Na ndo sababu Sasa alitoroka na saman za ndanKuna sababu tuu, na viashilia alivionyesha zamani kuwa ataondoka.
Labda mtutukanana kabla hujarudi.Au anajua upo na mchepuko huko uliko.
Ndoa kazi sanaNdoa nyingi baada ya miaka miwili ni maigizo tuu.
Thanks kwa ushaurNenda police kaandikishe maelezo atafutwe apatikane
Harafu msamehe
Mwanaume Anza upya
Haya maisha mafupi Sana usijipe stress nyingi
ThanksMfungulie kesi ulipoondoka uliacha ela million 50.
Kachukua vitu vyote pamoja na ela. Wewe dai pesa zako million 50 arejeshe
Kuna kisa kimoja cha dogo mtaani, yy alioa mapema sana akiwa mdogo around 20yrs, 2015, alifanikiwa kupanga chumba na sebule kikiwa full yaani kila kitu.Mfano una mke mumeishi nae kwa pamoja na kuvuna Mali kwa pamoja ghafla ww umetoka kwa safar siku unarudi unakuta ndan peupe yaan kila kitu kimechukuliwa na mke na kutokomea kusikojulikana baadae ukapata taarifa ya eneo alilokimbia .je,utafanyaje kukabiliana na hiyo changamoto????
Ahsante sanaPole mkuu
Malipo ni hapahapa chini ya juaKuna kisa kimoja cha dogo mtaani, yy alioa mapema sana akiwa mdogo around 20yrs, 2015, alifanikiwa kupanga chumba na sebule kikiwa full yaani kila kitu.
Alimfumania mke wake mara mbili chumbani kwenye kitanda wanacho lala na mkewe, mara kwanza jamaa akamsamehe mkewe baada ya wazee kumsihi, mara ya pili ktk kitanda kilekile na jamaa yule yule akamfumania mkewe, jamaa akamwambia achagu chochote anachokitaka aondoke nacho. Demu akaamua kumkomoa kwa kuchukua kila kitu, yaani hakuuacha kitu.
Yule dogo akaanzia 0,akaenda kwa mjomba wake akamuomba mkeka,jamaa kalalia mkeka, baada ya mwezi akavuta kitanda na mpaka sasa kishanunua kila kitu na mwaka jana kaoa mke mwengine. Maisha yana endelea, yule binti baada ya mwaka mmoja akawa mtu wa starehe, mpaka kufikia hatua ya kujiuza maeneo ya Ubungo Riverside, sasa hivi ana mimba na mwenye mimba hajulikani basi yupo yupo tu.
Sikiliza hiiMfano una mke mumeishi nae kwa pamoja na kuvuna Mali kwa pamoja ghafla ww umetoka kwa safar siku unarudi unakuta ndan peupe yaan kila kitu kimechukuliwa na mke na kutokomea kusikojulikana baadae ukapata taarifa ya eneo alilokimbia .je,utafanyaje kukabiliana na hiyo changamoto????
Na bahati mbaya zaidi wanawake ndio vinara wa kukimbia waume zao.Hili pepo LA ndoa kuvunjika limeshika kasi.
Mkuu haijufungwa Bali walikutana tu wakaoana
Kulea mke asiye damu ya ukoo wako no kazi sawa na kulea Simba chumban mwakoMliooa, siku hizi usiku muwe Mnalala kwa machalemachale. Ni hivi punde tu nimesikia Kuna dereva mmoja wa mabasi ya mikoani amelambwa marungu ya kichwa na mkewe na kusabanisha kifo chake. Global.
Maandiko matakatifu yanasema mwanamke ni kiumbe unachotakiwa kuishi nacho kwa umakin sanaNa bahati mbaya zaidi wanawake ndio vinara wa kukimbia waume zao.
Mpuuzi sana. Kaoa tena mwingine teari? Wanaume ni wajinga sana. Badala sasa atulie ajifunze kwa makosa yake ya ndoa yake ya kwanza ajijenge vizuri, anakimbilia kupa tena.Kuna kisa kimoja cha dogo mtaani, yy alioa mapema sana akiwa mdogo around 20yrs, 2015, alifanikiwa kupanga chumba na sebule kikiwa full yaani kila kitu.
Alimfumania mke wake mara mbili chumbani kwenye kitanda wanacho lala na mkewe, mara kwanza jamaa akamsamehe mkewe baada ya wazee kumsihi, mara ya pili ktk kitanda kilekile na jamaa yule yule akamfumania mkewe, jamaa akamwambia achagu chochote anachokitaka aondoke nacho. Demu akaamua kumkomoa kwa kuchukua kila kitu, yaani hakuuacha kitu.
Yule dogo akaanzia 0,akaenda kwa mjomba wake akamuomba mkeka,jamaa kalalia mkeka, baada ya mwezi akavuta kitanda na mpaka sasa kishanunua kila kitu na mwaka jana kaoa mke mwengine. Maisha yana endelea, yule binti baada ya mwaka mmoja akawa mtu wa starehe, mpaka kufikia hatua ya kujiuza maeneo ya Ubungo Riverside, sasa hivi ana mimba na mwenye mimba hajulikani basi yupo yupo tu.
Haina hadhi ya kuitwa ndoa bwashee, usichukulie poa neno NDOA.