Changamoto za biashara ya rejareja (chumba na sebule) na faida zake

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,273
Kila biashara ya rejareja Ina changamoto zake. Biashara ya nyumba za kupanga pia ina kero zake. Unapojenga nyumba ya vyumba sita na kuipangisha chumba kimoja kimoja ni rahisi kupata wateja. Ni bahati sana kukuta vyumba viko wazi unatafuta mteja kulinganisha na kupangisha nyumba nzima.

Katika kuboresha biashara, kama una uhakika wa maji, weka Indian toilet mbili, hii itasaidia foleni asubuhi. Unawafahamisha kabisa kuwa choo kikiziba kwa vitu kama tampons gharama za uzibuaji wanalipa wao. Maji unaweza kuvuna ya mvua pia kusaidia usafi wa chooni hasa Dawasa kukiwa na shida.

Changamoto, ni kuwa unakusanya watu wa aina tofauti, jiandae kuwa hakimu. Kuna kesi moja, mama wa watu anapika maharage kwenye jiko la mkaa, msela alikua ana mlima timing, mama ameingia ndani kwake msela amechota maharage ya watu. Kesi za uchawi usiombe na nyingine kuibiana mabwana.

Hii biashara haiumizi kichwa sana, vyumba sita kila kimoja 50,000. Una uhakika wa 300,000 kwa mwezi.
 
Kila biashara ya rejareja Ina changamoto zake. Biashara ya nyumba za kupanga pia ina kero zake. Unapojenga nyumba ya vyumba sita na kuipangisha chumba kimoja kimoja ni rahisi kupata wateja. Ni bahati sana kukuta vyumba viko wazi unatafuta mteja kulinganisha na kupangisha nyumba nzima.

Katika kuboresha biashara, kama una uhakika wa maji, weka Indian toilet mbili, hii its Saidi’s foleni asubuhi. Unawafahamisha kabisa kuwa choo kikiziba kwa vitu kama tampons gharama za uzibuaji wanalipa wao. Maji unaweza kuvuna ya mvua pia kusaidia usafi wa chooni hasa Dawasa kukiwa na shida.

Changamoto, ni kuwa unakusanya watu wa aina tofauti, jiandae kuwa hakimu. Kuna kesi moja, mama wa watu anapika maharage kwenye jiko la mkaa, msela alikua ana mlima timing, mama ameingia ndani kwake msela amechota maharage ya watu. Kesi za uchawi usiombe na nyingine kuibiana mabwana.

Hii biashara gaiumizi kichwa sana, vyumba sita kila kimoja 50,000. Una uhakika wa 300,000 kwa mwezi.
Hapo kwenye kuibiana Mabwana ongezea na kugongeana wake pia.
 
Ndo uwekezaji wetu huo...maana kupata mteja wa nyumba nzima ni issues...ila chumba kimoja kimoja faster tu
 
Kila biashara ya rejareja Ina changamoto zake. Biashara ya nyumba za kupanga pia ina kero zake. Unapojenga nyumba ya vyumba sita na kuipangisha chumba kimoja kimoja ni rahisi kupata wateja. Ni bahati sana kukuta vyumba viko wazi unatafuta mteja kulinganisha na kupangisha nyumba nzima.

Katika kuboresha biashara, kama una uhakika wa maji, weka Indian toilet mbili, hii itasaidia foleni asubuhi. Unawafahamisha kabisa kuwa choo kikiziba kwa vitu kama tampons gharama za uzibuaji wanalipa wao. Maji unaweza kuvuna ya mvua pia kusaidia usafi wa chooni hasa Dawasa kukiwa na shida.

Changamoto, ni kuwa unakusanya watu wa aina tofauti, jiandae kuwa hakimu. Kuna kesi moja, mama wa watu anapika maharage kwenye jiko la mkaa, msela alikua ana mlima timing, mama ameingia ndani kwake msela amechota maharage ya watu. Kesi za uchawi usiombe na nyingine kuibiana mabwana.

Hii biashara haiumizi kichwa sana, vyumba sita kila kimoja 50,000. Una uhakika wa 300,000 kwa mwezi.
Ukikipangusha chumba kwa 50,000 kwa mwez ni hela ndogo sana coz

kujenga room moja mpaka ikamilike ni kati ya M2 hadi M4 unategemea na finishing... pia usisahau garama zingine kama kiwanja kodi ya ardhi, mda wako n.k

Ili ilipe lenga kupata kuanzia 70,000 kwa mwez, room zenye choo ndan ni bora zaid na kinaondoa usumbufu mwingi mfano usaf.

Kuhusi migogoro chakua mpangaj mmoja awe kiongoz wao, ili ujitoa kuwa msuluhishi unaki kwenye rufaa

Its true room za chumba sebule hawajamaa huwa hawahami kirahisi japo baadhi kama hana life la kueleweka wanasumbua kulipa kodi, unaeza ingia kesi ya kutoa vitu vya mtu nje akusingizie umemuibia kitu
 
Nyumba hii tumekaa wanachuo tu. Hatumjui mwenye nyumba ni nani hela huwa anaagiza mtu wake aje kuchukua. Mwanzoni tulionana na dalali tu. Hatumsumbui wala hatusumbui, inaonekana ana kazi zinambana na hana njaa ya hela hata kulipa kodi mpaka tumtafute. Ni mtu flani anaamini watu kirahisi sana ila kakutana na sisi tuko peace.

Basi hakuna kitu kizuri kama kuishi mbali na landlord. Tuko jinsia zote inaondoa fujo na kupunguza uhuni, ila hizi pisi kali zinatutumikisha kuzifungulia geti usiku zikitoka viwanja.
 
Kila biashara ya rejareja Ina changamoto zake. Biashara ya nyumba za kupanga pia ina kero zake. Unapojenga nyumba ya vyumba sita na kuipangisha chumba kimoja kimoja ni rahisi kupata wateja. Ni bahati sana kukuta vyumba viko wazi unatafuta mteja kulinganisha na kupangisha nyumba nzima.

Katika kuboresha biashara, kama una uhakika wa maji, weka Indian toilet mbili, hii itasaidia foleni asubuhi. Unawafahamisha kabisa kuwa choo kikiziba kwa vitu kama tampons gharama za uzibuaji wanalipa wao. Maji unaweza kuvuna ya mvua pia kusaidia usafi wa chooni hasa Dawasa kukiwa na shida.

Changamoto, ni kuwa unakusanya watu wa aina tofauti, jiandae kuwa hakimu. Kuna kesi moja, mama wa watu anapika maharage kwenye jiko la mkaa, msela alikua ana mlima timing, mama ameingia ndani kwake msela amechota maharage ya watu. Kesi za uchawi usiombe na nyingine kuibiana mabwana.

Hii biashara haiumizi kichwa sana, vyumba sita kila kimoja 50,000. Una uhakika wa 300,000 kwa mwezi.
Me nimejenga mwaka Jana, Chumba na Sebule.... Napangisha 20. Na mteja kashaingia .... Kwa mwezi....
 
Nyumba hii tumekaa wanachuo tu. Hatumjui mwenye nyumba ni nani hela huwa anaagiza mtu wake aje kuchukua. Mwanzoni tulionana na dalali tu. Hatumsumbui wala hatusumbui, inaonekana ana kazi zinambana na hana njaa ya hela hata kulipa kodi mpaka tumtafute. Ni mtu flani anaamini watu kirahisi sana ila kakutana na sisi tuko peace.

Basi hakuna kitu kizuri kama kuishi mbali na landlord. Tuko jinsia zote inaondoa fujo na kupunguza uhuni, ila hizi pisi kali zinatutumikisha kuzifungulia geti usiku zikitoka viwanja.
Duuu, Landlord akiwa Mbali n vzr said.... Niliwahi kuishi Tabata kwa Kupanga Nyumba n aMwenye Nyumba away umoumo, aiseee umeme alikuwa hanunui
 
Ukikipangusha chumba kwa 50,000 kwa mwez ni hela ndogo sana coz

kujenga room moja mpaka ikamilike ni kati ya M2 hadi M4 unategemea na finishing... pia usisahau garama zingine kama kiwanja kodi ya ardhi, mda wako n.k

Ili ilipe lenga kupata kuanzia 70,000 kwa mwez, room zenye choo ndan ni bora zaid na kinaondoa usumbufu mwingi mfano usaf.

Kuhusi migogoro chakua mpangaj mmoja awe kiongoz wao, ili ujitoa kuwa msuluhishi unaki kwenye rufaa

Its true room za chumba sebule hawajamaa huwa hawahami kirahisi japo baadhi kama hana life la kueleweka wanasumbua kulipa kodi, unaeza ingia kesi ya kutoa vitu vya mtu nje akusingizie umemuibia kitu
Hii ni long term investment, ndiyo iliyowasaidia wazee walioingia mijini enzi za ukoloni kumudu maisha na kuwa wenyeji wa makabila mengine yote. Unaweza kujenga na kupangisha vyumba vitatu na vitatu vingine unakaa wewe.

Waswahili wanasema haba na haba hujaza kibaba, ikiwezekana laki moja unayopata kwenye kodi una iwe la kwenye fixed deposit bank au inacheza upatu. Faida itabidi baada ya muda mrefu lakini una uhakika itaongia.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Siwezi ishi nyumba yenye wapangaji zaidi ya wa 4, nashukuru nilipo nipo sehemu ambayo ni nzuri na inafaa sana kwangu.
 
Nyumba hii tumekaa wanachuo tu. Hatumjui mwenye nyumba ni nani hela huwa anaagiza mtu wake aje kuchukua. Mwanzoni tulionana na dalali tu. Hatumsumbui wala hatusumbui, inaonekana ana kazi zinambana na hana njaa ya hela hata kulipa kodi mpaka tumtafute. Ni mtu flani anaamini watu kirahisi sana ila kakutana na sisi tuko peace.

Basi hakuna kitu kizuri kama kuishi mbali na landlord. Tuko jinsia zote inaondoa fujo na kupunguza uhuni, ila hizi pisi kali zinatutumikisha kuzifungulia geti usiku zikitoka viwanja.
Mara nyingi ukipata wapangaji wastaarabu hata mwenye nyumba ana tulla, wawe wasafi hasa chooni na bafuni na pia wasigombane. Wakikulipa kodi kwa muda muafaka huwafuatilii kabisa.
 
Kichwa
Kila biashara ya rejareja Ina changamoto zake. Biashara ya nyumba za kupanga pia ina kero zake. Unapojenga nyumba ya vyumba sita na kuipangisha chumba kimoja kimoja ni rahisi kupata wateja. Ni bahati sana kukuta vyumba viko wazi unatafuta mteja kulinganisha na kupangisha nyumba nzima.

Katika kuboresha biashara, kama una uhakika wa maji, weka Indian toilet mbili, hii itasaidia foleni asubuhi. Unawafahamisha kabisa kuwa choo kikiziba kwa vitu kama tampons gharama za uzibuaji wanalipa wao. Maji unaweza kuvuna ya mvua pia kusaidia usafi wa chooni hasa Dawasa kukiwa na shida.

Changamoto, ni kuwa unakusanya watu wa aina tofauti, jiandae kuwa hakimu. Kuna kesi moja, mama wa watu anapika maharage kwenye jiko la mkaa, msela alikua ana mlima timing, mama ameingia ndani kwake msela amechota maharage ya watu. Kesi za uchawi usiombe na nyingine kuibiana mabwana.

Hii biashara haiumizi kichwa sana, vyumba sita kila kimoja 50,000. Una uhakika wa 300,000 kwa mwezi.
Kila biashara ya rejareja Ina changamoto zake. Biashara ya nyumba za kupanga pia ina kero zake. Unapojenga nyumba ya vyumba sita na kuipangisha chumba kimoja kimoja ni rahisi kupata wateja. Ni bahati sana kukuta vyumba viko wazi unatafuta mteja kulinganisha na kupangisha nyumba nzima.

Katika kuboresha biashara, kama una uhakika wa maji, weka Indian toilet mbili, hii itasaidia foleni asubuhi. Unawafahamisha kabisa kuwa choo kikiziba kwa vitu kama tampons gharama za uzibuaji wanalipa wao. Maji unaweza kuvuna ya mvua pia kusaidia usafi wa chooni hasa Dawasa kukiwa na shida.

Changamoto, ni kuwa unakusanya watu wa aina tofauti, jiandae kuwa hakimu. Kuna kesi moja, mama wa watu anapika maharage kwenye jiko la mkaa, msela alikua ana mlima timing, mama ameingia ndani kwake msela amechota maharage ya watu. Kesi za uchawi usiombe na nyingine kuibiana mabwana.

Hii biashara haiumizi kichwa sana, vyumba sita kila kimoja 50,000. Una uhakika wa 300,000 kwa mwezi.
Kichwani cha habari na ujumbe uliomo kwenye meseji tofauti kabisa na mategemeo ya msomaji anaefungua ili kusoma kilichomo
 
Back
Top Bottom