Estmeed Reader
Senior Member
- Mar 19, 2010
- 134
- 0
William, umenipa mtihani mgumu. Lakini nitajaribu niwezavyo kukujibu baada ya kuawasiliana na vyanzo vyangu vya habari hapo New York na kwingineko.
hivi W Malecela na FMES sauti ya umeme wana uhusiano gani?
huu mjadala na ule mjadala wa baba mtu na Sofia Simba naona kama wana fanana.
Anyway hawa ndio waliotufikisha hapa tulipo, ni bora kuwapuuuza, hawana cha uzalendo wala nini. wanachumia matumbo yao tu.
William, umenipa mtihani mgumu. Lakini nitajaribu niwezavyo kukujibu baada ya kuawasiliana na vyanzo vyangu vya habari hapo New York na kwingineko.
- Mjadala ni kuhusu chama sio FMES, kama unatka kunijadili mimi fungua thread inayonihusu, hapa ninaamini kinajadiliwa chama. Sijakufikisha popote ni wewe mwenyewe ndiye umejifkisha ulipo, hii tabia ya kusingizia wengine tuache na mimi kama binadam nina matatizo yangu mengi sana simlaumu mtu!
Es!
hivi W Malecela na FMES sauti ya umeme wana uhusiano gani?
huu mjadala na ule mjadala wa baba mtu na Sofia Simba naona kama wana fanana.
Anyway hawa ndio waliotufikisha hapa tulipo, ni bora kuwapuuuza, hawana cha uzalendo wala nini. wanachumia matumbo yao tu.
Mnang'ang'ania u Community Organiser kwenye nchi za watu kama hamna aibu vile kwa nini usirudi nyumbani ukauendeleza u CO wako huku nasikia kule jimbo la Mtera kuna shule moja ya sekondari kata ya Fufu ina walimu wanne tu kwa nini usije kusaidia .....hovyo....
Ni wazo zuri la kuwa na Chama cha Watanzania wa New York na vitongoji vyake, kama ilivyo sehemu nyinginezo za Amerika, kwa mfano, huko Houston, Texas.
- Sawa sawa.
Lakini baadhi yenu mnaokiandaa inafaa sana kung'atuka kuwaoganize hao wa-Tanzania wa New York. Watanzania wa sasa (na hao wa New York) sio mabwege wa kuburuzwa buruzwa!
- Tunaongoza kwa muda tu, baadaye utafanyika uchaguzi rasmi wa wanachama wote.
Ukweli ni kwamba ninyi wa NY mko chini ya himaya ya Balozi wetu aliyeko Washington, DC.
- Ndio maana Mwenyekiti wa muda akirudi tu kesho, ataenda DC kuonana na balozi wetu kule kupata baraka zake.
Hayo ya kuomba "blessings" eti kutoka kwa ma-Balozi (New York na Washington) yatakinyima "Chama-tegemewa" hadhi yake na mwelekeo wake. Je, endapo Balozi yeyote hatatoa "blessing" si ni kujitakia mgawanyiko na uchonganishi kati ya ofisi zetu hizo mbili huko Amerika?
- Sio wote walioombwa baraka wametoa, lakini wote wanajua kuwa tupo na tunaendelea na kukisimamisha chama kama tulivyopanga na kukubaliana kule Harlem.
"Chama-tegemewa" kisiwe an affiliate ya serikali au chama chochote cha siasa! Chama-tegemewa" kiwe huru kukosoa mabaya ya Tanzania.
- Soon nitaweka nia na madhumuni ya chama hapa,utaona kwamba hatuna mpango wa kujiingiza kwenye siasa za taifa lolote iwe US wala Tanzania, sio nia yetu hiyo.
Hata wakati wa ufunguzi, msimwalike Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa awe mgeni rasmi. Mwalikeni Balozi wa Washington, DC, ambaye kama atapenda, ndiye amwombe Balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa kumwakilisha (sisemi kuwa msimkaribishe Balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa kwenye ufunguzi).
- Ushauri huu tutauzingatia sana ni mzito sana.
Mwisho, nawaachia wengine nao wachangie kwa matumaini makubwa kwamba "chama" kina blessings zangu
- Ninakushukuru sana kwa baraka zako mkuu.
Ahsante.
William. (Community Organizer).
Estmeed reader,
nimecheka, na asante sana kwa mchango wako. Natia shaka hiki chama, na ushiriki, hasa wa huyo FMES.
Chama cha jamii kinaanzishwa na wanajamii.
- So far hatuna mwanachama wala kiongozi anayeitwa FMES, kesho nikijaaliwa nitaweka majina ya viongozi wote wa muda na kamati nzima ya chama ya muda.
Unless muhtasari wa kikao cha kwanza kilichozaa wazo hili ukawekwa hapa ili kuondoa wingu la lengo halisi la kuanzishwa kwa chama hiki. Sina haja ya kutoa mawazo ya kusaidia kuimarisha chama kwa manufaa ya mtu binafsi.
- Ni chama cha jumuiya sio changu wala cha mtu yoyote ni cha jumuiya, tunaenda pole pole kwanza ilikuwa ni introduction na baadaye tutaenda kwenye mengine ila on our pace.
Kama mtu anaweza kujiita 'community organiser' bila kutaja kikao gani cha community kilikaa kumchagua, na kwamba kama ana wasaidizi mbona hawajawahi kujitokeza kusupport wazo lake (sijui kuhusu Balatanda - hajadeclare).
- Obama hakupewa hiki cheo na yoyote, so na mimi sikupewa na yoyote, inaruhusiwa kujipa mwenyewe kutokana na kzi zako kwa Community ambazo ni za kujitolea, nafikiri unakumbuka sana kwenye msiba wa mzee Chiume, hakuna aliyeniomba kujituma, maana he was my friend na nilikuwa niki-spend a lot of time karibu naye kuchota siasa na busara za maisha.
- Mkuu nimejaribu kuchukua na kujibu niliyoyaona muhimu tu, mengine hapana, halafu be careful maana huenda kuna wanaokuhusu kwenye uongozi na uanachama wa hiki chama, yaani wananchi wengine.
Ahsante.
William. (Community Organizer)
Ingelikuwa vyema kama tungejadili mada hasa kwa nini William Malecela hafai kuongoza Jumuia ya Watz hapa New York!
Tutoe sababu za msingi bila kusukumwa na hoja za chuki,kimsingi kila Mtz aliye ndani au nje ya Tanzania ana haki ya kugombea nafasi aitakayo,kama William Malecela kasema yeye ni Interim leader tu na kutafanyika uchaguzi hapo baadae,si ndiyo nafasi yetu kumuondoa madarakani kwa njia ya sanduku la kura muda ukifika?
Luten,haya mambo ya kumtaka William arudi akaendeleze jimbo la Mtera ni irrerevant na hoja husika,kwani hata wewe binafsi kikatiba unaruhusiwa kwenda Mtera kuwaletea maendeleo ukitaka!
Pia hata walioleta hoja kusema kuwa likely William ndiyo FMEs nao hawamtendei haki William maana wameshindwa kuthibitisha "beyond any reasonable doubt"kuwa madai yao ni kweli tupu!
Tujadili hoja inayohusu chama hiki cha New York kwa heshima na adabu bila jazba wala matusi!
Asanteni!
Nitaangalia yaliyo muhimu tu kwa chama:-
- So far hatuna mwanachama wala kiongozi anayeitwa FMES, kesho nikijaaliwa nitaweka majina ya viongozi wote wa muda na kamati nzima ya chama ya muda.
- Ni chama cha jumuiya sio changu wala cha mtu yoyote ni cha jumuiya, tunaenda pole pole kwanza ilikuwa ni introduction na baadaye tutaenda kwenye mengine ila on our pace.
- Obama hakupewa hiki cheo na yoyote, so na mimi sikupewa na yoyote, inaruhusiwa kujipa mwenyewe kutokana na kzi zako kwa Community ambazo ni za kujitolea, nafikiri unakumbuka sana kwenye msiba wa mzee Chiume, hakuna aliyeniomba kujituma, maana he was my friend na nilikuwa niki-spend a lot of time karibu naye kuchota siasa na busara za maisha.
- Mkuu nimejaribu kuchukua na kujibu niliyoyaona muhimu tu, mengine hapana, halafu be careful maana huenda kuna wanaokuhusu kwenye uongozi na uanachama wa hiki chama, yaani wananchi wengine.
Ahsante.
William. (Community Organizer)
Vya maana hujajibu, na kuandika maneno mengi hakuna maana kuwa umejibu yale ya maana.
Wapi ametajwa FMES kama ni kiongozi kwenye hiyo post yangu? Read between the lines ndugu.
Unaposema ni chama cha jumuiya, na mnaenda pole pole, ina maana wewe na familia yako ndio mnawakilisha jumuiya?
Unatumia mfano wa Obama, una uhakika Obama alitumia njia kama unayoitumia leo, vinginevyo mfano wako ni irrelevant.
Tabia ya kuanza kujikweza humu unaposaidia kwenye misiba si ya kiungwana. Haiwezekani ufanikishe misiba na party zote peke yako. Je hii ndio inakufanya uwe community organiser? Je ni misiba yoye unashiriki vilivyo au ile misiba ya wanajamii wa aina fulani.
Nasubiri hayo majina ya viongozi na muhtasari wa kikao ulichokuchagua wewe kiongozi.
Nitaangalia yaliyo muhimu tu kwa chama:-
Unaposema ni chama cha jumuiya, na mnaenda pole pole, ina maana wewe na familia yako ndio mnawakilisha jumuiya?
- Ni mimi na viongozi wote wa muda na mimi kama naibu katibu mkuu wa muda wa chama na msemaji wa chama, kilichonileta hapa ni kuki-introduce chama kwanza, na kutafuta mawazo na ushauri wa namna ya ku-move forward, ndicho ninachokifanya sasa na nitaendelea kufanya hivi.
Unatumia mfano wa Obama, una uhakika Obama alitumia njia kama unayoitumia leo, vinginevyo mfano wako ni irrelevant.
- Obama aliyafanya yale yale kwa jumuiya yake niliyokwisha yafanya na besides katika hiki chama nafasi yangu ni msemaji wa chama, Community Organizer ni nafasi yangu binafsi ambayo haina anything to do na chama, hata wewe unaweza kujiita anything cha muhimu ni kama huvunji sheria kwa kujiita anything.
Tabia ya kuanza kujikweza humu unaposaidia kwenye misiba si ya kiungwana. Haiwezekani ufanikishe misiba na party zote peke yako. Je hii ndio inakufanya uwe community organiser? Je ni misiba yoye unashiriki vilivyo au ile misiba ya wanajamii wa aina fulani.
- Ninashukuru kwamba angalau hapa tunakubaliana kuhusu CV yangu kwa jumuiya, ingawa hayana anything na kukisaidia chama, lakini ni muhimu kwamba umekubali.
Nasubiri hayo majina ya viongozi na muhtasari wa kikao ulichokuchagua wewe kiongozi.
- Kumbuka kwamba hatuna member wala kiongozi anayeitwa ama, kwa hiyo regardless ya what you feel on personalities haiwezi kuwa na effect yoyote kwenye hiki chama, na si kweli kwamba utakua na any impact na what you say, hapana tutasikiliza ushauri tu, ukitaka unaweza kunifungulia thread yangu ninakukaribisha sana, na pia ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba nimeileta hii idea hapa na sasa hii ishu ni the talk of the town, yaani kuanzishwa kwa chama kipya NY,
- Again niwashukuru sana utawala wa JF kwa kutupa hii nafasi, tutaendelea tena soon na mengine zaidi ya chama kipya.
Ahsante.
William. (Community Organizer).
William:
- Zingatia onyo langu: [N]aomba sana usiite, 'Mkuu" wala Esteemed Reader'! Sitaki. Niite, Estmeed Reader. Napenda! Lakini bado you are not getting it kwa kuniita, Mkuu!
- Siiti majina ya bandia kwangu ni mwiko, unless ungekwua unatumia jina lako kamili kama mimi.
- Kama self-anointed Community Organiser, inaonekana umetumia madola mengi! Hayo mapesa yalikuwa yanatoka wapi, yakhe? Hiyo apartment yako ina vyumba vingapi?
- Panapobidi nimetumia hela zangu za binafsi na pasipobidi nimechangisha, mapesa niliyotumia ni ya kutoka mfukoni mwangu,yaani mapesa yangu.
[*]Baadhi ya kundi la vijana (Fundi na Mao) lilianza, kama wewe, kutafuta hafla ziko wapi (birthdays, graduations, batizo, sikukuu) na kubeba vifaa vya miziki kutumbuiza. Mwishowe kutafuta mahali pa kupigia miziki ya disko kwenye mabaa huko Mt. Vernon au kualikwa penginepo. Mwishowe, wewe ukaachwa kwenye mataa ya disko na Mao akangaa hadi leo.
- Wakuu Fundi na Mao walinikuta NY, nikiwa tayari nimeshaanza hizi shughuli za kupiga muziki, infact mara mbili nilipigisha Disco kabambe sana ambapo hawa wakuu wawili walikuwa ndio ma-DJ, nikapiga tena one more time nikishirikiana na DJ Mao, tulipomaliza nilimkabidhi rasmi mikoba na ku-retire shuguli za kupiga Disco akaanza kwa kushikiriana na Club Serengeti, inaelekea ulikua hujafika NY.
- Anyways, ninakwenda kukutana na Mkuu aliye-originate ile Movie ya 'Hotel Rwanda", nitarudi later kumalizia majibu.
Thanks.
William.