Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,868
- 6,480
sasa kama kwa umri wako huo wa 25 unaweza kujiita mzee na wenye miaka kuanzia 30, tuwaite vikongwe sasa!!
Hivi we dogo aliyekwambia mimi nna miaka 25 nani? Kwa vile nimekaa na wewe hapa nakujibu vijiswali vyako visivyo na kichwa wala miguu umeshaniona mwenzio sio?sasa kama kwa umri wako huo wa 25 unaweza kujiita mzee na wenye miaka kuanzia 30, tuwaite vikongwe sasa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
basi sorry grandmother, msalimie grandfather. mwambie me mjuu mzima wa afya.Hivi we dogo aliyekwambia mimi nna miaka 25 nani? Kwa vile nimekaa na wewe hapa nakujibu vijiswali vyako visivyo na kichwa wala miguu umeshaniona mwenzio sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha! Sio kinyongekuna jamaa alimjibu eti nimekuta imejisave kwenye simu
mkuu nadhani ni kutaka kuonesha jeuri tuHaha! Sio kinyonge