MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,994
- 15,663
Hicho kirefu mbona hakiendani na kifupi??
,tangu lini wafilist wakawa na akili
Hicho kirefu mbona hakiendani na kifupi??
OCD NI District Commanding Officer. Hata FATAH isome kinyumenyumeHicho kirefu mbona hakiendani na kifupi??
Teh teh tehNdio mana waislamu watataja manabii na mitume wote wa kiyahudi ila huwezi kuta mahali wamemtaja samsoni
Na Goliat alikuwa na umaarufu ganiKirefu cha chama tawala cha Palestine k cha FATAH kina jina la kifilisti kirefu ni Ḥarakat al-Taḥrīr al-Waṭanī l-Filasṭīnī yaani Chama cha wanaharakati wa kifilisti.
Wafilisti ni ndugu zake na Goliathi kwenye Biblia
Kwanini walifanya hivyoOCD NI District Commanding Officer. Hata FATAH isome kinyumenyume
Na Goliat alikuwa na umaarufu gani
Daudi myahudiAlikua jitu la miraba minne jemedali wa kifilisti aliyewatisha na kuongopwa na maadui,aliuliwa na Daudi kwa jiwe lilirushwa kupitia kombeo,kusababisha wafilisti kushindwa vita.
Alikuwa jemadarNa Goliat alikuwa na umaarufu gani
unaamisha magoli
👍🙏Alikuwa jemadar
Hakuna mtume anayeitwa Samson kwenye dini ya kiislamu. Kama hujui bora unyamaze tu.Ndio mana waislamu watataja manabii na mitume wote wa kiyahudi ila huwezi kuta mahali wamemtaja samsoni
Mwili nyumba, akili sisimizi.Na Goliat alikuwa na umaarufu gani
kudadadadeki.....Wafilisti ni ndugu zake na Goliathi kwenye Biblia