Chanikiwiti

Chanikiwiti

Nakumbuka yale majarida ya AMBHA NA BONGO, kuna wachoraji mle walikuwa wanachora kama hivyo mi nilikuwa nadhani ni uongo kumbe kweli! Kah! Kama anafanya biashara ya mito
Niliwahi kuliona moja la hivyo pale Mass Club Mwananyamala sikuamini macho yangu kama kuna wanawake wa hivyo kama wa kuchora
 
Atakayeufuta mchoyo halafu ana wivu kushinda nyegere
861268a697fd75e43e4bb32e7a6d5bfa.jpg
heeewaaalah
Weka mambo bhana... wanafuta kama kuna wambea wanafitini. Huu uzi tumejaa watu wenye nyadhifa zetu.
 
Sifa ya kidume ni kutafuna na kuangalia ustaarabu mwingine ila huo mzik unaweza shawishika kutafuna twice ndio upotee sasa..
 
Back
Top Bottom