Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,117
- 34,077
Habarini Wadau,
Kwa namna maisha ya Mahusiano na zaidi ya Ndoa yalivyo kwetu sisi Watu weusi, ninaona kabisa baada ya miaka kadhaa kutakuja kuwepo "Ndoa za Mikataba" yaani watu wanasainishana muda ambao wanataka ndoa zao zisurvive
Ndoa za sasahivi za kidini, yaani za Kikristo na Kiislam na hata za kimila zina changamoto nyingi. Usaliti umekuwa mkubwa na Wanandoa wengi wanaishi na watoto wasio wa Mume au Mke husika katika ndoa
Itafikia ile hali ya makubaliano kuwa tunaoana kwa miaka mitatu tu na nahitaji tuzae watoto wawili then tunaachana kabla ya kugombana au kuuana
Inawezekana pia hii ikaleta ahueni kwa wanawake wengi mitaani wenye umri wa kuolewa na hawana Waume kwani wanajua wanaweza kupata Mume hata atakayeachana na Mkewe
Je Ndoa za Mkataba hazitakuwa ndoa bora kwetu Watanzania?
Kwa namna maisha ya Mahusiano na zaidi ya Ndoa yalivyo kwetu sisi Watu weusi, ninaona kabisa baada ya miaka kadhaa kutakuja kuwepo "Ndoa za Mikataba" yaani watu wanasainishana muda ambao wanataka ndoa zao zisurvive
Ndoa za sasahivi za kidini, yaani za Kikristo na Kiislam na hata za kimila zina changamoto nyingi. Usaliti umekuwa mkubwa na Wanandoa wengi wanaishi na watoto wasio wa Mume au Mke husika katika ndoa
Itafikia ile hali ya makubaliano kuwa tunaoana kwa miaka mitatu tu na nahitaji tuzae watoto wawili then tunaachana kabla ya kugombana au kuuana
Inawezekana pia hii ikaleta ahueni kwa wanawake wengi mitaani wenye umri wa kuolewa na hawana Waume kwani wanajua wanaweza kupata Mume hata atakayeachana na Mkewe
Je Ndoa za Mkataba hazitakuwa ndoa bora kwetu Watanzania?