kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 10,709
- 13,152
Moja kwa Moja kwenye mada.., wengine huenda ikawa ni ngumu kuelewa,hii tabia ninayozungumzia hapa ni Ile Hali ya presenters wa tv stations,hasa akiwa anaongoza kipindi Cha taharifa ya habari,kuonekana amekodolea macho upande mwingine wa luniga mara tu report ya mwandishi flani inapoisha
Hii Hali nimeiona sana Star tv na chanell ten kwa mujibu wa kautafiti kidogo nilikofanya.., kiukweli huwa inanishangaza sana kwa presenter kukodoa mimacho kama mshamba flani hivi, utafikiri ni mtu wamemtoa kijijini kazulamimba huko na kumuweka kwenye chumba Cha habari
Nimefuatilia kwenye media zinazojitambua kama aljazeela huwezi kuona Hali hii,yaani huko report flani tu inapoisha ,macho ya presenter tayari yanakuwa kwenye camera! (Kwa watazamaji) huwezi kuona presenter akishangaashangaa report flani iliyoisha kama hapa bongo!
Nafikiri sisi watazamaji ndio tunafaa angalau kuonyesha ushambaushamba lakini sio presenters!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hii Hali nimeiona sana Star tv na chanell ten kwa mujibu wa kautafiti kidogo nilikofanya.., kiukweli huwa inanishangaza sana kwa presenter kukodoa mimacho kama mshamba flani hivi, utafikiri ni mtu wamemtoa kijijini kazulamimba huko na kumuweka kwenye chumba Cha habari
Nimefuatilia kwenye media zinazojitambua kama aljazeela huwezi kuona Hali hii,yaani huko report flani tu inapoisha ,macho ya presenter tayari yanakuwa kwenye camera! (Kwa watazamaji) huwezi kuona presenter akishangaashangaa report flani iliyoisha kama hapa bongo!
Nafikiri sisi watazamaji ndio tunafaa angalau kuonyesha ushambaushamba lakini sio presenters!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app