sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Wanajukwaa wasalaam, mkitaka kujua khali yangu Mimi ni bukheri wa afya, namshukuru Mola wetu kutuzidishia urijali kwa ustawi wa familia zetu
Leo napenda niulize hasa kwa wanaume wenzangu wenye watoto nje ya ndoa, ni Changamoto gani mnazopotia, na mnazitatua vipi, na je watoto hao wana namna ya baraka au heri katika ndoa? Je, wanatambulishwa ndani ya ndoa?
Uzi udumu muda mrefu, na wakati mwingine ni suluhu kwa matatizo yanayojiri, hivyo tuujadiliane kwa unyenyekevu.
Leo napenda niulize hasa kwa wanaume wenzangu wenye watoto nje ya ndoa, ni Changamoto gani mnazopotia, na mnazitatua vipi, na je watoto hao wana namna ya baraka au heri katika ndoa? Je, wanatambulishwa ndani ya ndoa?
Uzi udumu muda mrefu, na wakati mwingine ni suluhu kwa matatizo yanayojiri, hivyo tuujadiliane kwa unyenyekevu.