Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,083
- 13,959
Kwenye suala la kipato kama una kipato ntakufanya uamini changu chako na chako ni chako lakini ukweli ninaujua mwenyewe.Kurudi asubuhi haimahanishi haupo komitedi,siwezi kuwahi kurudi wakati hakuna emergency yoyote,yaani niwahi tu Kuja kuona sura yako ninayoiona kila siku.Nazungumzia suala la kipato zaidi mkuu,
Ila kama umekwishaoa na bado unarudi nyumbani asubuhi, ungemaliza kwanza hayo maisha kabla ya kuwa committed..!!