syli mchunguzi
Member
- Jul 14, 2021
- 49
- 42
Mfano una mke mmeishi nae kwa pamoja na kuvuna Mali kwa pamoja ghafla wewe umetoka kwa safarI siku unarudi unakuta ndanI peupe yaanI kila kitu kimechukuliwa na mke na kutokomea kusikojulikana baadae ukapata taarifa ya eneo alilokimbia.
Je,utafanyaje kukabiliana na hiyo changamoto?
Je,utafanyaje kukabiliana na hiyo changamoto?