Chanel Ten Vipi na Habari ya Lowassa?

Chanel Ten Vipi na Habari ya Lowassa?

Wanajua kick ya LOWASSA ni kubwa maana wangetangulia kuisoma taarifa zingine tungetupia kapuni
 
Hta clouds wamesoma kinafiki habari ya lowasa na yule mtangazaji wao chizi!

Leo hii Clouds Tv wamekuwa Wanafiki tena wakati ni nyie nyie humu wakati wa harakati za Lowassa kutangaza nia kupitia CCM huku Clouds Tv na FM wakiwa wanampigia chapuo tena wazi wazi mlikuwa mnawasifu na kuwapongeza mno leo imekuwaje tena mnawageuka na kuwaona hawafai tena? Hakika sijawahi kuona Watu WANAFIKI kama Watanzania Wakiongozwa na Mbowe, Lipumba, Mbatia na Makaidi.
 
Back
Top Bottom