Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 719
- 1,344
Wakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia JF
1. Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran
2. Nashindwa kudouble reply
3. Nashindwa kuquote uzi kama afanyavyo Mshana Jr na miamba wengine
Msaada
1. Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran
2. Nashindwa kudouble reply
3. Nashindwa kuquote uzi kama afanyavyo Mshana Jr na miamba wengine
Msaada