Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,573
- 3,756
Mbona tayari umeweza kucommentNataka nicomment lakin nashindwa
Mbona tayari umeweza kucommentNataka nicomment lakin nashindwa
...we mbona husemi ya kwako?ungeanza wewe ndio tufunguke....ila kuna sehemu nilikia kuwa,watoto wa nje huwa hawafi,hii ni kweli wakuu? 🙇♂️Wanajukwaa wasalaam, mkitaka kujua khali yangu Mimi ni bukheri wa afya, namshukuru Mola wetu kutuzidishia urijali kwa ustawi wa familia zetu
Leo napenda niulize hasa kwa wanaume wenzangu wenye watoto nje ya ndoa, ni Changamoto gani mnazopotia, na mnazitatua vipi, na je watoto hao wana namna ya baraka au heri katika ndoa? Je, wanatambulishwa ndani ya ndoa?
Uzi udumu muda mrefu, na wakati mwingine ni suluhu kwa matatizo yanayojiri, hivyo tuujadiliane kwa unyenyekevu.
Asante mzee mshana jrKulea mtoto wa kambo ni kipaji na karama ambayo wanawake wengi hawana
Mwanamke atampenda sana mwanao mkiwa mko kwenye mahusiano ya awali kabla ya ndoa... Lakini anapoingia ndani utaanza kuona tofauti.. Sauti atakayoitumia kwa mtoto ni tofauti kabisa na sauti atakayoitumia kwako
Kuna wakati utatokea mgogoro wa kugombea nafasi ya upendo na kujaliwa kwenye moyo wako hasa kama mwanao alishazoea kuwa nawe beneti.. Hapa ni pagumu sana kwakuwa sasa asali wako wa moyo naye ataihitaji hiyo nafasi... Unatakiwa kubalance sana hapa....
Jr[emoji769]
Umeoa mkuu au ni hisia tu?Kama ninao watoto wa nje ya ndoa kamwe na katu sintoweza kuwatenga wanangu mke akiwakataa Bora aondoke yye aniache na damu yangu
Mkuu mwaka wa saba huu nimeoaUmeoa mkuu au ni hisia tu?
Tena mke asiye na mtoto.Watoto wa nje tu....kuna hawa wenye watoto wa ujanani watatu kila mmoja na mama yake na hao wamama huwezi kuwaoa afu ndo unatafuta mke😎
Ni tabia ya umalaya bro.Watoto wa nje ya ndoa ni ishara ya wazi kuwa mkeo asikuamini tena. Hili huifunua zaidi Tania ya mwanamume na hivyo ndivyo ilivyo
Ugopa na omba MUNGU sana usiolewe na mwanaume wa kuleta mtoto wa nje.
Akivaa condom hazuii.ieleweke kuwa mwanamme hana uwezo wa kuzuia mimba
pole sana mkuuNimepita kwenye hizo changamoto, kama mtoto wa nje ya ndoa kiukweli nimejifunza mengi i dont wish watoto wangu mmoja wapo apite huko. [emoji119][emoji119].
Mkuu huu ndio ujinga wa jamii tuliyo nayo sasa. Eti mtoto anaitwa "haramu", huyo mtoto yeye ana kosa gani? Mtoto anaitwa haramu, ananyanyasika, anatengwa, anakosa huduma muhimu za kimaisha nk eti kisa tu alizaliwa nje ya this stupid artificial arrangement called marriage!Mkuu mwaka wa saba huu nimeoa
Sasa nyege zangu kwa nni zisababishe viumbe wasio na hatia wateseke