Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
- Thread starter
-
- #41
nipo kaka hapa hapa jijini kwa sasa
Mie natamani angekuibia hadi suruali...ukome balaa
Mhhhh!!!!!
Kuna siku mi nilinunua wale wa kona bar, kwenda gest ile navaa kondom kitu ikasinyaa kabisa na demu nilishamlipa 15000. Ukichukulia na nilivyokuwa soft yule changu akajua mi mgeni tu. Akanipa pole na akasepa!
usijali,haina ukweli sana japokuwa sisi wanamme huwa tunatamani tamani sana
ha ha, what an experience. Uje ujaribu na kunywa nusu dozi ya viagra, inaua mzigo kama nini.
Umenichekesha sana.
dah,swahiba hata wewe?yaani unachekelea msiba?
LoL!!! Mgegedo kakosa halafu Buku 3 zake kadhulumiwa!!! Jamaa alikuwa mnyonge sana alipotoka pale. Pole sana Mkuu.
Tena nifanyaje? Lazima nikucheke maana kilichokufanya uende kwa dada poa ni nini usotulia na roho yako...
Msisahau kuwa tamaa ikikomaa huzaa dhambi na dhambi ikikomaa huzaa mauti!
we c unajua tena sometymz mnakuwaga na kero za ujinga ujinga,ndo maana nikajitoa ufahamu emberu emberu
Utajiju babu weeee..
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...
hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!
nimeconfess ila waifu hatajua!!!
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...
hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!
nimeconfess ila waifu hatajua!!!
Believe me. All men have extra marital sex or even relationships regardless of their ages. tribes. incomes and races. the few who dont are the ones suffering from diabetes those who have suffered strokes etc. or those above sixty five years. mwanamme wa kweli akikuambia hatoki nje ni mwongo mzandiki na mbakaji. muogope sana