Changamoto ya Vivuko Kigamboni kwa sasa kunafanya kazi kivuko kimoja tu

TikTok2020

JF-Expert Member
Oct 20, 2022
1,817
3,140
Wasaaaalamu

Hali ya usafiri Kigamboni imekuwa mbaya sana wananchi wanahaha na kuhangaika,kwa sasa ni kivuko kimoja tu MV KAZI ndio kinatoa huduma hii inasababisha mrundikano wa raia wanaosubiri kupata huduma ya kivuko na kuleta kero kubwa sana

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote alietolea ufafanuzi kadhia hiyo huku wananchi wakiendelea kuhaha

Kinachosikitisha zaidi kivuko kikubwa kilichokwenda kukarabatiwa ndio kwanza matengenezo yamefikia 40% na ni mwaka sasa unaisha tangu kipelekwe

IMG-20240130-WA0000.jpg
 
Wasaaaalamu

Hali ya usafiri Kigamboni imekuwa mbaya sana wananchi wanahaha na kuhangaika,kwa sasa ni kivuko kimoja tu MV KAZI ndio kinatoa huduma hii inasababisha mrundikano wa raia wanaosubiri kupata huduma ya kivuko na kuleta kero kubwa sana

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote alietolea ufafanuzi kadhia hiyo huku wananchi wakiendelea kuhaha

Kinachosikitisha zaidi kivuko kikubwa kilichokwenda kukarabatiwa ndio kwanza matengenezo yamefikia 40% na ni mwaka sasa unaisha tangu kipelekwe

View attachment 2888528
Ambae hataki apige mbizi
 
Back
Top Bottom