Changamoto za ndoa

Changamoto za ndoa

Acha mambo ya ajabu. Kwani enzi za mababu zetu si ndio walikuwa wanafanya ty hivyo? Na ndoa zilidumu? Kwani hao wanaofanya maharusi ya mamilioni ndio ndoa zinadumu? Fikara za mtu kama ww ndio maana matalaka kila sehemu.

Mababu zako kama walioa bila mahari bado sio ndoa hizo, sijaongelea harusi popote.
 
Hapo hukua na mke na huyo wala siyo mkeo...

Pole sana na inasikitisha sana...
Mimi niligundua kama hivyo. Akaniaga anaenda kwao ila atarudi nilimpiga stop huko huko mpaka leo imebaki stori.
Usome kwa tabu
Kuishi kwa tabu
Tafuta pesa kwa tabu
Usumbuliwe na mpumbavu usiyejitambua nawe unamwangalia tu akija kukua akili itakaa sawa
 
Kuna kisa kimoja cha dogo mtaani, yy alioa mapema sana akiwa mdogo around 20yrs, 2015, alifanikiwa kupanga chumba na sebule kikiwa full yaani kila kitu.

Alimfumania mke wake mara mbili chumbani kwenye kitanda wanacho lala na mkewe, mara kwanza jamaa akamsamehe mkewe baada ya wazee kumsihi, mara ya pili ktk kitanda kilekile na jamaa yule yule akamfumania mkewe, jamaa akamwambia achagu chochote anachokitaka aondoke nacho. Demu akaamua kumkomoa kwa kuchukua kila kitu, yaani hakuuacha kitu.

Yule dogo akaanzia 0,akaenda kwa mjomba wake akamuomba mkeka,jamaa kalalia mkeka, baada ya mwezi akavuta kitanda na mpaka sasa kishanunua kila kitu na mwaka jana kaoa mke mwengine. Maisha yana endelea, yule binti baada ya mwaka mmoja akawa mtu wa starehe, mpaka kufikia hatua ya kujiuza maeneo ya Ubungo Riverside, sasa hivi ana mimba na mwenye mimba hajulikani basi yupo yupo tu.
Ndo inakuaga hivyo. Unakakuta hata form four kalifeli afu kanajiona kanajua .
 
Mimi niligundua kama hivyo. Akaniaga anaenda kwao ila atarudi nilimpiga stop huko huko mpaka leo imebaki stori.
Usome kwa tabu
Kuishi kwa tabu
Tafuta pesa kwa tabu
Usumbuliwe na mpumbavu usiyejitambua nawe unamwangalia tu akija kukua akili itakaa sawa
Mkuu ndoa yataka moyo sana
 
Wanaume hatujivunii Vitu vya ndani ya nyumba,bali tunajivunia "Uhakika wa Kipato".hayo Mengine waachie Wavulana na Wanawake.
 
Emu jaribu kuwa specific tujue tunakushauri nini tusije kuwa tunahangaika tukijua mke katoroka na hati ya kiwanja,ama kadi ya gari,ama leseni ya biashara kumbe mwenzetu kaondoka na godoro,kitanda,mabeseni,masufuria,flat screen na sofa
Maana ni ngumu kutoroka gari ama biashara ama kiwanja
 
Duh pole ila elezea kwa urefu kidogo.

Ila ripoti kwa wazazi wenu..wadhamini wa ndoa..mjumbe au serikali za mtaa ..maana HUWA WANARUDIGI KUSUMBUA UKISHAMOVE ON.

Cha mwisho kama ni vitu vya kutafutika..unaweza vipata tena achana nae
Samahani..... hivi wewe ile ndoa yako ushafanikiwa kumove on?
 
Kuna kisa kimoja cha dogo mtaani, yy alioa mapema sana akiwa mdogo around 20yrs, 2015, alifanikiwa kupanga chumba na sebule kikiwa full yaani kila kitu.

Alimfumania mke wake mara mbili chumbani kwenye kitanda wanacho lala na mkewe, mara kwanza jamaa akamsamehe mkewe baada ya wazee kumsihi, mara ya pili ktk kitanda kilekile na jamaa yule yule akamfumania mkewe, jamaa akamwambia achagu chochote anachokitaka aondoke nacho. Demu akaamua kumkomoa kwa kuchukua kila kitu, yaani hakuuacha kitu.

Yule dogo akaanzia 0,akaenda kwa mjomba wake akamuomba mkeka,jamaa kalalia mkeka, baada ya mwezi akavuta kitanda na mpaka sasa kishanunua kila kitu na mwaka jana kaoa mke mwengine. Maisha yana endelea, yule binti baada ya mwaka mmoja akawa mtu wa starehe, mpaka kufikia hatua ya kujiuza maeneo ya Ubungo Riverside, sasa hivi ana mimba na mwenye mimba hajulikani basi yupo yupo tu.
Nmekuelewa mwamba, samaki( Mimi) ana mengi ya kuongea ila mdomon ana maji! Asante kwa ushaur mzur ipo cku nitaleta MKASA wangu ulonikuta mwez wa 7 mwaka huu!!
 
Back
Top Bottom