohana 13​

Mnyama kutoka Baharini​

13 Kisha niliona mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba akipanda kutoka baharini. Kila pembe yake ilikuwa na taji. Alikuwa na kumkufuru Mungu lililoandikwa kwenye kila kichwa.
2 Mnyama huyu alionekana kama chui, miguu yake ilikuwa kama ya dubu. Mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Joka akampa huyo mnyama uweza wake wote, kiti chake cha enzi na mamlaka kuu.

3 Kichwa kimoja cha mnyama kilionekana kama kimejeruhiwa na kuuawa, lakini kidonda cha mauti kilipona. Watu wote ulimwenguni walishangaa, na wote walimfuata mnyama.
4 Watu waliliabudu joka kwa sababu limempa nguvu mnyama, na pia walimwabudu mnyama. Waliuliza, “Nani ana nguvu kama mnyama? Nani anaweza kufanya vita dhidi yake?”

5 Mnyama aliruhusiwa kujigamba na kumtukana Mungu na kutumia nguvu zake kwa miezi arobaini na mbili.
6 Mnyama alifungua kinywa chake ili amtukane Mungu, alitukane jina lake, mahali anapoishi, na wale wote wanaoishi mbinguni.
7 Alipewa uwezo wa kufanya vita na watakatifu wa Mungu na kuwashinda. Alipewa uwezo juu ya kila kabila, asili, lugha na taifa.
8 Kila anayeishi duniani angemwabudu mnyama. Hawa ni watu wote ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo tangu mwanzo wa ulimwengu. Mwanakondoo ndiye yule aliyeuawa.


9 Kila mtu anayesikia mambo haya azingatie hili:

10 Yeyote ambaye ni lazima awe mfungwa,
atakuwa mfungwa.
Yeyote ambaye ni wa kuuawa kwa upanga,
atauawa kwa upanga.
Hii inamaanisha kwamba watakatifu wa Mungu lazima wawe na subira na imani.

Mnyama Kutoka Nchi Kavu​

11 Pia nikaona mnyama mwingine akija kutoka katika nchi. Alikuwa na pembe mbili kama kondoo, lakini anaongea kama joka.
12 Mnyama huyu alisimama mbele ya mnyama wa kwanza na kutumia nguvu ile ile ya mnyama wa kwanza. Alitumia nguvu hii kumfanya kila mtu aishiye duniani amwabudu mnyama wa kwanza. Mnyama wa kwanza ndiye mwenye jeraha la mauti lililopona.
13 Mnyama wa pili alifanya miujiza mikuu. Alitengeneza hata moto ushuke kutoka mbinguni kuja duniani watu wakiangalia.

14 Mnyama huyu wa pili aliwadanganya watu wanaoishi duniani kwa kutumia miujiza ambayo amepewa uwezo wa kuifanya kwa ajili ya mnyama wa kwanza. Aliwaamuru watu kutengeneza sanamu ili kumheshimu mnyama wa kwanza, aliyejeruhiwa kwa upanga lakini hakufa bali akawa hai tena.
15 Mnyama wa pili alipewa uwezo wa kuipa uzima sanamu ya mnyama wa kwanza. Kisha kinyago kiliweza kuongea na kuamuru watu wote ambao hawakukiabudu wauawe.
16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao.

17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii. (Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.)

18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama. Hili linahitaji hekima. Namba hii ni namba ya mtu. Nayo ni 666.




EINSTEIN112 ✍✍✍✍


View attachment 1872931
Sio Pope tena?
 
Yaani wewe wa hovyo sanaaaaaa

Umejaliwa uwezo wa kusoma na kuandika tuu ila kuelewa wewe ni kilaza aliyelala

Jifunze kutofautisha kati ugonjwa na dini halafu ukimaliza uniambie hiyo corona umeletewa na toka namanyere au nayo imetokea wapi


Mfyuuuu zako
Jf hii, kila mtu anajitanabaisha yuko fit in mind, lakini kiukweli upeo wao wa kufikiri ni mdogo sana na wengi wako biased kwa itikadi walizonazo,

Umemjibu vizuri sana lakini hatakuelewa kbs
 
Uwezo wangu wa kisiasa, kiuchumi, na ki-intelijensia ni mdogo sana. Naomba niliweke hili wazi mapema. Sisi ndiyo wale tunaouliza lini "Brazil itacheza na Manchester".

Ninachompendea Mama, tofauti na JPM ni tabia yake ya kuwa brief. Hotuba ya Mama usipoiwahi basi utakuta amemaliza. Harudiirudii mambo. Iko well planned. Hata mambo yake yanaonekana kuwa organized. Halafu anafuata ushauri. Leo namuongezea ushauri. Dark blue skirt au non blouse garments ambazo ni dark blue zinampendeza sana. Mama hapotezi muda. Siku JK ameongea bungeni masaa matatu nilisema huyu baba kulikoni? Twende kwenye mada.
Nimesoma hadi hapa, nikaona wewe ni tofauti kabisa na huyo unayempa ushauri. Umejaribu kulifikiri hilo?
Wewe una mizunguko mingi sana isiyokuwa ya lazima.

Ngoja nikatafute mengine uliyoeleza kuhusu kichwa cha mada yako, maanake bado sijayaona hadi hapa!
 
Hata ukitaka uwezo wa kuweka nchi lockdown hauna; tuongee vitu realistic..., hili li nchi likubwa sio kama Kenya, Rwanda wala Uganda...., pili nchi za magharibi waliweza kufanya hivyo ili kulinda taasisi zao zisizidiwe na wagonjwa kwa wakati mmoja wakati wanatafuta chanjo / mbadala.....

In short kwetu total lockdown is not an option (uwezo huo hatuna) hali ikiwa mbaya watu kuanguka barabarani wala hautahitaji kuwaambia watu wala kuwakumbusha nature will take its cause na watu wenyewe kuji-conform... ila hatuombei tufike huko na kutokufika huko ni kuzingatia ushauri wa watu wenye taaluma zao (sio kwamba wana akili kuliko sisi.... HAPANA..., bali ndio kazi zao wanazofanya usiku na mchana) so they know better....
 
Nini tufanye kwa sasa?

1. Tuache kuimba nyimbo za covid na kuishobokea maana itatuliza. Sisi tuiache chanjo itumike kama passport tu kwa watu ambao wana matumizi nayo na hawazidi watu laki mbili!!
2. Tuache kuagiza chanjo nyingine kwa pesa zetu.
3. Tuwekeze kwenye kilimo sana ili tuwe na chakula cha kutosha
4. JK is my family friend. However, kwa sasa siyo lazima sana mama kumfanya kuwa mshauri wake.

Muda wa kuingia jikoni umekaribia. Siku njema
Nimemaliza kuisoma habari yote.
Hitimisho langu ni kwamba wewe ni mtu wa 'drama' nyingi. A lot of hot air where there is no fire!

Kichwa cha mada umekifanya kuwa kizito kwelikweli, lakini yaliyomo ndani ya mada yenyewe ni nadharia za kufikirika (conspiracy theories) zisizokuwa na uhalisia wowotUtaona kama nakandamiza maoni yako bila ya kutoa maelezo mahsusi juu yake.
Ninaweza kuchambua hatua kwa hatua udhaifu wa haya uliyoweka hapa kukuonyesha kwamba hujaitendea haki mada yako, lakini hasa muhimu zaidi ni mwendelezo wa kuwapotosha waTanzania kuhusu ugonjwa huu.

Sijui mnafaidika vipi kwa upotoshaji wa aina hii mnaoufanya hapa!
 
Hata ukitaka uwezo wa kuweka nchi lockdown hauna; tuongee vitu realistic..., hili li nchi likubwa sio kama Kenya, Rwanda wala Uganda...., pili nchi za magharibi waliweza kufanya hivyo ili kulinda taasisi zao zisizidiwe na wagonjwa kwa wakati mmoja wakati wanatafuta chanjo / mbadala.....

In short kwetu total lockdown is not an option (uwezo huo hatuna) hali ikiwa mbaya watu kuanguka barabarani wala hautahitaji kuwaambia watu wala kuwakumbusha nature will take its cause na watu wenyewe kuji-conform... ila hatuombei tufike huko na kutokufika huko ni kuzingatia ushauri wa watu wenye taaluma zao (sio kwamba wana akili kuliko sisi.... HAPANA..., bali ndio kazi zao wanazofanya usiku na mchana) so they know better....
"....na kutokufika huko ni kuzingatia ushauri wa watu wenye taaluma zao,..., ndio kazi zao wanazofanya usiku na mchana, so they know better..."
A very pertinent statement indeed!

Mambo yalianza kuharibikia hapo, wataalam walipowekwa pembeni na maswala ya COVID-19 yakawa ya watawala kuamua juu ya jambo wasilokuwa na ufahamu nalo.
 
Uwezo wangu wa kisiasa, kiuchumi, na ki-intelijensia ni mdogo sana. Naomba niliweke hili wazi mapema. Sisi ndiyo wale tunaouliza lini "Brazil itacheza na Manchester".

Ninachompendea Mama, tofauti na JPM ni tabia yake ya kuwa brief. Hotuba ya Mama usipoiwahi basi utakuta amemaliza. Harudiirudii mambo. Iko well planned. Hata mambo yake yanaonekana kuwa organized. Halafu anafuata ushauri. Leo namuongezea ushauri. Dark blue skirt au non blouse garments ambazo ni dark blue zinampendeza sana. Mama hapotezi muda. Siku JK ameongea bungeni masaa matatu nilisema huyu baba kulikoni? Twende kwenye mada.

1. JPM hakuipa "kiki" Covid. Hii ilitusaidia angalau uchumi haukuanguka kama nchi nyingine. Ukoloni wa sasa wa dunia ni kuharibu uchumi wa dunia ili wenye njaa kama sisi tuumie zaidi halafu tutawaliwe vizuri. Kwa bahati mbaya, uchumi wa dunia umetikisika. Lockdown zimeua a great number of economies. Nchi zilitishwa na kusema ukweli lockdown ikashika kasi. Chanjo zimejitokeza na makampuni yamepiga pesa. Pfizer wanategemea kuingiza dola billion 35 kwa mwaka 2021 alone. Next year ndiyo usiseme. Intelligence entities za wenzetu, katika hili wamefanikiwa sana.

2. Intention ya mama ni nzuri. Anajali watu wake. Hata hivyo, ninahisi kuna mtego wa kiuchumi na kiintelijensia tunauingia bila kufahamu. Kwakuwa hatukuwa na lockdown ambayo ndiyo target kuu na si vaccination, na hili halikuwafurahisha wakubwa, naona wamefurahi sana sisi kuchanja. Naomba niwe wazi. Chanjo ni salama. Siyo kweli kuwa inaua. Ila mtego uliopo ni kwamba kuchukua hatua ya kuchanja ni hatua muhimu kukubaliana na hatua zote za kukabiliana na covid hasa lockdown. Kumbuka kwamba, covid haijaisha. Ndiyo kwanza imeanza. Hata tukichanja watu wote duniani, covid "itakuja" tu. Inaonekana huu ni mradi wa kuua uchumi wa dunia. Katika hili wataalamu watanisaidia.

3. Sasa kama nilivyosema hapo juu, lockdown ni njia ya kupambana na maambukizi hasa yanapokuwa makubwa. Kwa kuwa tumekubaliana na hatua nyingine ikiwemo masking, basi tukumbuke kuwa November 2021 to May 2022 ni kipindi kingine cha covid. Tutakuwa hatujachanja sana. Tutashinikizwa tu-adopt enhanced measures of combating the virus. And this is lockdown. Hatutaweza kukataa maana tulishafanya mambo mengi ikiwamo kujiunga na covax, kuomba msaada wa kiuchumi, pamoja na kuchukua tahadhari zote kama vile masking, physical distancing, and hand washing. Therefore, lazima tutakubaliana na lockdown.

4. Lockdown ni mbaya kuliko covid. Lockdown will kill our economy. Jobs will be lost. There will be a great cry all over the country. Kodi itashuka and ability of government to fund its projects and people will perish miserably. Ultimately, social and political unrest will embrace our living. Hadi hapo, kujinasua tutakuwa tumeshindwa. Msaada tutapewa wenye masharti magumu. Ukitaka kujinasua (kuleta mbwembwe) utanyooshwa kwa vikwazo na silaha nyingine za kiuchumi. Hali hii ni mbaya sana kuliko covid yenyewe. Naomba niwe mkweli. Variants bado zinakuja.

Nini tufanye kwa sasa?

1. Tuache kuimba nyimbo za covid na kuishobokea maana itatuliza. Sisi tuiache chanjo itumike kama passport tu kwa watu ambao wana matumizi nayo na hawazidi watu laki mbili!!
2. Tuache kuagiza chanjo nyingine kwa pesa zetu.
3. Tuwekeze kwenye kilimo sana ili tuwe na chakula cha kutosha
4. JK is my family friend. However, kwa sasa siyo lazima sana mama kumfanya kuwa mshauri wake.

Muda wa kuingia jikoni umekaribia. Siku njema
Ok kama nimekuelewa umesema tuache ubishi na wenye nguvu tutaumia. Tufunike kombe wanaharamu wapite au siyo? Naona hiyo magufuli aliifanya vizuri na bila shaka angekua hai angetelezateleza kwa hao vigogo hadi tupite salama. Mama naona anaingia mtegoni kichwakichwa huenda uchumi ukaharibika.
 
Mmojawapo wa vilaza waliolijaza taifa letu.

Ufunuo wa Yohana 13​

Mnyama kutoka Baharini​

13 Kisha niliona mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba akipanda kutoka baharini. Kila pembe yake ilikuwa na taji. Alikuwa na kumkufuru Mungu lililoandikwa kwenye kila kichwa.
2 Mnyama huyu alionekana kama chui, miguu yake ilikuwa kama ya dubu. Mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Joka akampa huyo mnyama uweza wake wote, kiti chake cha enzi na mamlaka kuu.

3 Kichwa kimoja cha mnyama kilionekana kama kimejeruhiwa na kuuawa, lakini kidonda cha mauti kilipona. Watu wote ulimwenguni walishangaa, na wote walimfuata mnyama.
4 Watu waliliabudu joka kwa sababu limempa nguvu mnyama, na pia walimwabudu mnyama. Waliuliza, “Nani ana nguvu kama mnyama? Nani anaweza kufanya vita dhidi yake?”

5 Mnyama aliruhusiwa kujigamba na kumtukana Mungu na kutumia nguvu zake kwa miezi arobaini na mbili.
6 Mnyama alifungua kinywa chake ili amtukane Mungu, alitukane jina lake, mahali anapoishi, na wale wote wanaoishi mbinguni.
7 Alipewa uwezo wa kufanya vita na watakatifu wa Mungu na kuwashinda. Alipewa uwezo juu ya kila kabila, asili, lugha na taifa.
8 Kila anayeishi duniani angemwabudu mnyama. Hawa ni watu wote ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo tangu mwanzo wa ulimwengu. Mwanakondoo ndiye yule aliyeuawa.


9 Kila mtu anayesikia mambo haya azingatie hili:

10 Yeyote ambaye ni lazima awe mfungwa,
atakuwa mfungwa.
Yeyote ambaye ni wa kuuawa kwa upanga,
atauawa kwa upanga.
Hii inamaanisha kwamba watakatifu wa Mungu lazima wawe na subira na imani.

Mnyama Kutoka Nchi Kavu​

11 Pia nikaona mnyama mwingine akija kutoka katika nchi. Alikuwa na pembe mbili kama kondoo, lakini anaongea kama joka.
12 Mnyama huyu alisimama mbele ya mnyama wa kwanza na kutumia nguvu ile ile ya mnyama wa kwanza. Alitumia nguvu hii kumfanya kila mtu aishiye duniani amwabudu mnyama wa kwanza. Mnyama wa kwanza ndiye mwenye jeraha la mauti lililopona.
13 Mnyama wa pili alifanya miujiza mikuu. Alitengeneza hata moto ushuke kutoka mbinguni kuja duniani watu wakiangalia.

14 Mnyama huyu wa pili aliwadanganya watu wanaoishi duniani kwa kutumia miujiza ambayo amepewa uwezo wa kuifanya kwa ajili ya mnyama wa kwanza. Aliwaamuru watu kutengeneza sanamu ili kumheshimu mnyama wa kwanza, aliyejeruhiwa kwa upanga lakini hakufa bali akawa hai tena.
15 Mnyama wa pili alipewa uwezo wa kuipa uzima sanamu ya mnyama wa kwanza. Kisha kinyago kiliweza kuongea na kuamuru watu wote ambao hawakukiabudu wauawe.
16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao.

17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii. (Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.)

18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama. Hili linahitaji hekima. Namba hii ni namba ya mtu. Nayo ni 666.




EINSTEIN112


View attachment 1872931
 
Hakuna maandalizi wala training yoyote, magonjwa ya milipuko yamekuwepo duniani tangu ulimwengu umekuwepo.Nenda kachanjwe akili zikukake vizuri.
Ni maandalizi tu mtumishi Ila bado sana kumbuka haya yatatokea wakati kanisa limeshanyakuliwa Cha msingi wamchao Bwana wajiandae, Ila kuhusu sita sita sita bado Ila hii Ni training tu
 
Tunaendeleza legasi ya Mwendazake
Wazee wetu walikuwa wanautafuta UHURU wao na HESHIMA zao za kutoumizwa ,kudharauliwa na kuuwawa na WAVAMIZI WEUPE....

Wakapambana ile WALOWEZI hao waondoke....baadae wakatokea vijana...vijana waliopata masomo huko ulaya....vijana hawa wakawafundisha NJIA ZA KUFIKIA UHURU WAO ....

Kumbe njia za kufikia UHURU huo zilitoka hukohuko katika MIFUMO YENYE NGUVU YA KIDUNIA....leo hii tunazikataa nguvu hizo kwa kutumia vitabu vitakatifu....

Tuko chini ya UMOJA WA MATAIFA(umeanzishwa na nguvu hizo)

Tuko chini ya UMOJA WA MADOLA(umeanzishwa na nguvu hizo tena wakiwemo walewale walioututawala na tulioudai Uhuru dhidi yao).....

Binafsi NGUVU HIZO sizipingi kwani ZIMETUWEKEA MIFUMO RASMI YA KIELIMU kutoka S/MSINGI ,SEKONDARI MPAKA VYUO....

Waafrika waliosoma wanaitwa MADOKTA NA MAPROFESA(mifumo hiyohiyo)....

Tumekua na kila aina ya chanjo....kwanini TUIKATAE CHANJO HII ya UVIKO na kuifananisha na THE BEAST ?!!

#NajiandaaKuchanjwa
#NimeshachanjwaChanjoNyingi
#VitotoVyanguVinaendeleaKuchanjwa
#KaziIendelee
 
Uwezo wangu wa kisiasa, kiuchumi, na ki-intelijensia ni mdogo sana. Naomba niliweke hili wazi mapema. Sisi ndiyo wale tunaouliza lini "Brazil itacheza na Manchester".

Ninachompendea Mama, tofauti na JPM ni tabia yake ya kuwa brief. Hotuba ya Mama usipoiwahi basi utakuta amemaliza. Harudiirudii mambo. Iko well planned. Hata mambo yake yanaonekana kuwa organized. Halafu anafuata ushauri. Leo namuongezea ushauri. Dark blue skirt au non blouse garments ambazo ni dark blue zinampendeza sana. Mama hapotezi muda. Siku JK ameongea bungeni masaa matatu nilisema huyu baba kulikoni? Twende kwenye mada.

1. JPM hakuipa "kiki" Covid. Hii ilitusaidia angalau uchumi haukuanguka kama nchi nyingine. Ukoloni wa sasa wa dunia ni kuharibu uchumi wa dunia ili wenye njaa kama sisi tuumie zaidi halafu tutawaliwe vizuri. Kwa bahati mbaya, uchumi wa dunia umetikisika. Lockdown zimeua a great number of economies. Nchi zilitishwa na kusema ukweli lockdown ikashika kasi. Chanjo zimejitokeza na makampuni yamepiga pesa. Pfizer wanategemea kuingiza dola billion 35 kwa mwaka 2021 alone. Next year ndiyo usiseme. Intelligence entities za wenzetu, katika hili wamefanikiwa sana.

2. Intention ya mama ni nzuri. Anajali watu wake. Hata hivyo, ninahisi kuna mtego wa kiuchumi na kiintelijensia tunauingia bila kufahamu. Kwakuwa hatukuwa na lockdown ambayo ndiyo target kuu na si vaccination, na hili halikuwafurahisha wakubwa, naona wamefurahi sana sisi kuchanja. Naomba niwe wazi. Chanjo ni salama. Siyo kweli kuwa inaua. Ila mtego uliopo ni kwamba kuchukua hatua ya kuchanja ni hatua muhimu kukubaliana na hatua zote za kukabiliana na covid hasa lockdown. Kumbuka kwamba, covid haijaisha. Ndiyo kwanza imeanza. Hata tukichanja watu wote duniani, covid "itakuja" tu. Inaonekana huu ni mradi wa kuua uchumi wa dunia. Katika hili wataalamu watanisaidia.

3. Sasa kama nilivyosema hapo juu, lockdown ni njia ya kupambana na maambukizi hasa yanapokuwa makubwa. Kwa kuwa tumekubaliana na hatua nyingine ikiwemo masking, basi tukumbuke kuwa November 2021 to May 2022 ni kipindi kingine cha covid. Tutakuwa hatujachanja sana. Tutashinikizwa tu-adopt enhanced measures of combating the virus. And this is lockdown. Hatutaweza kukataa maana tulishafanya mambo mengi ikiwamo kujiunga na covax, kuomba msaada wa kiuchumi, pamoja na kuchukua tahadhari zote kama vile masking, physical distancing, and hand washing. Therefore, lazima tutakubaliana na lockdown.

4. Lockdown ni mbaya kuliko covid. Lockdown will kill our economy. Jobs will be lost. There will be a great cry all over the country. Kodi itashuka and ability of government to fund its projects and people will perish miserably. Ultimately, social and political unrest will embrace our living. Hadi hapo, kujinasua tutakuwa tumeshindwa. Msaada tutapewa wenye masharti magumu. Ukitaka kujinasua (kuleta mbwembwe) utanyooshwa kwa vikwazo na silaha nyingine za kiuchumi. Hali hii ni mbaya sana kuliko covid yenyewe. Naomba niwe mkweli. Variants bado zinakuja.

Nini tufanye kwa sasa?

1. Tuache kuimba nyimbo za covid na kuishobokea maana itatuliza. Sisi tuiache chanjo itumike kama passport tu kwa watu ambao wana matumizi nayo na hawazidi watu laki mbili!!
2. Tuache kuagiza chanjo nyingine kwa pesa zetu.
3. Tuwekeze kwenye kilimo sana ili tuwe na chakula cha kutosha
4. JK is my family friend. However, kwa sasa siyo lazima sana mama kumfanya kuwa mshauri wake.

Muda wa kuingia jikoni umekaribia. Siku njema
Takataka tu. Umeandika,
 
Does the race for vaccine development make sense? What are the chances of success? Will the vaccine be safe? Will people accept it??
In June 2020, Corona, False Alarm? exploded into the German market, selling 200,000 copies and 75,000 e-books in the first six weeks.
No other topic dominates our attention as much as coronavirus and COVID-19, the infectious disease it triggers. There’s been a global deluge of contradictory opinions, fake news, and politically controlled information. Differing views on the dangers posed by the pandemic have led to deep division and confusion, within governments, society, and even among friends and family.
In Corona, False Alarm?, award-winning researchers Dr. Sucharit Bhakdi and Dr. Karina Reiss give clarity to these confusing and stressful times. They offer analysis of whether radical protective measures—including lockdown, social distancing, and mandatory masking—have been justified, and what the ramifications have been for society, the economy, and public health. Dr. Bhakdi and Dr. Reiss provide dates, facts, and background information, including:

How Covid-19 compares with previous coronaviruses and the flu virus

What infection numbers and the death rate really tell us

The challenges around lockdown: Were the protective measures justified?

Mandatory mask-wearing: Does the science support it?

Vaccines: What are the chances of success? What are the risks?

Corona, False Alarm? provides you with sound information and substantiated facts—and encourages you to form your own opinion on the corona crisis.
20210506_113343.jpg
 
Uwezo wangu wa kisiasa, kiuchumi, na ki-intelijensia ni mdogo sana. Naomba niliweke hili wazi mapema. Sisi ndiyo wale tunaouliza lini "Brazil itacheza na Manchester".

Ninachompendea Mama, tofauti na JPM ni tabia yake ya kuwa brief. Hotuba ya Mama usipoiwahi basi utakuta amemaliza. Harudiirudii mambo. Iko well planned. Hata mambo yake yanaonekana kuwa organized. Halafu anafuata ushauri. Leo namuongezea ushauri. Dark blue skirt au non blouse garments ambazo ni dark blue zinampendeza sana. Mama hapotezi muda. Siku JK ameongea bungeni masaa matatu nilisema huyu baba kulikoni? Twende kwenye mada.

1. JPM hakuipa "kiki" Covid. Hii ilitusaidia angalau uchumi haukuanguka kama nchi nyingine. Ukoloni wa sasa wa dunia ni kuharibu uchumi wa dunia ili wenye njaa kama sisi tuumie zaidi halafu tutawaliwe vizuri. Kwa bahati mbaya, uchumi wa dunia umetikisika. Lockdown zimeua a great number of economies. Nchi zilitishwa na kusema ukweli lockdown ikashika kasi. Chanjo zimejitokeza na makampuni yamepiga pesa. Pfizer wanategemea kuingiza dola billion 35 kwa mwaka 2021 alone. Next year ndiyo usiseme. Intelligence entities za wenzetu, katika hili wamefanikiwa sana.

2. Intention ya mama ni nzuri. Anajali watu wake. Hata hivyo, ninahisi kuna mtego wa kiuchumi na kiintelijensia tunauingia bila kufahamu. Kwakuwa hatukuwa na lockdown ambayo ndiyo target kuu na si vaccination, na hili halikuwafurahisha wakubwa, naona wamefurahi sana sisi kuchanja. Naomba niwe wazi. Chanjo ni salama. Siyo kweli kuwa inaua. Ila mtego uliopo ni kwamba kuchukua hatua ya kuchanja ni hatua muhimu kukubaliana na hatua zote za kukabiliana na covid hasa lockdown. Kumbuka kwamba, covid haijaisha. Ndiyo kwanza imeanza. Hata tukichanja watu wote duniani, covid "itakuja" tu. Inaonekana huu ni mradi wa kuua uchumi wa dunia. Katika hili wataalamu watanisaidia.

3. Sasa kama nilivyosema hapo juu, lockdown ni njia ya kupambana na maambukizi hasa yanapokuwa makubwa. Kwa kuwa tumekubaliana na hatua nyingine ikiwemo masking, basi tukumbuke kuwa November 2021 to May 2022 ni kipindi kingine cha covid. Tutakuwa hatujachanja sana. Tutashinikizwa tu-adopt enhanced measures of combating the virus. And this is lockdown. Hatutaweza kukataa maana tulishafanya mambo mengi ikiwamo kujiunga na covax, kuomba msaada wa kiuchumi, pamoja na kuchukua tahadhari zote kama vile masking, physical distancing, and hand washing. Therefore, lazima tutakubaliana na lockdown.

4. Lockdown ni mbaya kuliko covid. Lockdown will kill our economy. Jobs will be lost. There will be a great cry all over the country. Kodi itashuka and ability of government to fund its projects and people will perish miserably. Ultimately, social and political unrest will embrace our living. Hadi hapo, kujinasua tutakuwa tumeshindwa. Msaada tutapewa wenye masharti magumu. Ukitaka kujinasua (kuleta mbwembwe) utanyooshwa kwa vikwazo na silaha nyingine za kiuchumi. Hali hii ni mbaya sana kuliko covid yenyewe. Naomba niwe mkweli. Variants bado zinakuja.

Nini tufanye kwa sasa?

1. Tuache kuimba nyimbo za covid na kuishobokea maana itatuliza. Sisi tuiache chanjo itumike kama passport tu kwa watu ambao wana matumizi nayo na hawazidi watu laki mbili!!
2. Tuache kuagiza chanjo nyingine kwa pesa zetu.
3. Tuwekeze kwenye kilimo sana ili tuwe na chakula cha kutosha
4. JK is my family friend. However, kwa sasa siyo lazima sana mama kumfanya kuwa mshauri wake.

Muda wa kuingia jikoni umekaribia. Siku njema
Chanjo itaondoa kinga asili tuliyokuwa nayo.Tutegemee watu wengi kuugua.Kifuatacho ITV ni lockdown tu.
 
Rafiki zangu.Niko madhabahuni kwa YAHWEH hapa.

Nawaambia ukweli..Kiongozi yoyote dhalimu atakayekubali mikakati ya shetani kuiingiza katika taifa hili HATADUMU.

Yeye na timu yake yote WATANYAUKA ghafla kabla hawajafika hatua yoyote destructive kwa taifa letu.

Taifa hili halitatulia mikononi mwa shetani yoyote yule.Litakuwa kama mlenda kila wakitaka kulikamata linawateleza.Na wasipoangalia watapigwa hadi huko walikotoka ili wasipate mda wa kuhangaika na mataifa ya wenzao.

Wakiendelea na ushetani jiandaeni kushuhudia anguko lao wakuu wa dunia hii haijalishi ni ngumu kiasi gani kuamini kuwa wataanguka.

These are times to talk naked truth while looking straight to their evil eyes.
Mark my words all of you!
 

Ufunuo wa Yohana 13​

Mnyama kutoka Baharini​

13 Kisha niliona mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba akipanda kutoka baharini. Kila pembe yake ilikuwa na taji. Alikuwa na kumkufuru Mungu lililoandikwa kwenye kila kichwa.
2 Mnyama huyu alionekana kama chui, miguu yake ilikuwa kama ya dubu. Mdomo wake ulikuwa kama wa simba. Joka akampa huyo mnyama uweza wake wote, kiti chake cha enzi na mamlaka kuu.

3 Kichwa kimoja cha mnyama kilionekana kama kimejeruhiwa na kuuawa, lakini kidonda cha mauti kilipona. Watu wote ulimwenguni walishangaa, na wote walimfuata mnyama.
4 Watu waliliabudu joka kwa sababu limempa nguvu mnyama, na pia walimwabudu mnyama. Waliuliza, “Nani ana nguvu kama mnyama? Nani anaweza kufanya vita dhidi yake?”

5 Mnyama aliruhusiwa kujigamba na kumtukana Mungu na kutumia nguvu zake kwa miezi arobaini na mbili.
6 Mnyama alifungua kinywa chake ili amtukane Mungu, alitukane jina lake, mahali anapoishi, na wale wote wanaoishi mbinguni.
7 Alipewa uwezo wa kufanya vita na watakatifu wa Mungu na kuwashinda. Alipewa uwezo juu ya kila kabila, asili, lugha na taifa.
8 Kila anayeishi duniani angemwabudu mnyama. Hawa ni watu wote ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwanakondoo tangu mwanzo wa ulimwengu. Mwanakondoo ndiye yule aliyeuawa.


9 Kila mtu anayesikia mambo haya azingatie hili:

10 Yeyote ambaye ni lazima awe mfungwa,
atakuwa mfungwa.
Yeyote ambaye ni wa kuuawa kwa upanga,
atauawa kwa upanga.
Hii inamaanisha kwamba watakatifu wa Mungu lazima wawe na subira na imani.

Mnyama Kutoka Nchi Kavu​

11 Pia nikaona mnyama mwingine akija kutoka katika nchi. Alikuwa na pembe mbili kama kondoo, lakini anaongea kama joka.
12 Mnyama huyu alisimama mbele ya mnyama wa kwanza na kutumia nguvu ile ile ya mnyama wa kwanza. Alitumia nguvu hii kumfanya kila mtu aishiye duniani amwabudu mnyama wa kwanza. Mnyama wa kwanza ndiye mwenye jeraha la mauti lililopona.
13 Mnyama wa pili alifanya miujiza mikuu. Alitengeneza hata moto ushuke kutoka mbinguni kuja duniani watu wakiangalia.

14 Mnyama huyu wa pili aliwadanganya watu wanaoishi duniani kwa kutumia miujiza ambayo amepewa uwezo wa kuifanya kwa ajili ya mnyama wa kwanza. Aliwaamuru watu kutengeneza sanamu ili kumheshimu mnyama wa kwanza, aliyejeruhiwa kwa upanga lakini hakufa bali akawa hai tena.
15 Mnyama wa pili alipewa uwezo wa kuipa uzima sanamu ya mnyama wa kwanza. Kisha kinyago kiliweza kuongea na kuamuru watu wote ambao hawakukiabudu wauawe.
16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao.

17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii. (Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.)

18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama. Hili linahitaji hekima. Namba hii ni namba ya mtu. Nayo ni 666.




EINSTEIN112 ✍✍✍✍


View attachment 1872931
MATUMIZI MABAYA YA MAANDIKO MATAKATIFU! WATU WANAENDA VYUONI MIAKA KIBAO KUSOMA BIBLE NA THEOLOGY. MSIKARIRISHWE UJINGA!
 
Back
Top Bottom