Changamkia Extra cash for daladala owners

Changamkia Extra cash for daladala owners

Msamiati

R I P
Joined
Mar 6, 2011
Posts
1,063
Reaction score
700
Kama wewe ni mmiliki wa gari hii ni fursa yako ya kujitengenezea kipato cha ziada. Tutakulipa kama utakubali tupambe gari lako kwa sticker za tangazo la bidhaa zetu.
Utapata tsh 100000 kila baada ya miezi mi3 na tsh laki moja ya bonus baada ya miezi 6
Nafasi tano tu wahi sasa, ukiridhika na offer hii nitumie sms 0712494761
 
Kwanza ningependa kujua ni biashara gani.
maaana hapo imani za dini nazo zinaingia kati.
Kuna kipindi watu wa Bia walihwai kutoa hii wakaingia kwenye conflict na wahusika.Sasa kama mie Muislam ukaniwekea Tangazo la bia au Condoms hapo issue.

Weka wazi kaka Biashara gani itahusika katika gari langu
 
Kwanza ningependa kujua ni biashara gani.
maaana hapo imani za dini nazo zinaingia kati.
Kuna kipindi watu wa Bia walihwai kutoa hii wakaingia kwenye conflict na wahusika.Sasa kama mie Muislam ukaniwekea Tangazo la bia au Condoms hapo issue.

Weka wazi kaka Biashara gani itahusika katika gari langu

Ni tangazo la vyombo vya plastick kama viti nk
 
Ok,hapo mwake,ni deal zuri.
Ngoja tusubiri hope utawapata wengi tu.
Ni Dar tu au hadi mikoani ikiwemo Zanzibar
 
30,000 kwa mwezi.
haitoshi hata bia za wikiendi moja.
Dili halina mvuto wa kutosha..ukizingatia kwa saa 12 kila siku hiyo biashara inakula promo tuuuu...
 
Hivyo vitu vikinunuliwa kwa ajiri ya kutumika Bar si balaa tena wakati mie mlokole?
Mie simo bana.
 
Kama wewe ni mmiliki wa gari hii ni fursa yako ya kujitengenezea kipato cha ziada. Tutakulipa kama utakubali tupambe gari lako kwa sticker za tangazo la bidhaa zetu.
Utapata tsh 100000 kila baada ya miezi mi3 na tsh laki moja ya bonus baada ya miezi 6
Nafasi tano tu wahi sasa, ukiridhika na offer hii nitumie sms 0712494761

Whitedent wanalipa Tshs. 100,000/= kwa mwezi, ongeza dau utangaze biashara yako
 
Gari moja hiace ya kigamboni imepatikana bado 4
 
mna monitor vipi hayo magari? au mkishabandika sticker mi naanza kuhesabu tarehe nije kubeba changu?
 
mna monitor vipi hayo magari? au mkishabandika sticker mi naanza kuhesabu tarehe nije kubeba changu?

Tukiweka sticker unapewa ya miezi 3 hapohapo then ikiisha unakuja tena baada ya miezi 6 unapewa bonus 100000 kama sticker bado itakuwepo
 
Tukiweka sticker unapewa ya miezi 3 hapohapo then ikiisha unakuja tena baada ya miezi 6 unapewa bonus 100000 kama sticker bado itakuwepo

nikiwekewa sticker nikaenda kupaki gari then nakuja nalo kuchukulia posho nyi mtajuaje kama nilifanya publicity campaign ambayo nyi mnailipia? si itakuwa inakula kwenu?
 
Back
Top Bottom