Changamoto ya kutumia JF

Changamoto ya kutumia JF

Baba mtakatifu91

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2026
Posts
2,510
Reaction score
4,975
Wakuu kwemeni na hamjamboni aisee nimekumbana na changamoto ya namna nzuri ya kutumia JF
1. Nashindwa kuwatag watu niwapendao mf.Seran
2. Nashindwa kudouble reply
3. Nashindwa kuquote uzi kama afanyavyo Mshana Jr na miamba wengine
Msaada
 
IMG-20260603-WA0033.jpg
 
Back
Top Bottom