Ata ka mwamba ndo anamakosa bt mwanamke/ mke hutaondokaje nymban/ kwako bila taarifa afu mbaya Zaid unakusanya vitu/ vyombo vya ndan! Hii kitaalamu inaitwa wizi wa kuaminiwa!!Ukute Wewe ndo una makosa.
Hapo hadi tumsikilize na mwenzako.Ata ka mwamba ndo anamakosa bt mwanamke/ mke hutaondokaje nymban/ kwako bila taarifa afu mbaya Zaid unakusanya vitu/ vyombo vya ndan! Hii kitaalamu inaitwa wizi wa kuaminiwa!!
Sawa bt ishu ya kuondoka na vitu/ vyombo vya ndan n kosa ( ka Ni kwel kaondoka navyo) kisheria huyo mwanamke/ shemeji yetu mwiziHapo hadi tumsikilize na mwenzako.
Ndio hivyo, Kisheria, lazima tusikilize pande zoteSawa bt ishu ya kuondoka na vitu/ vyombo vya ndan n kosa ( ka Ni kwel kaondoka navyo) kisheria huyo mwanamke/ shemeji yetu mwizi
