Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,716
- 21,521
Uzi uliokaa kimbeambea upojeUzi mzuri sana na constructive one....
Ila utashangaa unakosa wachangiaji kwa sababu tu haujakaa kimbea mbea
Uzi uliokaa kimbeambea upojeUzi mzuri sana na constructive one....
Ila utashangaa unakosa wachangiaji kwa sababu tu haujakaa kimbea mbea
Tatizo la watu wengi wanaitamani ndoa, lakini kiukhalisia hawapo tayari kuiishi hiyo ndoa, si wanaume wala wanawake.!! Kama ulivyosema wengi bado wanaishi kisela sababu maana khalisi ya ndoa imepotea imebaki fashion ya kuingia kwenye ndoa.Kabisa!mtu aliyeoa au kuolewa sio sahihi kuishi kisela na haitakiwi,lazma ujielewe na ueleweke kwa kuzingatia heshima na maadili mema....
kama hauko tayari kwa haya ni mtihani
Wakati tayari una chembe chembe za ku spoil gold diggers, unadhani ukiingia kwenye ndoa utakuwa mtu tofauti wa kutoka sayari nyingine??Kuna mwanamke mmoja comment za juu hapo kasema wakati wa uchumba hajawa spoiled lakini anakula raha ndani ya ndoa.
Hatuwezi beba majukumu ya wazazi wakati wa uchumba, ndani ya ndoa wewe ni jukumu langu asilimia mia.
Uzi uliokaa kimbeambea upoje
Wanawake wengi wanaishi maisha magumu mno, ukilinganisha na ukhalisia wa vipato vya wenzi wao, ukilinganisha maisha ya mke wa ndoa na maisha ya kimada ni mbingu na ardhi.!!Nasubiri jibu kwa kweli maana hili ni janga lengine kwenye jamii yetu,unakuta mme hatunzi familia hususani mkewe ila gold diggers anawagharamia!...Huwa haniingii akilini kwanini upoteze pesa na mda kwa vitu visivyo add value in your life?
Page za mbele huko uzi utabadilika na kua kilinge cha stor za hapa na pale...utaona watakavyo jaaa hapa SweetieLee,
Shuhuda tunazokutana nazo za wanandoa zinakatisha tamaa na kusikitisha sana!!Mkuu ila wewe si ndiye uliyesema huwa mnavimba mkiwa na maslay queen that means pesa inatumika kuwapata,sasa mbona wajipinga tena?
Yule dada ambaye yuko spoiled ndani ya ndoa anabahati sana maana huku kwetu wenzie wanachakaa ndani ya ndoa ila michepuko inanona
Haha,Umesema hawatachangia wamechangia, naona umekuja na nyingine ya wataharibu baadae.
Naona kama wewe ndo huna mpango mzuri na hii thread, unaitabiria mabaya.
Haha.!!Hii ipo sana n sielewi hua wanakua na maana gani ni kwamba mtu hajiamini au ndo vile hataki kuishi uhalisia wake
Wanaume wakiacha hii tabia bas hata malalamiko ya kusema girls wanapenda hela yatapungua. Napenda sana wanaume wasiopretend kuhusu financial status zao maana inakua rahisi pia kumuamin kuliko yule kila mkionana anataka kujimwambafy
Haha.!Usipovimba kwa Slay queen unakuwa hujamtendea haki, maana you have nothing to offer her zaidi ya hizo treats. Kwa mtarajiwa si umemkabidhi moyo wako na future yako, na umemkaribisha kwenye ufalme wako.
Umeanza lini kuwa mtabiri baby Hazard CFC ?
Wafuate tu ushauri wako mkuu, ila hapo pa kujigegeda sitii neno.!!Mie ndio maana nasema kabla ya kuoa jiuloze upo tayari kulipa ada kodi ya nyumba kumjazia wife mafuta kwenye gari lake na kuwahudumia wakwe.... Kama roho haiwezi acha na ndoa kabisa bakia kama mie mzabzab jigegede tuu.
Wafuate tu ushauri wako mkuu, ila hapo pa kujigegeda sitii neno.!!
Ahsante sana mkuu yakobo11 usinisifie hivi sana nitaishia kuringa buree!!Tuseme kweli jamani, Uzi wa SweetieLee unafundisho na kweli nzuri sana, Uzi huu kila anaeusoma na kuuelewa, atajifunza kitu kikubwa sana kwenye mahusiano yake na kuwa na mahusiano bora daima.
Hongera SweetieLee! !!