Changudoa alinidhulumu!!!

Changudoa alinidhulumu!!!

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
Nakumbuka miaka sita iliyopita, nilizinguana na mwandani wangu, nikaona isiwe tabu, nikajikongoja mpaka Sudani(Temeke), nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale, baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa. Mimi huyoo nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake, (alikuwa amekaa mlangoni kwa nje), nae akanifuata, akafunga mlango.

Tukakubaliana buku 3 nikalipa ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao, uoga na mawazo kibao nikihofia ngoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama, mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami. Alipoona hakuna matumaini akanigeuka akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda, nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiluga, nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni, (inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake), nikaona isiwe tabu, nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo, nikafungua mlango nikasepa...


Hiyo ndio ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!

Nimeconfess ila waifu hatajua!!!
 
ha ha, what an experience. Uje ujaribu na kunywa nusu dozi ya viagra, inaua mzigo kama nini.

Umenichekesha sana.
 
ha ha, what an experience. Uje ujaribu na kunywa nusu dozi ya viagra, inaua mzigo kama nini.

Umenichekesha sana.

mkuu watu wanakuwaga na ujasiri gani hadi wanafanikiwa kuduu,mi nilishindwa mkuu,ngoma haikusimama,yaani hata kuonyesha dalili kidogo za kufanikiwa hamna....buku 3 yangu ikaenda kireja reja
 
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...


hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!

nimeconfess ila waifu hatajua!!!

iyooo..aise wewe urienda kwa ware dada zzangu pale mitaa ya naniliu?...! ofukozi una moyo buraza, tena roho ya nyau kabisaa!
 
pale ni prepay ukingia tu unalipa,uhondomole au uache na ukileta zako wanakuzingua!lipa hela hondomola sepa ukileta za kuleta shauri yako vyombo husika vinamigao yao hapo ndo maana watu wanapiga kelele weee wao wanalamba vichwa daily!
 
enzi hizo hakuna kondom ulikua ukimaliza kuduu na mdada wa Sudan. walikua na karai la maji mvunguni. ukimaliza kuduu huwa wanaosha k na hayo maji. baada ya miosho kama mitano sita hivi yale maji yalikua yanachukua sura ya makamasi au uji mlaini. sasa kama utakula mzigo na kukataa kulipa. enzi hizo tsh tano. unamwagiwa yale maji mwili mzima. kumbuka tulikua tunakila mzigo bila kuvua nguo. zipu tu au vigungo vya trouser unamega mzigo
 
Kwa wahaya!

bongolala ile huduma waonekana ulishaipata. nakumbuka enzi zile ukikutana na mtu mnaefahamiana kwa wahaya hamsalimiani kama vile hamjuani. mtu akitoka kwa mhaya utamwona mikono mifukoni na anaangalia chini kwa soni
 
enzi zile wahaya walikua kila mkoa isipokua Singids. Mbeya. Lindi na Mtwara. sababu ktk mikoa hii k ziko nje nje tangu zamani.
 
mkuu nilikuwa natafuta huduma mkuu,lakini ikanitokea puani,

Haoi haujadhurumiwa kitu mkuu, wale watu wana mazingira magumu sana kaka, kukushikia rungula yako tu na yenyewe si mchezo..ulitakiwa umwongezee hata jero!
 
Tabora walipatikana Mwanza road. Dodoma barabara ya nane. Tanga ni Mabawa. Dar ni Livingstone na Mwananyamala plus Sudan. Moshi ilikua Dsm road Bongolala malizia

hapo tanga mabawa unaenda fanya nini mambo yote unamalizia barabara ya 5 kwenye ile bar.
 
nakumbuka miaka sita iliyopita,nilizinguana na mwandani wangu,nikaona isiwe tabu,nikajikongoja mpaka sudani(temeke),nikaingia kwenye uchochoro wanakokaa dada zetu wale,baada ya kupita mara ya kwanza na kuchunguza kwa makini nikamuona ambaye angenifaa.mi huyoo,nilipokuwa narudia kupita nikazama chumbani mwake,(alikuwa amekaa mlangoni kwa nje),nae akanifuata,akafunga mlango.tukakubaliana buku 3.nikalipa.ukizingatia wasi wasi niliokuwa nao,uoga na mawazo kibao nikihofiangoma na mengineyo,"mzee"akagoma kusimama,mdada wa watu kajaribu wee mpaka akashangaa kwanini mzee hasimami.alipoona hakuna matumaini akanigeuka,akawa mkali na kunifukuza eti nampotezea muda,nilipomwambia anirudishie pesa yangu kwa kuwa sikufanikiwa "kuitumia",mdada kaanza kuongea kiruga,nikaanza kuona watu wamejaa mlangoni,(inavyoonekana alikuwa akiwaita wenzake),nikaona isiwe tabu,nisije nikadhalilishwa bure kwa kipondo,nikafungua mlango nikasepa...


hiyo ndo ikawa mara yangu ya kwanza na ya mwisho kuingia kwenye danguro na kujaribu kuchukua dada poa sehemu yoyote ile!!!

nimeconfess ila waifu hatajua!!!
Itakuwa alikuwa Mhay.a, nasikia ndo kazi yao hao , samahani kama kuna mtu aliyejihisi!
 
mkuu nilikuwa natafuta huduma mkuu,lakini ikanitokea puani,

Haoi haujadhurumiwa kitu mkuu, wale watu wana mazingira magumu sana kaka, kukushikia rungula yako tu na yenyewe si mchezo..ulitakiwa umwongezee hata jero!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom