Changamoto za Duka la rejareja

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Huu ni uzi maalumu wa kuelezea changamoto wanazopitia wafanyabiashara wa Maduka ya Rejareja almaarufu "Maduka ya Mangi".

Kama una Changamoto yoyote unayopitia andika hapa, hata kama wateja wanakukosea pia ongea hapa.

Asante.
 
Kuna jamaa yangu mmoja ana Duka mahali, katika kupiga stori akaniambia biashara ya Uchuuzi ni Changamoto sana kwenye jamii yetu.

Mteja hanunui vitu kwako, anakuja mara mojamoja tena baada ya siku kadhaa!. Mteja Ananunua bidhaa Duka la jirani akikosa bidhaa ndio anakuja dukani kwako.

Mteja kama huyo anaomba umkopesha, unamwambia sikopeshi anakwambia mbona wenzako wanakopesha.

Hiyo ni moja ya Changamoto kwenye biashara ya Uchuuzi almaarufu Maduka ya Rejareja.
 
Kuna jamaa yangu mmoja ana Duka mahali, katika kupiga stori akaniambia biashara ya Uchuuzi ni Changamoto sana kwenye jamii yetu.

Mteja hanunui vitu kwako, anakuja mara mojamoja tena baada ya siku kadhaa!. Mteja Ananunua bidhaa Duka la jirani akikosa bidhaa ndio anakuja dukani kwako.

Mteja kama huyo anaomba umkopesha, unamwambia sikopeshi anakwambia mbona wenzako wanakopesha.

Hiyo ni moja ya Changamoto kwenye biashara ya Uchuuzi almaarufu Maduka ya Rejareja.
Wateja wengi wa hivyo ni matapeli, ukishamkopesha humuoni
 
Back
Top Bottom