Changamkia Dili hili la uwakala

Changamkia Dili hili la uwakala

kaka moro mtambo ndo unajengwa sasa hivi upo karibu kumalizika.

Tatizo la signal linatokana na vi2 v3:
1. öngezeko la wateja ni kubwa kwa hivo mitambo inazidiwa. Tunafanya kila jitihada kuongeza mitambo ye2 mfano sasa 2najenga mtambo makongo ambao mda wowote utakamilika kwa hivo tatizo la signal litata2liwa.
2. Aina ya antena unayo2mia wengine wana2mi tube, chadema afu wanalalamika jitahidi u2mie sonnet au antena ye2 basi.
3. Upo eneo gani? Kama upo bondeni sana lazima itakucmbua jaribu kurefusha antenna juu zaidi.
mbona mimi nimenunua antena yenu bwanaaa...???
 
Tatizo watanzania tuna mawazo mgando! Mwenzetu kaleta dili tulichangamkie kama tunaona inafaa watu wanaanza kulipuka na kasoro kibao! Kama hutaki kaa kimya wenzako wata changamkia.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Agree. One hass to be positive sio kila kitu unapinga/kudharau
 
nikweli kingamuzi cha star times hovyo kabisa mi mwenyewwe nilinunua kipindi kile cha weldi kapu 2010, najuta kujifahamu, picha zinaganda ganda,yaani frustration tupu, ukipiga simu mara elekeza antena kisarawee, sijui weka nnnn hv, yaani full frustration kiko nyumbani kama pambo tu, sitaki hata kuwasikia, TBS sijui wanafanyan niini !!!!


Kweli kabisa startimes mnanifanya nifikirie mmewahonga TCRA.
ili mfanye biashara kwa kutuibia vijisent vyetu kwa kutuachia majanga.
inaudhi sana pale unapokuwa unahitaji sana uone habari fulani alafu unakuta eti picha ina stak.


 
Ushauri:
1) matangazo yenu yako kama nchi nzima itakosa access, kumbe ni kama mikoa mi 5 tu. Watu wametoka Shy, Kibondo only to be informed nyie bado sana!
2) ofisi yenu ya TBCcm pale Bamaga haina watu wa customer care! Ukifika kuna 'vipolisi' kama unataka kuuliza vinakutoa nje.
3) ITV wasipokuwepo decorders zenu hazina maana
 
Back
Top Bottom