Chanel Ten Vipi na Habari ya Lowassa?

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,651
2,627
Wanaukumbi.

Chanel Ten wameweka ktk headline ktk habari juu ya Lowasa kujiunga CDM muda huu ila haijasomwa.

WAMETISHIWA?
 
Wanaukumbi.

Chanel Ten wameweka ktk headline ktk habari juu ya Lowasa kujiunga CDM muda huu ila haijasomwa.

WAMETISHIWA?

itakuwa, maana hata wakati wa press walikuwa live pamoja na star tv kisha baada ya dk kumi wakakata matangazo
 
ndo wanaenda kusoma mkuu.
Leo nina raha mno kesho narejesha likadi la CCM
 
Acheni kuishi kwa hisia taarifa imesomwa huo ni mpangilio wa habari tu
 
Wanaukumbi.

Chanel Ten wameweka ktk headline ktk habari juu ya Lowasa kujiunga CDM muda huu ila haijasomwa.

WAMETISHIWA?



Msomaji leo alikuwa ni Salim Mwalimu na alikuwa bado anapiga Selfie Bahari Beach na taarifa zote alikuwa nazo yeye ya tukio zima. Ngojeni kwanza akaoge kisha Saa 5 usiku ktk Habari yao atawaleteeni Taarifa ya Mpendwa Wenu " MFU ".
 
Back
Top Bottom