Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Wapenda mageuzi na mabadiliko ya kweli ningependa kuwashirikisha katika uchaguzi mdogo wa ubunge chalinze utakaofanyika Chalinze tarehe 6th-April 2014. Lengo kubwa ni kufikishia ujumbe wanachalinze kuwa nchi yetu haina mfumo wa kurithishana madaraka (chiefdom).
Iwapo Rais JakayaKikwete licha ya kuwa mbunge na waziri katika kipindi cha miaka 15 na rais miaka 8 sasa-wanachalinze bado wamechoka shida za maji, elimu na ardhi bado wanazo, itakuwa ajabu Ridhiwani kuweza wasaidia. Wale wanaoweza kuja Chalinze karibuni kwenye kampeni ila wale mlio mbali basi manweza kuchangia kusaidia kampeni kwa kupitia nambari hii 0765 076788 Michango yenu itawasilishwa kwa katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na - Maendeleo Tarehe 31 March 2014.
Michango hii itasaidia kuwapa elimu ya Uraia wanachalinze. Ukombozi wowote ni gharama ewe mwanamtandao jione sehemu ya mabadiliko..
CC: Mikael P Aweda Mohamedi Mtoi Kiranja Filipo Mgafilika Tuko mwita
Mwita Maranya, TUKUTUKU, Yericko Nyerere, Angel Msoffe, Nicas Mtei, Phillemon
Phillemon Mikael, TUMBIRI, Mungi, only83, Molemo, shardcore, Tumain Makene, MTUMISHI
Mtumishi Wetu, SEBM, Benaire, stoneman, Arushaone, LiverpoolFC, DALLAI LAMA, Ben
Ben Saanane, Froida, ntamaholo, Rasib, Nanyaro Ephata, Imma Saro, @Curriculum Specialist, Exaud Mamuya, maphie, olevaroya, LOMAYANN, MNYISANZU, cacico, DAUDI
Mchambuzi, kapotolo, Mungi, sweetlady, SHARKS,
Ni takuwa na weka update kwa yoyote aliyetoa kama utapenda kuficha jina kwasababu zako..nijulishe...
Michango ya awali
UPDATE:
Mungu anazidi kutubariki...
Masanilo - 20,000/= Teamo - 20,000/= muonamambo - 30,000/= mtafutano - 26,000/= zumbemkuu -30,000/= George - 30,000/= Mungi - 20,000/=, Filipo - 21,000/=, LSK - 21,000/=, socrates - 15,000/=, Petro mselewa - 20,000/=, Sebm 20,000/=, CM - 10,000/=, GM - 10,000/=,Crashwise -20,000/= Elizabeth - 9000/=, Dark City -30,000/=....
Asanteni wote mliotoa na wale mliokuwa na nia ya kutoa lakini mlishindwa kutokana na sababu mbalimbali....
Zoezi Limefungwa leo tarehe 3/4/14 saa 1329
Iwapo Rais JakayaKikwete licha ya kuwa mbunge na waziri katika kipindi cha miaka 15 na rais miaka 8 sasa-wanachalinze bado wamechoka shida za maji, elimu na ardhi bado wanazo, itakuwa ajabu Ridhiwani kuweza wasaidia. Wale wanaoweza kuja Chalinze karibuni kwenye kampeni ila wale mlio mbali basi manweza kuchangia kusaidia kampeni kwa kupitia nambari hii 0765 076788 Michango yenu itawasilishwa kwa katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na - Maendeleo Tarehe 31 March 2014.
Michango hii itasaidia kuwapa elimu ya Uraia wanachalinze. Ukombozi wowote ni gharama ewe mwanamtandao jione sehemu ya mabadiliko..
CC: Mikael P Aweda Mohamedi Mtoi Kiranja Filipo Mgafilika Tuko mwita
Mwita Maranya, TUKUTUKU, Yericko Nyerere, Angel Msoffe, Nicas Mtei, Phillemon
Phillemon Mikael, TUMBIRI, Mungi, only83, Molemo, shardcore, Tumain Makene, MTUMISHI
Mtumishi Wetu, SEBM, Benaire, stoneman, Arushaone, LiverpoolFC, DALLAI LAMA, Ben
Ben Saanane, Froida, ntamaholo, Rasib, Nanyaro Ephata, Imma Saro, @Curriculum Specialist, Exaud Mamuya, maphie, olevaroya, LOMAYANN, MNYISANZU, cacico, DAUDI
Mchambuzi, kapotolo, Mungi, sweetlady, SHARKS,
Ni takuwa na weka update kwa yoyote aliyetoa kama utapenda kuficha jina kwasababu zako..nijulishe...
Michango ya awali
UPDATE:
Mungu anazidi kutubariki...
Masanilo - 20,000/= Teamo - 20,000/= muonamambo - 30,000/= mtafutano - 26,000/= zumbemkuu -30,000/= George - 30,000/= Mungi - 20,000/=, Filipo - 21,000/=, LSK - 21,000/=, socrates - 15,000/=, Petro mselewa - 20,000/=, Sebm 20,000/=, CM - 10,000/=, GM - 10,000/=,Crashwise -20,000/= Elizabeth - 9000/=, Dark City -30,000/=....
Asanteni wote mliotoa na wale mliokuwa na nia ya kutoa lakini mlishindwa kutokana na sababu mbalimbali....
Zoezi Limefungwa leo tarehe 3/4/14 saa 1329