Biashara ya kitumwa sana hiyo.Mpaka umalize mzigo....ndo upate faida shs 50 au 100.
Wateja wengi wa hivyo ni matapeli, ukishamkopesha humuoniKuna jamaa yangu mmoja ana Duka mahali, katika kupiga stori akaniambia biashara ya Uchuuzi ni Changamoto sana kwenye jamii yetu.
Mteja hanunui vitu kwako, anakuja mara mojamoja tena baada ya siku kadhaa!. Mteja Ananunua bidhaa Duka la jirani akikosa bidhaa ndio anakuja dukani kwako.
Mteja kama huyo anaomba umkopesha, unamwambia sikopeshi anakwambia mbona wenzako wanakopesha.
Hiyo ni moja ya Changamoto kwenye biashara ya Uchuuzi almaarufu Maduka ya Rejareja.
ChaiMpaka umalize mzigo....ndo upate faida shs 50 au 100.