zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,484
- 991
Kwanza kabisa nianze kuwapa pole kwa wakaazi wa kigamboni kwa madhira na taabu wanazozipata kwa takribani mwezi mmoja sasa na wamekua wavumilivu.
Kwa takribani ya mwezi mmoja, kivuko kipo kimoja tu kinachotoa huduma, na kingine kiikiwa kimepaki tu kwa madai kimeharibika, huku kukiwa kunaonekana hakuna hata anaejali kuhusu ilo.
Pili, sehemu za kukalia wasafiri (waiting lounge), milango imeanza haribika mmoja baada ya mwingine, na hakuna matengezo. Ivi mpaka mwaka uishe huu ferry si itakua ishakufa kifo cha mende?
Hakuna uwajibika, watu kama watumwa ilihali kila siku watu tunalipa nauli na vivuko havitengenezwi. Kile kilichoenda Kenya kutengenezwa mpaka leo hakijarudi.
Eeeh Mungu sikia kilio cha wana Kigamboni.
#Eeimen
Kwa takribani ya mwezi mmoja, kivuko kipo kimoja tu kinachotoa huduma, na kingine kiikiwa kimepaki tu kwa madai kimeharibika, huku kukiwa kunaonekana hakuna hata anaejali kuhusu ilo.
Pili, sehemu za kukalia wasafiri (waiting lounge), milango imeanza haribika mmoja baada ya mwingine, na hakuna matengezo. Ivi mpaka mwaka uishe huu ferry si itakua ishakufa kifo cha mende?
Hakuna uwajibika, watu kama watumwa ilihali kila siku watu tunalipa nauli na vivuko havitengenezwi. Kile kilichoenda Kenya kutengenezwa mpaka leo hakijarudi.
Eeeh Mungu sikia kilio cha wana Kigamboni.
#Eeimen