Chama Kipya: New York Metropolitan Tanzanians Community

- Sasa mkuu naomba uwataje wenye harufu na ubalozi ili tujiajngalie kama ni kweli, ninakuruhusu uwataje hao unaodhani wana harufu ya ubalozi.

William.

- Mkuu acha majungu huwasaidii wananchi wengi wanaotaka kwua na hii jumuiya, haya yako ni majungu hao wamekwedna ubalozini kama walivyokuja hapa kama wanavyosema, sasa haina maana hiki chama kitakwua cha JF simply huna hoja kama unayo ungetaja acha uzushi mkuu.

FMEs

Wakuu Malecela & FMEs,
Hivi mnafikiri kuna mTZ anayechukia tukipata chama cha kutujumuisha huku nyikani?

Kwanza ni kitu cha kushangaza sana na kusikitisha kuona kuwa waTZ wa jiji kama la NY na vitongoji vyake mpaka leo hii hawana jumuiya yao licha ya wingi wao katika hayo maeneo.

Lakini inaelekea tatizo sio waTZ bali ni baadhi tu ya watu wanaotaka kuanzisha vyama kwa maslahi yao binafsi halafu inaelekea hawambiliki.

Mkuu Malecela, wewe mwenyewe ambaye mke wako ndio mtumishi wa muda mrefu kuliko wote hapo ubalozini NY, sijui unategemea tukueleweje unapokuja na tangazo kuwa eti;
  1. Mmeshapewa rukhsa na Balozi kuanzisha chama na chama kimeshaandikishwa na wewe ambaye ni mtegemezi wa ubalozi ni mmoja wa viongozi.
  2. Katiba na Website ya chama tayari viko mbioni sijui nani anayevigharimia wakati wanachama hawajakutana?
  3. Hukutueleza ni jinsi gani mlivyokutana mkaamua kuanzisha chama kwa ajili ya waTZ wote bila kuwashirikisha hao wanaotakiwa kukimiliki chama.
  4. Hukutufahamisha kuwa ni nani na vipi mliteuliwa kuwa viongozi, wasifu wenu ni upi n.k, hata kama nyie ni viongozi wa muda (interim). Hapa mnaonekana kujiona kama vile mko above all other TZs ambao mnategemea kufuata mnachowaeleza tu. This is a typical behavior of waungwana serikalini, something that we are all very much familiar with.
Watanzania tunataka kujumuika kwani tunaelewa jumuiya itatusaidia sana kwenye masuala mbalimbali ya kijamii na labda hata kuisaidia nchi. Lakini kama chama kitaanzishwa kwa mizengwe na mazingira ya kutatanisha, msije mkashangaa historia ikajirudia. WaTZ hatutaki kuwa ni rubber stamp ya maamuzi yenu nyie wa ubalozini/serikalini.
 
Wakuu Malecela & FMEs,
Hivi mnafikiri kuna mTZ anayechukia tukipata chama cha kutujumuisha huku nyikani?

Kwanza ni kitu cha kushangaza sana na kusikitisha kuona kuwa waTZ wa jiji kama la NY na vitongoji vyake mpaka leo hii hawana jumuiya yao licha ya wingi wao katika hayo maeneo.

Lakini inaelekea tatizo sio waTZ bali ni baadhi tu ya watu wanaotaka kuanzisha vyama kwa maslahi yao binafsi halafu inaelekea hawambiliki.

- Ahsante mkuu, mimi binafsi sina mpango wowote wa kugombea nafasi ya kudumu katika hiki chama kwa sababu ninaamini kwamba huu ni wakati wa kuwapisha wengine, nimeongoza kwa muda mrefu sana bila ya kuwa na chama na besides mimi ninaangalia big picture ya uongozi nyumbani sio hapa NY kwa hiyo kama una tatizo na mimi naomba uliondoe maana sina nia ya kuongoza ninachofanya sasa ni kusaidia tu hiki chama kisimame.

Mkuu Malecela, wewe mwenyewe ambaye mke wako ndio mtumishi wa muda mrefu kuliko wote hapo ubalozini NY, sijui unategemea tukueleweje unapokuja na tangazo kuwa eti;



  1. - Hapana mke wangu sio mtumishi wa muda mrefu kuliko, wapo wenye muda mrefu kuliko yeye, halafu yeye ni local staff sio Ofisa wa nje, mke wangu alianzia ubalozi wetu Brussles kabla sijamuoa, nilipomuoa ndio alihamia NY kwa hiyo amekua kwenye hizi shuguli kwa muda mrefu, katika miaka yote niliyoishi NY nimewaongoza wananchi kwenye mambo mengi sana na sikumbuki hata moja ambalo lilishinikzwa na ubalozi, kwa hiyo haya malalamiko yako kwangu hayana mshiko kabisa maana ni speculations ambazo huwezi kuzithibitisha, na besides wala sina nia ya kugombea uongozi wa kudumu maana nina mambo makubwa zaidi ninayoyaangalia kwenye maisha yangu.


  1. [*]Mmeshapewa rukhsa na Balozi kuanzisha chama na chama kimeshaandikishwa na wewe ambaye ni mtegemezi wa ubalozi ni mmoja wa viongozi.
    [*]Katiba na Website ya chama tayari viko mbioni sijui nani anayevigharimia wakati wanachama hawajakutana?
    [*]Hukutueleza ni jinsi gani mlivyokutana mkaamua kuanzisha chama kwa ajili ya waTZ wote bila kuwashirikisha hao wanaotakiwa kukimiliki chama.
    [*]Hukutufahamisha kuwa ni nani na vipi mliteuliwa kuwa viongozi, wasifu wenu ni upi n.k, hata kama nyie ni viongozi wa muda (interim). Hapa mnaonekana kujiona kama vile mko above all other TZs ambao mnategemea kufuata mnachowaeleza tu. This is a typical behavior of waungwana serikalini, something that we are all very much familiar with.
Watanzania tunataka kujumuika kwani tunaelewa jumuiya itatusaidia sana kwenye masuala mbalimbali ya kijamii na labda hata kuisaidia nchi. Lakini kama chama kitaanzishwa kwa mizengwe na mazingira ya kutatanisha, msije mkashangaa historia ikajirudia. WaTZ hatutaki kuwa ni rubber stamp ya maamuzi yenu nyie wa ubalozini/serikalini.

- Mwenyekiti wa muda Bwana Khaji, amepita kwa wazee wengi na pamoja na ubalozi kupata baraka, amezipata na akirudi atapita tena sehemu nyingi sana za wanachi kupata baraka, kuna wananchi wengi walikutana Harlem baada ya kutangaza kwa muda mrefu sana kuhusu huo mkutano waliohudhuria waliwachagua viongozi wa muda na mimi nikiwa mmojawapo, inaelekea hukuhudhuria huo mkutano for crying out loud.

- Again naona una maneno mengi sana ya uzushi ambayo huna ushahidi nayo, inaonekana tatizo lako ni mimi kwa sababu mke wangu anafanya kazi ubalozini, pole sana mkuu mimi sina nia ya kuwa kiongozi wa kudumu ninajaribu tu kuwasaidia wanaotaka kuwa na jumuiya na so far wameshafika mbali sana tayari kuna webbsite, wameshsajili chama, kinachofuata ni kuisema wazi hapa katiba ya chama.

Tuatayafanya yote pole pole, ila one sina anything to apologize for kwa mke wangu kufanya kazi ubalozini, inaonekana kwako ni dhambi kubwa sana ila kwangu ni kazi kama za wengine wote sina hizo inferior za kufikiri wanaofanya kazi ubalozini ni alliens, hapana mkuu.

Otherwise, soon tutaanza kwanza kuwatambulisha viongozi wa muda na katiba mpya ya chama.

Ahsante Sana Mkuu.


William. (CO)
 
- Ahsante mkuu, mimi binafsi sina mpango wowote wa kugombea nafasi ya kudumu katika hiki chama kwa sababu ninaamini kwamba huu ni wakati wa kuwapisha wengine, nimeongoza kwa muda mrefu sana bila ya kuwa na chama na besides mimi ninaangalia big picture ya uongozi nyumbani sio hapa NY kwa hiyo kama una tatizo na mimi naomba uliondoe maana sina nia ya kuongoza ninachofanya sasa ni kusaidia tu hiki chama kisimame.

- Mwenyekiti wa muda Bwana Khaji, amepita kwa wazee wengi na pamoja na ubalozi kupata baraka, amezipata na akirudi atapita tena sehemu nyingi sana za wanachi kupata baraka, kuna wananchi wengi walikutana Harlem baada ya kutangaza kwa muda mrefu sana kuhusu huo mkutano waliohudhuria waliwachagua viongozi wa muda na mimi nikiwa mmojawapo, inaelekea hukuhudhuria huo mkutano for crying out loud.

- Again naona una maneno mengi sana ya uzushi ambayo huna ushahidi nayo, inaonekana tatizo lako ni mimi kwa sababu mke wangu anafanya kazi ubalozini, pole sana mkuu mimi sina nia ya kuwa kiongozi wa kudumu ninajaribu tu kuwasaidia wanaotaka kuwa na jumuiya na so far wameshafika mbali sana tayari kuna webbsite, wameshsajili chama, kinachofuata ni kuisema wazi hapa katiba ya chama.

Tuatayafanya yote pole pole, ila one sina anything to apologize for kwa mke wangu kufanya kazi ubalozini, inaonekana kwako ni dhambi kubwa sana ila kwangu ni kazi kama za wengine wote sina hizo inferior za kufikiri wanaofanya kazi ubalozini ni alliens, hapana mkuu.

Otherwise, soon tutaanza kwanza kuwatambulisha viongozi wa muda na katiba mpya ya chama.

Ahsante Sana Mkuu.

William. (CO)

Mkuu Malecela,
Tusielewane vibaya hapa. Sikuwa na nia ya kutaja uhusiano wako na ubalozi wetu mpaka uliposisitiza kuwa nifanye hivyo.

Binafsi ninavyokufahamu you are a good guy. But you are too much in bed with watu wa ubalozini na JK kutufanya wengine kushindwa kukuamini kuwa unaweza kutoufungamanisha mtandao wa JK na chama cha WaTanzania.

Kwa maelezo yako hapo juu ni kuwa chama mmeshakiunda, whether ni cha cha waTZ au ni cha mtandao wa JK, hilo tutalijua hapo baadaye. Cha kushangaza ni kuwa sijui ni kwa nini umelileta hili baada ya kuunda chama badala ya kuitumia hii forum kuwaalika watu Harlem ili kukiunda hicho chama.

Muhimu nililosisitiza awali ni kuwa msitufiche juu ya ukaribu wenu na JK hasa tunapowaeleza hivyo, maana tumeshaona matawi mengi ya CCM-Mtandao yakifunguliwa ughaibuni. NY hatuhitaji chama cha kutekeleza matakwa ya ubalozi/JK, bali tunahitaji chama cha kuwaeleza ubalozi/JK matakwa yetu.
 
sometimes huwa napata tabu sana kuwaelewa watanzania.........
 
Mkuu Malecela,
Tusielewane vibaya hapa. Sikuwa na nia ya kutaja uhusiano wako na ubalozi wetu mpaka uliposisitiza kuwa nifanye hivyo.

- Mkuu mke wangu anafanya kazi ubalozini kutaja kwako hakukuongeza wala kupunguza anything, kwa sababu hiki chama hatuna mpango wa kuweka masharti kuhusu kazi za wake za members wala viongozi, kwa hiyo naomba uwe na amani kwamba I am proud to have my wife working for our embassy, ubalozi ni part ya sisi wananchi tunaoishi nje, matatizo mengi ni lazima wahusishwe kwa mfano majuzi kuhusu msiba wa Mzee wetu Mwakawago, na huko nyuma alipofariki Dada Pendo, kama sio ubalozi sisi wananchi wa kawaida ingetuwia vigumu sana kufanikisha hizo shughuli kwa hiyo hili la ubalozi kwangu silioni kuwa ni tatizo wala wake zetu wanapofanya kazi silioni kwua ni tatizo, tunauhitaji ubalozi mimi sina chuki nao kama unaoonekan kuwa nazo.
eBinafsi ninavyokufahamu you are a good guy. But you are too much in bed with watu wa ubalozini na JK kutufanya wengine kushindwa kukuamini kuwa unaweza kutoufungamanisha mtandao wa JK na chama cha WaTanzania.

- I have no apologies kwa kuwafahamu viongozi na wanachi, nia na madhumuni yangu ni kuona chama kinasimama kuwasaidia wananchi wengi waliojitokeza siku ya mkutano wa kwanza ambao sio siri kwamba wewe hukuwepo, mimi ni mwananchi kama wengine wote nina haki zote za kugombea anything katika hiki chama, unless kama katiba unasema chama hakitakua na viongozi wanaofahamiana na Rais wa jamhuri, au ubalozi, wasi wasi wako ni uongo wa mchana kwa sababu nimewafanyia shuguli nyingi sana wanachi wa NY na sukumbuki hata mara moja uhusiano wangu na wananchi au viongozi umewahi kuwa tatizo,

- Halafu si kweli kwamba wewe tu ndiye utakayekitengenza hiki chama, au kwamba ni wewe tu ndiye utakayekwua na final say na hiki chama, kama una shida na mimi binafsi nisubiri nikigombea nafasi then uwafahamishe wananchi wapiga kura haya matatizo yako na mimi, ila mimi ninakuhakikishia kwa miungu yangu yote kwamba nigombee au nisigombee, wewe uwemo au usiwemo hili chama kimeshasimama tayari, kama unatka tuweke sheria kuhusu marafiki wa viongozi wa hiki chama unakaribishwa sana, ila so far hatuna hiyo sheria ya kuwabana marafiki wa viongozi na wake zao wanakofanya kazi I mean toka nizaliwe na kuwa mtumzima ndio mara yangu ya kwanza kusikia this kind of idea, lakini tutazifikisha kwenye vikao ili wananchi waamue.


Kwa maelezo yako hapo juu ni kuwa chama mmeshakiunda, whether ni cha cha waTZ au ni cha mtandao wa JK, hilo tutalijua hapo baadaye. Cha kushangaza ni kuwa sijui ni kwa nini umelileta hili baada ya kuunda chama badala ya kuitumia hii forum kuwaalika watu Harlem ili kukiunda hicho chama.

- Mkuu unaweza kukiita hiki chama jina lolote unalolitaka lakini kwa wael tuliochoswha kuishi maisha yetu yote bila chama tumeamua kwamba enough is enough, tunajua wewe ni nani tayari, na matatizo yako yote, na ninaziona juhudi zako kubwa sana za kutaka kuigeuza hii topic kua mimi badala ya wananchi na chama chao, ninakuhakikishia kwamba hutaweza, hata ufanye nini na uzushi wako utashindwa tu na haya mawazo yako ya kurudi kinyume nyume, chama ni cha Jumuiya ya wananchi wanaoishi NY hayo mengine ni yako na matatizo yako, wananchi wote waliojitokeza siku ya mkutano wa kwanza hawawezi kushindwa kwa sababu yako wewe mtu mmoja tu na uzushi mwingi usio na ushahidi, kwa hiyo mkuu ukitaka unakaribishwa au unaweza kuendelea kama unavyoishi sasa yaani bila kuwa mwanachama, lakini ninakuahidi kwa miungu yangu yote kwamba hiki chama kitaendelea maana tayari kipo mbali sana.

- Wananchi wote walifahamishwa kuhusu mkutano huu uliofanyika Harlem, naomba kukumbusha kwamba wananchi wengi walijitokeza na kuchaguz viongozi wa muda, mimi nilifahamishwa kwa e-mail na kwa simu na Mwenyekiti wa Muda na Katibu wa muda, na ninajua kwamba wananchi wengi walifahamishwa kwa hiyo hilo halipo tena mkuu, isipokuwa tunaangalia mbele sasa hivi, hatuna muda wa kurudi nyuma, pole sana mkuu.


Muhimu nililosisitiza awali ni kuwa msitufiche juu ya ukaribu wenu na JK hasa tunapowaeleza hivyo, maana tumeshaona matawi mengi ya CCM-Mtandao yakifunguliwa ughaibuni. NY hatuhitaji chama cha kutekeleza matakwa ya ubalozi/JK, bali tunahitaji chama cha kuwaeleza ubalozi/JK matakwa yetu.

- NY hatuhitaji chama kisicho tambulika na serikali, yaani zote mbili kwanza ya US ndio maana kimesajiliwa, na pili Tanzania yaani mama yetu, yoyote kama wewe asiyetaka uhusiano mwema na balozi zetu NY na DC, basi unaweza kujiepusha na hiki chama, hatupendi kuanzisha chama chenye uhasama na chuki na ubalozi zetu, na wala hatuna mpango wowote wa kuamuliwa na mtu mmoja what to do, mkuu ningekushauri ukajiepusha na hili chama maana wananchi wanaokihitaji ni wengi sana kuliko wewe mtu mmoja.

- JK ni rais wa jamhuri na sisi ni wananchi wa jamhuri anayoiongoza, sasa tunaanzishaje chama chenye uhasama naye it does not make a sense, Ubalozi sisi wananchi wote tunatakiwa kujiandisha huko tunapofika tu nje sasa tunaanzishaje chama cha uhasama na ubalozi wetu wenyewe haya ni mawazo ya ajabu sana mkuu, mbona unaonekana kama umesoma mkuu kutokana na maandishi yako makubwa sana, sasa kweli unaweza kutushauri kuanzisha chama cha uhasama na Rais wetu na ofisi zetu za ubalozi, samahani sana mkuu haya mawazo hatuyahitaji kwenye hiki chama, tunataka kuwaunganisha wananchi wote wa NY sio kuanzisha uhasama na na anybody.

- Naona sasa ni wakati wa kusonga mbele na mengine, sitayajibu tena haya ushauri wa uhasama kwa chama kipya kwa ubalozi na Rais wetu wa jamhuri.

Ahsante Sana mkuu.


William (CO)
 
  1. Kwani ni lazima balozi atoe baraka za kuanzisha chama cha kijamii nchi ya ugenini? Mbona ukiritimba unaanza kabla hata chama hakijaanza?
  2. Kama ni hivyo ina maana serikali ya JK/CCM n.k. itakuwa na influence kwenye chama?
Ingekuwa vema wale wote wenye kufanya kazi ubalozini na ndugu zao wasiwe viongozi kwenye chama ili kuondoa uwezekano wa serikali kukiingilia.


- I have no apologies kwa kuwafahamu viongozi na wanachi, nia na madhumuni yangu ni kuona chama kinasimama kuwasaidia wananchi

- Wananchi wote walifahamishwa kuhusu mkutano huu uliofanyika Harlem

- NY hatuhitaji chama kisicho tambulika na serikali, yaani zote mbili kwanza ya US ndio maana kimesajiliwa, na pili Tanzania .

- JK ni rais wa jamhuri na sisi ni wananchi wa jamhuri anayoiongoza, sasa tunaanzishaje chama chenye uhasama naye it does not make a sense, .

Ahsante Sana mkuu.

William (CO)



Malecela,
You completely missed my point. Read again my postings (one added above). There was nothing against you personaly untill when you and FMEs demanded that I put down some names of individuals with close relations with the embassy's staff.

Kwa wewe kujuana na akina JK na kuwa na spouse ubalozini, sidhani kama ni kitu cha kushangaza hasa ukitilia maanani kuwa mwenzetu umebahatika kubeba jina bora la familia (Malecela). Hiki ni kitu ambacho hakuna anayeweza kukuondolea and you have all the right to be proud of and use it effectively.

Lakini unapokuja na kutueleza kuwa wewe ndio kiongozi mwanzilishi wa jumuiya tena kwa mazingira ya utata, nafikiri Mtanzania yeyote mwenye akili timamu na aliyeona jinsi mtandao wa JK ulivyojipanga TZ na abroad na kuiharibu nchi, lazima apandwe na jazba na munkari na kutaka kujua vipi kunani kwenye jumuiya ya NY?

Hakuna aliyesema kuwa chama kisiwe na mahusiano na ubalozi au na serikali ya TZ maana hili haliwezekani. Wala sidhani kama kuna aliyesema kuwa chama kiwe na nongwa na JK.

Bali, sidhani kama ni dhambi kujaribu kuondoa mapema miingiliano ya kimaslahi kwenye uongozi wa chama ili kuhakikisha kuwa chama kinawatumikia WaTZ na sio serikali/ubalozi.

Kwani kuna ubaya gani kwa watumishi wa ubalozini na familia zao wakawa wanachama wa kawaida tu na sio viongozi ili kuondoa uwezekano wa kuozesha masilahi ya chama na ya mwajiri wao?
 
Malecela,
You completely missed my point. Read again my postings (one added above). There was nothing against you personaly untill when you and FMEs demanded that I put down some names of individuals with close relations with the embassy's staff.

- Kwanza samahani sana nitakuita mkuu kwa sababu nina mwiko wa kutotumia majina ya bandia, unless member ninayejadili naye anatumia jina kamli kama mimi, yaani members kama Mkandara, Dr. Kitila wao huwa ninawaita kwa majina yao kamlili. Na pia viongozi wenzangu wameniomba nikujibu zaidi kwa sababu tunachotafuta hapa ni ushauri na mawaidha kwa hiyo nitakujibu.

- Ni kweli umetaja majina na kazi, lakini umeshindwa kuonyesha my crime ambayo inatakiwa kunifanya nisiwe member wa hiki chama kama unavyoshauri, au kiongozi. Kwa hiyo ninazichukulia hizi "accusations" zako kama changamoto ya kuzidisha efforts ya kukisimamisha chama, bila ya kumbagua yoyote yule, awe na mke anayefanya kazi serikalini, au awe na mke asiyefanya kazi kabisa, ninasema wote ni sawa mbele ya hiki chama na tunawakaribisha wote, isije ikatokea kuna mwananchi mwenye mke anyefanya kazi ubalozi hata wa nchi nyingine za Africa akaogopa kwamba tuna mpango wa kuwatenga katika hiki chama hapana wote wananchi tunaoishi New York, wa-Tanzania tuna haki sio tu ya kuwa wananchama wa hiki chama bali hata kugombea uongozi wa kudumu wakati utakapofika.

- Kwa hiyo mkuu huu ushauri wako wa kutaka tuwatenge wananchi wenye urafiki na viongozi, au wenye ndugu wanaofanya kazi kwenye serikali yetu, kwangu una-sound kuwa ni ubaguzi na sio nia na madhumuni ya hii jumuiya mpya. Wananchi wa NY wame-suffer kwa miaka 47 toka tupate uhuru, sasa leo haiwezekani tukanzisha chama cha kuwabagua eti kwa sababu wanafanya kazi kwenye serikali au anything else of that nature, ninasema hapana kwa huu ushauri wa kibaguzi.


Ahsante.

William.(CO).
 
Kwa wewe kujuana na akina JK na kuwa na spouse ubalozini, sidhani kama ni kitu cha kushangaza hasa ukitilia maanani kuwa mwenzetu umebahatika kubeba jina bora la familia (Malecela). Hiki ni kitu ambacho hakuna anayeweza kukuondolea and you have all the right to be proud of and use it effectively.

- Again, ninaomba kusema kwamba katika hiki chama, hatutambui members kwa ubora au ubovu wa familia walizotoka, sijui kama New York tuna wananchi ambao wametoka familia bora na wengine wakatoka familia mbovu, I find this to be very insulting na ni simply lugha ya kibaguzi, unajua sasa ninaanza kuelewa ni kwa nini vyama vingine huko nyuma vimeshindwa kusimama, inaonekana kuna ka-element ka - ubaguzi ubaguzi hivi, huu nao Mkuu utanisamehe sana kwamba kama ule ushauri wako wa kwanza sitaufikisha kwenye chama kwa sababu una harufu ya kibaguzi, tofauti kabisa na msimamo wa hiki chama kipya, hatujali rangi, elimu, familia, jina wala kazi ya mwananchi wote wanaruhusiwa kushiriki maana ni Jumuiya yao.

Ahsante


William. (CO).
 
Lakini unapokuja na kutueleza kuwa wewe ndio kiongozi mwanzilishi wa jumuiya tena kwa mazingira ya utata,


- Mkuu hiki chama kimeanzishwa na wengine, yaani msingi wake uliwekwa na wengine ambao baadaye walinifahamisha kama na wewe ulivyofahamishwa, mimi kama members wengine wote niliitwa kwenye mkutano ambapo ulifanyika Harlem, siku ya Jumamosi wiki ya mwisho ya February last month, katika ule mkutano nikaombwa na wananchi waliohudhuria kushiriki katika uongozi wa muda wa hiki chama kwa hiyo again naomba uondokane na haya mawazo ambayo ni uzushi na hayawezi kutusaidia hiki chama kusonga mbele, unaonekana unazo potentials tena kubwa sana kukichangia hiki chama ushauri wa maaana kuliko huu uzushi uzushi na ubaguzi baguzi.

nafikiri Mtanzania yeyote mwenye akili timamu na aliyeona jinsi mtandao wa JK ulivyojipanga TZ na abroad na kuiharibu nchi, lazima apandwe na jazba na munkari na kutaka kujua vipi kunani kwenye jumuiya ya NY?

- M-Tanzania yoyote mwenye akili timamu anatakiwa kupandwaa na jazba na munkari, kusikia kwamba kuna chama cha wananchi kinaanzishwa lakini hakitaki members wenye ndugu serikalini, wala marafiki ambao ni viongozi wa taifa, na kwamba hakitaki members wanaotoka kwenye familia bora, ni lazima wawe wanatoka kwenye familia mbovu. Bado ninatatizwa sana na hizi kauli zako Mkuu. Hayo mengine ya mtandao sisi hiki chama hayatuhusu kabisaa naomba nikuachie mwenyewe.

Hakuna aliyesema kuwa chama kisiwe na mahusiano na ubalozi au na serikali ya TZ maana hili haliwezekani. Wala sidhani kama kuna aliyesema kuwa chama kiwe na nongwa na JK.

Bali, sidhani kama ni dhambi kujaribu kuondoa mapema miingiliano ya kimaslahi kwenye uongozi wa chama ili kuhakikisha kuwa chama kinawatumikia WaTZ na sio serikali/ubalozi.

- So far dhambi niliyoiona ni ushauri wa kibaguzi na name calling bila substance wala facts, hakuna maingiliano yoyote ya kimasilahi kati ya serikali na wananchi wake wanaoishi nje ya chi, infact ni mawazo finyu sana haya hata kuyasema in the public, licha ya kuyatoa kama ushauri wa kukiimarisha chama kipya cha wananchi walioko nje ya nchi, sijui wewe mkuu sisi wengine hatuna uadui na serikali yetu, wala wafnaya kazi wa serikali yetu, au hata ofisi zetu za ubalozi huku nje hatuna uadui nazo, ndio maana ninasema kwamba huu ushauri hatuutaki na wala hatutausikiliza kabisa, maana ni nothing but ubaguzi.

Kwani kuna ubaya gani kwa watumishi wa ubalozini na familia zao wakawa wanachama wa kawaida tu na sio viongozi ili kuondoa uwezekano wa kuozesha masilahi ya chama na ya mwajiri wao?
[/QUOTE]

- Mkuu umejitahidi sana kuonyesha kwamba ni dhambi kwa mwananchi kuwa mwanachama wa hiki chama huku akiwa mfanyakazi wa serikali au hata mwenye ndugu huko, lakini in the end ni nothing but ubaguzi tu, ambao hiki chama hakina nafasi nao kabisaa. Ninaomba nikuhakikishei kwamba katika huu ushauri wako hakuna hata moja tutakalolichukua, na ninakutakia siku njema sana mkuu.

Ahsante.


William. (CO).
 
Mkuu, nimekuwa nikisoma post zenu kwa umakini na kiundani, lakini bado sijona mambo yafuatayo:

The purposes of formation of the corporation and/or organization.

The lawful provisions, if any, for the conduct and regulation of the business/organization and affairs of the Corporation, for its voluntary dissolution, or for limiting, defining, or regulating the powers of the Corporation, or of its directors or members, or of any class of members.

Any powers limitation? Why? Is it possible for a person to be disqualified from holding any office by reason on any interest?

This corporation is formed under what section? Namaanisha is it a charitable, scientific, etc, what does the Articles of Organization says?

Who has power to amend the articles of organization? Is it by vote? Kwa pasenti ngapi? Memba wa aina gani wana haki ya ku-vote?

Je, kutakuwa na prescribed dues? If yes, how did you guys come to that number/amount? If, no, why?

What are the objectives of the corporation/organization?

Je, hii organization itakuwa na Executive Committee? Ya watu wangapi?

What will be the duties of the executive committee?

With what approval of the Council, the individual members may have to establish chapters for the furtherance of the objectives of the Society/Organization? Is there such a clause kwenye Article ya Org?

Tuanze na hayo mkuu William M. CO
 
Mkuu, nimekuwa nikisoma post zenu kwa umakini na kiundani, lakini bado sijona mambo yafuatayo:

The purposes of formation of the corporation and/or organization.

The lawful provisions, if any, for the conduct and regulation of the business/organization and affairs of the Corporation, for its voluntary dissolution, or for limiting, defining, or regulating the powers of the Corporation, or of its directors or members, or of any class of members.

Any powers limitation? Why? Is it possible for a person to be disqualified from holding any office by reason on any interest?

This corporation is formed under what section? Namaanisha is it a charitable, scientific, etc, what does the Articles of Organization says?

Who has power to amend the articles of organization? Is it by vote? Kwa pasenti ngapi? Memba wa aina gani wana haki ya ku-vote?

Je, kutakuwa na prescribed dues? If yes, how did you guys come to that number/amount? If, no, why?

What are the objectives of the corporation/organization?

Je, hii organization itakuwa na Executive Committee? Ya watu wangapi?

What will be the duties of the executive committee?

With what approval of the Council, the individual members may have to establish chapters for the furtherance of the objectives of the Society/Organization? Is there such a clause kwenye Article ya Org?

Tuanze na hayo mkuu William M. CO

- Mkuu wangu Max, heshima sana kwa huu ushauri wako mzito sana ni kwamba ninaomba muda kidogo nizipitie nukuu zote nilizonazo, kuna zenye majibu ya baadhi ya maswali yako na mengine najua for a fact kwamba hatuna ndio maana tumekuja hapa kujitambulisha na kuomba ushauri, ndio maana nilisema huko nyuma watu wenye experience za u-CEO kama wako, tunawahitaji sana katika hiki chama hasa katika kuweka msingi na muongozo wa hiki chama kipya, sasa tuongozane ndugu yangu Max.

Ahsante.


William.
 
- Wakuu samahani sana nimezidiwa na shuguli, lakini nimefikisha mawazo yote yaliyotolewa hapa kwa Mwenyekiti wa Muda, ambaye leo nilikuwa naye Airport akiondoka kuelekea nyumbani, nitakapopata nafasi nitayajibu maswali yote bila kukosa hata moja, isipokuwa kwa leo nitagusa hoja moja tu ambayo naona imesemwa sana ya baraka za kiongozi wa serikali yetu ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania hapa New York, yaani Balozi wetu wa kudumu kwenye umoja wa Mataifa:-

- Kwanza tumesikia kuhusu kutafuta baraka pia za Balozi wetu DC, ila kwa sasa ilionekana na Mwenyekiti wa muda kwamba ni vyema kupata baraka za kiongozi wa juu sana hapa wa taifa hapa mjini, ingekwua kijijini tungetafuta baraka za wazee wa kijiji au Mwenyekiti wa kijiji, lakini kwa vile tuko ugenini basi baraka za kiongozi wa juu wa jamiii zilikuwa ni muhimu, kabla ya kuanza kutafuta baraka za wazee na watu wengine muhimu katika hii jamii, ikiwa ni pamoja na kupata nasaha zao kuhusu namna ya kuanzisha chama cha jumuiya ya wananchi.

- Isipokuwa la kumjulisha Balozi wetu DC, tumelisikia tena kwa moyo mkunjufu sana tena kwa unyenyekevu mkubwa sana, inafurahisha sana kuona mawazo yenu wananchi mkitushauti namna ya kusonga mbele, badala ya mawazo ya kurudi nyuma, ambayo kwa kweli hatutayajibu kabisaa maana tunataka kusonga mbele.

Tukipata nafasi tena tutaendelea na tulipoachia leo.

Ahsanteni na Usiku Mwema.


William Malecela: (Community Organizer).DI&R.

William,

Naona umeanza mbio za Obama kwa kuwa community organizer kwi kwi kwi kwiiii!!..... big up kwa sana!
 
Ninaomba nikuhakikishei kwamba katika huu ushauri wako hakuna hata moja tutakalolichukua......

Ahsante.

William. (CO).
Mkuu Malecela,
Nashukuru kwa majibu yako mazuri. Lakini naona hatutafika popote na hili maana hatujadili tena hoja bali sasa inaonekana kama na wewe binafsi umekuwa ni hoja.

Nia yangu ilikuwa kujadili conflicting interests kama watu wa ubalozini watakuwa ndio viongozi wa jumuiya ya WaTanzania, especialy when we take into consideration of our current nepotic and sycophantic political environment.

But because we seem not able to have a discussion, then may be we can just wish well our new association. I believe we can always come back to this topic in the future if I somewhat become prophetic. Chiao.
 
Mkuu Malecela,
Nashukuru kwa majibu yako mazuri. Lakini naona hatutafika popote na hili maana hatujadili tena hoja bali sasa inaonekana kama na wewe binafsi umekuwa ni hoja.

- Kilichonileta katika hii thread ni kukitangaza chama kipya na kutafuta mawazo ya kukiiimarisha chama, ni wewe uliyeamua kunifanya niwe hoja kitu ambacho nilikutahadharisha mapema sana kwamba nisiwe kiwe chama, lakini hukutaka ndio maana nikakujibu kwa level uliyoitaka mwenyewe, ila sasa kama unaona imetosha ninashukuru sana ili tuendelee na ishus zingine za hiki chama.

Nia yangu ilikuwa kujadili conflicting interests kama watu wa ubalozini watakuwa ndio viongozi wa jumuiya ya WaTanzania, especialy when we take into consideration of our current nepotic and sycophantic political environment.

- Conflict of interest ni neno zito sana ambalo one anahitaji kuwa na evidence beyond any reosanable doubt kuonyesha kwamba ana a case, na ni lazima ukubali kwamba kwa hilo umeshindwa, maana kuanzia viongozi wa muda na members waliojitokeza kuwachagua hakuna mfanyakazi wa ubalozi. Mimi katika ushauri wako nimeona ubaguzi badala ya unachokisema sasa, kama hakuna Conflict of interest kati ya James Carville na mkewe, itakwaje kwenye hiki chama, mkuu mbona unazidi kunishangaza na haya mawazo yako, eti unasema yote uliyoyasema kule juu ni Conflict of interest?


But because we seem not able to have a discussion, then may be we can just wish well our new association. I believe we can always come back to this topic in the future if I somewhat become prophetic. Chiao.

- Ilitakiwa kuwa discussion, lakini ukaigeuza kua a Jerry Springer's like act, lakini kama sasa umekubali kwamba ulikuwa nje ya mstari ninashkuru sana na soon nitaleta mengine zaidi ya kuhusu chama kipya, ahsante sana mkuu na it was nice having a debate with you na karibu sana ujiunge na chama na ikibidi ugombee uongozi wa kudumu itakapofika time.

Ahsante.


William. (CO)
 
Hili tangazo la William Malecela na reactions kutoka kwa wasomaji wake, vimenifanya nipeleleze kidogo ili kubaini kulikoni huko New York.

Nimebahatika kuchimba na kuyapata ya New York. Endapo ni ya uzushi tu, basi yatupilieni mbali. Lakini kama yana bifu yeyote kuhusu NY (na, pengine, kwenye jumuia nyingine za wa-Tanzania ughaibuni), inafaa sana kujizatiti katika kukabiliana na virusi vya mgawanyiko wa u-siasa, u-kabila na u-dini ili kuweza kujenga jumuia hizo kuwa chimbuko la utamaduni wa m-Tanzania, ughaibuni; kuliko kumeremeta ki-vyama vya siasa, kiu-kabila na/au ki-u-dini.

Enzi za Balozi wetu (wa Kudumu kwenye Umoja wa Mataifa) mmoja kulikuwepo na tetesi kuwa Mwalimu Nyerere alifikiria kuteua ma-Balozi waliokuwa wanachama tu wa CCM. Huo ulikuwa ni wakati wa ”Chama Kushika Hatamu” (Vanguard Party).

Walikuwepo wa-Tanzania waliokuwa wakifanya kazi kwenye Sekretariati ya Umoja wa Mataifa waliokuwa wanategemewa kwamba huenda Mwalimu Nyerere angewakumbuka na kuwazawadi na wadhifa wa kuwa ma-Balozi.

Baadhi ya wa-Tanzania hao walikuwa ni wazee: Dixon Nkembo na Asanterabi Nsilo Swai. Lakini wengine walikuwa bado vijana-jana: Remi Michael Tiruhungwa, Bernard E. Muganda, Leo Msuya, Joseph Kotta, C.S.M. Mselle, Ismat Steiner na Fortunatus Lwanyatika Masha. Kuna tetesi kuwa baadhi yao walitafuta nafasi ya kuteuliwa kuwa ma-Balozi.

Hii haina maana kuwa kila mmoja wa hao wa-Tanzania alikuwa akiota kuwa Balozi siku moja; la hasha! Kwani wengine walikuwa wameishatengwa na TANU/CCM.

Waliofikiria kuwa huenda Mwalimu Nyerere angewakumbuka, walikimbia kimbia kuanzisha Tawi la CCM hapo New York kupitia Ofisi ya u-Balozi!

Na kweli Tawi hilo lilifunguliwa. Mwenyekiti wake alikuwa ni Mzee Dixon Nkembo. Mlezi wa tawi alikuwa ni Balozi. Lakini waliokuwa mbele kuanzisha Tawi hilo walisubiri bila Mwalimu Nyerere kuwakumbuka kuwa ma-Balozi. Njozi ya Tawi la CCM ikaishiwa mafuta; likafa!

Kundi lingine la wa-Tanzania wa NY lilikuwa ni la graduate wanafunzi wakisoma hapo New York University na Columbia University, ambao hawakupenda sana kuwa wanachama kwani walikuwa huko NY kwa muda tu. Uanachama wao ulibakia hapa hapa Tanzania.

Baadaye, likaja wimbi la “vijana”: Watoto wa ma-Balozi na watoto wa ”vigogo na wakubwa” kutoka Bongoland na kutua sehemu za Mt. Vernon. Wengine waliahama Tanzania kabisa na kumwacha baba yao huko Tanzania na kuanzisha nyumba yao mpya hapo Mt. Vernon – ingawa baba yao huwa anakuja kuwatembelea.

Watoto wa ma-Balozi (waliobaki huko Amerika wakati wazazi wanamaliza muda wao na kurudi nyumbani au wengine kubadili kazi na kujiunga na Sekretariati ya Umoja wa Mataifa) na wa ”vigogo na wakubwa” kutoka Bongoland walipenda kujumuka kwa kufanya parties zaidi kuliko kufikiria kuunda Umoja wa Jumuiya ya wa-Tanzania.

Kutokana na kundi hili kukutana kutana kwa ajili ya parties, walijitokeza vijana wengine wenye kutaka kuunda Umoja wa Jumuiya ya wa-Tanzania wa kudumu. Kwahiyo, kila mara walipokutana, suala la kutaka kuunda “Chama cha wa-Tanzania” huwa linaibuka na kutongoza akili zao.

Wa-Tanzania wengine huwa wanajiweka mbele mbele kutekeleza lengo hili la kuunda “Chama cha wa-Tanzania” kutokana na kuwa karibu karibu na Balozi, kupitia tabia ya ki-mtandao ya u-dini au u-kabila na/au vyote viwili.

Ya NY yanasisimua kweli! Balozi akiwa m-Islamu, wa-Islamu wengi wanajitokeza kutoka kila mahali NYC na vitongoji vyake. Hii ilikuwa wazi sana wakati wa enzi za ma-Balozi wa-Islamu. Kuna wakati mmoja nyumba ya Balozi ilikuwa kama Msikiti siku ya Ijumaa.

Wenye kujua hayo majambo wanaeleza kuwa kulikuwepo na wakati m-tanzania mmoja (nasikia kuwa sasa ni Alhaj) na kijana mwingine wa kutoka sehemu za Boston (nasikia ana cheo cha Maalim) walijifanya kama kiungo cha wa-Tanzania hapo NY, ikiwa ni pamoja na William Malecela kuwa, pia, mbele, kama “Community Organiser” wa wa-Tanzania.

Habari hizo zinaelezea kuwa huyo wa Boston bado anavinjari vinjari NY kwa sababu ma-Balozi wawili waliofuatana wanatoka sehemu za kwao. Sijui kama NY ikipata Balozi mpya asiyetoka sehemu za kwao, huyo Boston ataendelea kufunga safari za kila mara kwenda NY!

Lakini ya NY yana harufu mbaya ya ubaguzi baguzi. Balozi akiwa m-Kristu, hivyo hivyo tena. Kuna Balozi m-Kristo mmoja, ambaye alipata kusoma huko huko New York aliunda mtandao wake na ma-rafiki walioselea na kuishi NY miaka mingi.

Wakati wa enzi za Balozi niliyemtaja paragrafu ya tatu mtandao wake ulivuka mipaka hadi Uingereza, ambako kulikuwa na kundi kubwa la wa-Arabu waliokimbia Zanzibar.

Kuna habari za kuaminika zenye kueleza kuwa baadhi ya wa-Arabu hao wa Uingereza walikuwa wakitumia Ofisi ya u-Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa katika kupata pasi mpya au kubadilisha zile zilizoishia muda wake. Badala ya kutumia Ofisi ya u-balozi wetu mjini London, walipendelea kupeleka pasi zao mjini New York!

Zaidi, kuna pia habari kuwa kulikuwa na binti wa ki-Sukuma aliyepata mchumba mzungu, m-Diplomasia wa Australia. Binti huyo alikuwa akiishi kwa muda nyumbani kwa m-Pemba wa kutokea sehemu za Mwanza, rafiki wa Balozi huyo hapo Kurasini karibu na Bendera Tatu. Mchumba wake huyo alikuwa ahamishiwe huko Papua New Guinea. Huyo binti alitafuta pasi ya Tanzania bila kufanikiwa. Lakini alifanikiwa kupata pasi kutoka kwa Balozi huyo huyo iliyoandikwa huko New York!

Balozi huyo alipalilia sana mahali pa uzawa, ikiwa ni pamoja na kupendelea wa-Arabu wa Tanzania waliokimbilia huko Ulaya. Kwani kuna ukweli kuwa hao wa-Arabu wengine walikuwa hawabadilishi pasi zao huko waliko. Pasi zao zilikuwa zililetwa New York na kubadilishwa ikiwa ni pamoja na mpya kutolewa!

Wengi sana walimpenda Balozi huyo. Na wakati wa hafla walijazana hapo nyumbani 30 Overhill Road, MT. Vernon, NY 10552. Mtindo huo wa kuwaalika wa-Tanzania hapo nyumbani aliuendeleza Balozi m-Kristo, niliyemtaja hapo awali.

Kuna habari za kusisimua kwamba wakati wa enzi za balozi huyo wa-tanzania walicheza dansi hapo nyumbani wakikanyaga hayo mazulia na kukalia hivyo viti mpaka vikachoka. Washiriki wengine walipata breakfast hapo kuliko pengine kuendesha magari yao kurudi majumbani kwao na huku wamelewa chakari! That was a good idea!

Halafu alikuja Balozi m-Islamu mwingine. Hakuna aliyekanyaga hapo nyumbani. Balozi huyo alifuatiwa na ma-Balozi wengine wawili waliokuwa wa-Kristo, ambao walifungua mlango wa nyumba hiyo nyumba tena kwa wa-Tanzania, kupitia kwa vijana wao kujumuka na vijana wenzao kwa parties kwenye basement yake tu. Na wakati mwingine kukita hema hapo kwenye uwanja wa nyumba hiyo ya Balozi.

Sasa Melecela amejibatiza jina la Community Organiser ili kujionyesha kwa Balozi kuwa yeye (William) ni kiungo muhimu cha wa-Tanzania wa NY and its environs! Kuna sababu yake. Kuna sababu yake.

Kwa muda mrefu, hakuna hata m-Tanzania ambaye aliwahi kupewa kazi kama local employee, isipokuwa wafuatao:

Kuna kisa cha mama mmoja aliyekuwa Sekeretari wa Balozi kuenguliwa na
nafasi yake kuchukuliwa na mama m-Jamaika aliyehamishwa kutoka Ofisi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamaika Norman Manley na kuletwa hapo New York.

Hata hivyo, inashangaa kwa nini u-Balozi hautaki kumwajiri Sekeretari m-Tanzania (mzalendo) kwenye nafasi nyeti ya Sekeretari wa Balozi.

Wa-Tanzania wengine wa kundi la local employee ni mke wa Afisa wa u-balozi wa zamani ambaye sasa ameajiriwa na Sekretariati ya UN) na Khamis Sued (Khamis Kageshaki), ambaye kaka yake Sued alikuwa ni Afisa wa u-Balozi hapo New York na hapo baadaye Balozi.

Mwisho, ni mke wa William Malecela. kulingana na mtririko wa habari nilizopata, inaonekana, pengine, William anapalilia unga wake anaposema kuwa umoja-tegemewa wa wa-Tanzania Metropolitan NY umepata blessings za Balozi!

Hayo ya William Malecela ya kujiweka mbelembele (CO - Community Organizer) na msemaji wa wa-Tanzania) kupitia Ofisi ya u-Balozi wa Tanzania kwenye UM (Umoja wa Mataifa), sio mapya. Ana sababu ya kupalilia unga wa kazi kwa mke wake.

Na kama Balozi akitaka kuwaalika wa-Tanzania atatumia ma-Afisa wake, sio William Malecela.

Kwa nini William Malecela anawafanyia ma-Afisa wau-Balozi wajibu wao? Soma tangazo lifuatalo:

“Tangazo: Bash la Balozi NYC Haya Tukutane Wakuu! W. J. Malecela 11th August 2009, 03:10 AM: Wakulu wote JF, na wananchi wenzangu wote mnaoishi US na hata nje, na hasa New York City na vitongoji vyake...”

Ninaomba kuwekwa sawa, endapo habari hii niliyopata si ya kweli!
 
Hili tangazo la William Malecela na reactions kutoka kwa wasomaji wake, vimenifanya nipeleleze kidogo ili kubaini kulikoni huko New York.

Nimebahatika kuchimba na kuyapata ya New York. Endapo ni ya uzushi tu, basi yatupilieni mbali. Lakini kama yana bifu yeyote kuhusu NY (na, pengine, kwenye jumuia nyingine za wa-Tanzania ughaibuni), inafaa sana kujizatiti katika kukabiliana na virusi vya mgawanyiko wa u-siasa, u-kabila na u-dini ili kuweza kujenga jumuia hizo kuwa chimbuko la utamaduni wa m-Tanzania, ughaibuni; kuliko kumeremeta ki-vyama vya siasa, kiu-kabila na/au ki-u-dini.

Enzi za Balozi wetu (wa Kudumu kwenye Umoja wa Mataifa) mmoja kulikuwepo na tetesi kuwa Mwalimu Nyerere alifikiria kuteua ma-Balozi waliokuwa wanachama tu wa CCM. Huo ulikuwa ni wakati wa ”Chama Kushika Hatamu” (Vanguard Party).

Walikuwepo wa-Tanzania waliokuwa wakifanya kazi kwenye Sekretariati ya Umoja wa Mataifa waliokuwa wanategemewa kwamba huenda Mwalimu Nyerere angewakumbuka na kuwazawadi na wadhifa wa kuwa ma-Balozi.

Baadhi ya wa-Tanzania hao walikuwa ni wazee: Dixon Nkembo na Asanterabi Nsilo Swai. Lakini wengine walikuwa bado vijana-jana: Remi Michael Tiruhungwa, Bernard E. Muganda, Leo Msuya, Joseph Kotta, C.S.M. Mselle, Ismat Steiner na Fortunatus Lwanyatika Masha. Kuna tetesi kuwa baadhi yao walitafuta nafasi ya kuteuliwa kuwa ma-Balozi.

Hii haina maana kuwa kila mmoja wa hao wa-Tanzania alikuwa akiota kuwa Balozi siku moja; la hasha! Kwani wengine walikuwa wameishatengwa na TANU/CCM.

Waliofikiria kuwa huenda Mwalimu Nyerere angewakumbuka, walikimbia kimbia kuanzisha Tawi la CCM hapo New York kupitia Ofisi ya u-Balozi!

Na kweli Tawi hilo lilifunguliwa. Mwenyekiti wake alikuwa ni Mzee Dixon Nkembo. Mlezi wa tawi alikuwa ni Balozi. Lakini waliokuwa mbele kuanzisha Tawi hilo walisubiri bila Mwalimu Nyerere kuwakumbuka kuwa ma-Balozi. Njozi ya Tawi la CCM ikaishiwa mafuta; likafa!

Kundi lingine la wa-Tanzania wa NY lilikuwa ni la graduate wanafunzi wakisoma hapo New York University na Columbia University, ambao hawakupenda sana kuwa wanachama kwani walikuwa huko NY kwa muda tu. Uanachama wao ulibakia hapa hapa Tanzania.

Baadaye, likaja wimbi la “vijana”: Watoto wa ma-Balozi na watoto wa ”vigogo na wakubwa” kutoka Bongoland na kutua sehemu za Mt. Vernon. Wengine waliahama Tanzania kabisa na kumwacha baba yao huko Tanzania na kuanzisha nyumba yao mpya hapo Mt. Vernon – ingawa baba yao huwa anakuja kuwatembelea.

Watoto wa ma-Balozi (waliobaki huko Amerika wakati wazazi wanamaliza muda wao na kurudi nyumbani au wengine kubadili kazi na kujiunga na Sekretariati ya Umoja wa Mataifa) na wa ”vigogo na wakubwa” kutoka Bongoland walipenda kujumuka kwa kufanya parties zaidi kuliko kufikiria kuunda Umoja wa Jumuiya ya wa-Tanzania.

Kutokana na kundi hili kukutana kutana kwa ajili ya parties, walijitokeza vijana wengine wenye kutaka kuunda Umoja wa Jumuiya ya wa-Tanzania wa kudumu. Kwahiyo, kila mara walipokutana, suala la kutaka kuunda “Chama cha wa-Tanzania” huwa linaibuka na kutongoza akili zao.

Wa-Tanzania wengine huwa wanajiweka mbele mbele kutekeleza lengo hili la kuunda “Chama cha wa-Tanzania” kutokana na kuwa karibu karibu na Balozi, kupitia tabia ya ki-mtandao ya u-dini au u-kabila na/au vyote viwili.

Ya NY yanasisimua kweli! Balozi akiwa m-Islamu, wa-Islamu wengi wanajitokeza kutoka kila mahali NYC na vitongoji vyake. Hii ilikuwa wazi sana wakati wa enzi za ma-Balozi wa-Islamu. Kuna wakati mmoja nyumba ya Balozi ilikuwa kama Msikiti siku ya Ijumaa.

Wenye kujua hayo majambo wanaeleza kuwa kulikuwepo na wakati m-tanzania mmoja (nasikia kuwa sasa ni Alhaj) na kijana mwingine wa kutoka sehemu za Boston (nasikia ana cheo cha Maalim) walijifanya kama kiungo cha wa-Tanzania hapo NY, ikiwa ni pamoja na William Malecela kuwa, pia, mbele, kama “Community Organiser” wa wa-Tanzania.

Habari hizo zinaelezea kuwa huyo wa Boston bado anavinjari vinjari NY kwa sababu ma-Balozi wawili waliofuatana wanatoka sehemu za kwao. Sijui kama NY ikipata Balozi mpya asiyetoka sehemu za kwao, huyo Boston ataendelea kufunga safari za kila mara kwenda NY!

Lakini ya NY yana harufu mbaya ya ubaguzi baguzi. Balozi akiwa m-Kristu, hivyo hivyo tena. Kuna Balozi m-Kristo mmoja, ambaye alipata kusoma huko huko New York aliunda mtandao wake na ma-rafiki walioselea na kuishi NY miaka mingi.

Wakati wa enzi za Balozi niliyemtaja paragrafu ya tatu mtandao wake ulivuka mipaka hadi Uingereza, ambako kulikuwa na kundi kubwa la wa-Arabu waliokimbia Zanzibar.

Kuna habari za kuaminika zenye kueleza kuwa baadhi ya wa-Arabu hao wa Uingereza walikuwa wakitumia Ofisi ya u-Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa katika kupata pasi mpya au kubadilisha zile zilizoishia muda wake. Badala ya kutumia Ofisi ya u-balozi wetu mjini London, walipendelea kupeleka pasi zao mjini New York!

Zaidi, kuna pia habari kuwa kulikuwa na binti wa ki-Sukuma aliyepata mchumba mzungu, m-Diplomasia wa Australia. Binti huyo alikuwa akiishi kwa muda nyumbani kwa m-Pemba wa kutokea sehemu za Mwanza, rafiki wa Balozi huyo hapo Kurasini karibu na Bendera Tatu. Mchumba wake huyo alikuwa ahamishiwe huko Papua New Guinea. Huyo binti alitafuta pasi ya Tanzania bila kufanikiwa. Lakini alifanikiwa kupata pasi kutoka kwa Balozi huyo huyo iliyoandikwa huko New York!

Balozi huyo alipalilia sana mahali pa uzawa, ikiwa ni pamoja na kupendelea wa-Arabu wa Tanzania waliokimbilia huko Ulaya. Kwani kuna ukweli kuwa hao wa-Arabu wengine walikuwa hawabadilishi pasi zao huko waliko. Pasi zao zilikuwa zililetwa New York na kubadilishwa ikiwa ni pamoja na mpya kutolewa!

Wengi sana walimpenda Balozi huyo. Na wakati wa hafla walijazana hapo nyumbani 30 Overhill Road, MT. Vernon, NY 10552. Mtindo huo wa kuwaalika wa-Tanzania hapo nyumbani aliuendeleza Balozi m-Kristo, niliyemtaja hapo awali.

Kuna habari za kusisimua kwamba wakati wa enzi za balozi huyo wa-tanzania walicheza dansi hapo nyumbani wakikanyaga hayo mazulia na kukalia hivyo viti mpaka vikachoka. Washiriki wengine walipata breakfast hapo kuliko pengine kuendesha magari yao kurudi majumbani kwao na huku wamelewa chakari! That was a good idea!

Halafu alikuja Balozi m-Islamu mwingine. Hakuna aliyekanyaga hapo nyumbani. Balozi huyo alifuatiwa na ma-Balozi wengine wawili waliokuwa wa-Kristo, ambao walifungua mlango wa nyumba hiyo nyumba tena kwa wa-Tanzania, kupitia kwa vijana wao kujumuka na vijana wenzao kwa parties kwenye basement yake tu. Na wakati mwingine kukita hema hapo kwenye uwanja wa nyumba hiyo ya Balozi.




- Mkuu ahsante sana kwa historia ambayo mimi nilikuwa sijafika NY ingawa kuna kipande kidogo sana cha Balozi Marehemu chagula ninakiona na nilikuwepo NY.



Sasa Melecela amejibatiza jina la Community Organiser ili kujionyesha kwa Balozi kuwa yeye (William) ni kiungo muhimu cha wa-Tanzania wa NY and its environs! Kuna sababu yake. Kuna sababu yake.


- Mkuu haya ndio tunaita majungu, nimefika NY kwenye miaka ya 84 na 85 kikazi, na nikarudi tena mwaka 1987 kuishi, nilipofika hakukuwa na Social life nikaanza kupiga Disco kwenye Club yaani mziiki ya ki-Africa, na pole pole nikaanza kupiga Muziki kwenye party za wananchi, sikujibatiza jina kwa hizo sababu unazozisema huo ni uzushi tena wa mchana, nimejipa hilo jina kutokana na shuguli nyingi sana nilizowahi kushiriki NY either kama mjumbe wa kamati au kiongozi wa kamati, au sometimes on my own.

- Kwa mfano katika shughuli ya kumuaga Balozi Mwakawago alipokua anaondoka, nilishiriki kama mjumbe wa kamati nilichangisha hela zote zilizotakwia na kamati kwa ajili ya sherehe sherehe zilifanyika na zilifana sana infact tulialika karibu mabalozi 20 kutoka Africa walikuja pale New Rochelle,

- Wakati wote huu nilikuwa na tabia ya every Summer kukodisha ukumbi kwa hela zangu na kupigisha Disco kubwa sana la Waa-Africa na hasa Wa-Tanzania, nimeifanya hii shuguli kwa muda mrefu sana, bila ya ubalozi wala mke wangu kuwepo huko.

- Kabla sijaoa nyumba yangu ilikuwa ni nyumba ya wageni wote wasio na pa kwenda au pa kulala, nimewasaidia vijana wengi sana waliokwua wamekwama NY, sometimes hata wazee, haya niliyafanya bila ubalozi wala mkewangu kuwepo huko.

- Dada Pengo marehemu, toka anatoka Shule na kuja NY kwa ajili ya matibabu ya Cancer, nimemuhangaikia peke yangu na mke wangu bila msaada wa balozi wala ofisi, nimemtafutia nyumba, na mengine mengi ndipo baadaye wananchi wengi wakaanza kujitokeza kumsaidia including Balozi, lakini aliyeanza ni mimi bila msaada wa yoyote, alipokuwa Rochester ni mimi ndiye niliyeendesha gari langu maili karibu 300 kwenda kumfariji, alipofariki ni mimi pia niliyelala macho na hata kuufanyia msiba mzima nyumbani kwangu na ubalozi wakatusaidia sana katika kusafirisha mwili wa marehemu nyumbani,

- Last Summer mimi na vijana wengine tulishirikiana kufanyisha sherehe kubwa kule Park ambayo iliwaleta wananchi karibu 400 ubalozi haukuwemo wala mke wangu. Kabla Summer haijaisha Ubalozi ulinomba kushirkiana nao kufanya sherhe nzito pale nyumbani kwa Balozi kama kawaida wananchi karibu 300 walishikiriki.

- Majuzi nimeshiriki kwenye kamati kama mjumbe kwenye msiba wa Balozi Mwakawago, sasa hayo yote niliyoyasema hapo juu niliamua kujiita Community Organizer kwa sababu ndiyo hasa kazi aliyoifanya Obama kabla ya kuingia kwenye siasa za taifa, nimeanza hizi shuguli za Community toka nikiwa Shule ya Secondari ambako siku zote nikikuwa kinara wa Sherehe na safari za Picnic na nilikua ninapiga disco ziku zote kwa ajili ya wanafunzi, nilipoenda JKT kama kawaida nilikwua Oljoro nako nilikuwa kinara wa hizi shughuli za social, nilipoenda Vyuoni nilikuwa kama sasa yaani na hizi shughuli za social, nilipoenda Belgium kama akwaida wananchi niliosoma nao pale kina Mollel aliyekua Manager wa Ralways TRC, watakueleza kama kawaida nilikuwa ninaongoza hizi shuguli za sheerhe na kuwakutanisha wananchi.

- DSG alipohamia NY niliombwa tena na ubalozi kushirkiana nao kufanya sherehe ya kumkaribisha, niliiongoza ile kamati kama Mwenyekiti, wananchi wote waliohudhuria watanishahidia kwamba ilikuwa sherehe nzuri sana.

Sasa kwa haya machache naomba ksuema hivi hayo uliyoyasikia ni majungu na uzushi hayana ukweli wowote.




Mwisho, ni mke wa William Malecela. kulingana na mtririko wa habari nilizopata, inaonekana, pengine, William anapalilia unga wake anaposema kuwa umoja-tegemewa wa wa-Tanzania Metropolitan NY umepata blessings za Balozi!

- Kwa taarifa yako ni kwamba uamuzi wa Mwenyekltiwa muda kwenda kutafuta blessing za balozi aliufanya hata kabla ya kunifahamisha kwamba ananihitaji kwenye hiki chama, I mean by then nilikua hata sijui kama kuna mpango wa kuanzishwa hiki chama, kwa hiyo hayo hapo juu ni majungu na uzushi, sihitaji kujihusisha na hiki chama ili mke wangu kuendelea na kazi pale, kwa hiyo mkuu again haya ni majungu,

- Mwenyekiti wa Muda Bwana Khaji, aliponifahamisha kuhusu hiki chama alinifahamsiah pia kwamba ameshapata blessing za wazee wengi wa NY akiwemo Balozi, haya yako mkuu ni majungu tena ya mchana sana. Sasa Khaji yuko kwao Zanzibar nimemuomba akirudi aende pia na DC kutafuta blessing za balozi wetu kule kama tulivyoshauriwa na wengine hapa.




Hayo ya William Malecela ya kujiweka mbelembele (CO - Community Organizer) na msemaji wa wa-Tanzania) kupitia Ofisi ya u-Balozi wa Tanzania kwenye UM (Umoja wa Mataifa), sio mapya. Ana sababu ya kupalilia unga wa kazi kwa mke wake.

Na kama Balozi akitaka kuwaalika wa-Tanzania atatumia ma-Afisa wake, sio William Malecela.

Kwa nini William Malecela anawafanyia ma-Afisa wau-Balozi wajibu wao? Soma tangazo lifuatalo:

“Tangazo: Bash la Balozi NYC Haya Tukutane Wakuu! W. J. Malecela 11th August 2009, 03:10 AM: Wakulu wote JF, na wananchi wenzangu wote mnaoishi US na hata nje, na hasa New York City na vitongoji vyake...”

Ninaomba kuwekwa sawa, endapo habari hii niliyopata si ya kweli!

- Mkuu naomba utafute tangazo la majuzi la msiba wa Balozi Mwakawago, Professor aliyelitangaza amesema ni kwa niaba ya ubalozi NY kwa hiyo again ninasikitika sana kwamba badala ya nyinyi watu kama wewe muandishi mkubwa sana wa vitabu duniani kutusaidia ushauri wa kukisimamisha chama hiki cha wananchi, leo unajijngiza kwenye majungu na uzushi ambao hata kichwa hauna, hivi Tanzania tumelogwa na nani? Hivi wakati ninawasaidia vijana wasio na pa kulala mbona sikuwahi kusikia haya ya kujipendekeza?

- Jamani muwaonee huruma wananchi wenzenu ambao walijitokeza Harlem na kuanzisha rasmi hiki chama, mimi nitaendelea na juhudi zangu za kukitangaza hiki chama pamoja na haya majungu na uzushi maana tumeyazoea, ila inasikitisha yanaporushwa na wasomi, hapo ndio inatia kinyaa sana.

- Again mkuu hakuna ukweli wa haya maneno ila ni uzushi na uongo wa mchana, Mungu atujalie chama kitaendeelea Mwenyekiti wa muda anarudi jumatatu na akifika tu ataenda DC kutafuta baraka za Balozi na wazee wengine kule.

Ahsante Sana.


William. (Community Organizer)
 
Ninaomba kuwekwa sawa, endapo habari hii niliyopata si ya kweli!

- Mkuu nimejaribu sana kukusaidia ukweli maana uliyopewa yote ni uongo wa mchana na ni majungu, ninashukuru sana kwamba uliweka hili chana hapa kwamba huna uhakika na unachosema. Kwani wale wafanyajkazi wengien pale ubalozini wanapaliliwa na nani kuendeleza kazi zao?

- Sihitaji kufanya anything kupalilia kazi ya mke wangu ambayo amekua akiifanya toka akiwa Belgium, sasa alipokuwa huko alipaliliwa na nani? Mkuu achana na majungu haya yanaturudisha nyuma wa-Tanzania

Ahsante
.

William. (Community Organizer)
 
Date: Thu, 25 Feb 2010 16:48:02 -0500

Ndugu wapendwa,

Kwa niaba ya Balozi Dr. Agustine Mahiga na mimi mwenyewe nasikitika kuwatangazia kuwa Balozi Mstaafu Mhe. Daudi Ngelautwa Mwakawago aliyekuwa Balozi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa tangu mwaka 1994 hadi 2003 hapa New York, amefariki dunia leo katika hospitali ya Agakhan.

Mipango ya maziko inaendelea huko Dar es Salaam na Iringa na Marehemu Balozi Mwakawago anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumamosi tarehe 27 Februari 2010 mjini Dar es Salaam.

Professor
Kwa nini William Malecela anawafanyia ma-Afisa wau-Balozi wajibu wao? Soma tangazo lifuatalo:

"Tangazo: Bash la Balozi NYC Haya Tukutane Wakuu! W. J. Malecela 11th August 2009, 03:10 AM: Wakulu wote JF, na wananchi wenzangu wote mnaoishi US na hata nje, na hasa New York City na vitongoji vyake..."

Ninaomba kuwekwa sawa, endapo habari hii niliyopata si ya kweli!

Bash La Mwaka NYC: Wakulu Tukutane Huko
W. J. Malecela
user_offline.gif
2nd June 2009, 02:05 AM


Ndugu zangu wote JF, salaaam kwa wote ninaomba kuwafahamisha kwamba kwa kushirikiana na wananchi wengine kama kumi hivi, tunatayarisha bash kabambe la mwaka litakalo fanyika huko NYC, kwa maajaliwa ya Mungu itakuwa tarehe 27, June 2009.

- Shughuli zitaanza Saa Saba mchana kwa kuchoma nyama, vinywaji baridi, na muziki mzito sana mpaka Saa Mbili Usiku, katika Park moja maarufu sana pale NYC yaani Wilson Woods, Westchester, dakika kama 15 kutoka Manhattan, halafu usiku kutakuwa na Muziki wa Disco utakaoanza Saa Nne mpaka asubuhi ya tarehe 28, June 2009 katika ukumbi maarufu sana wa Alamo ambao uko hapo hapo karibu sana na hii Park zitakapoanzia hizi shughuli.

- Kimsingi ni Bash la kumuaga mshikaji wetu mmoja, nimeamua tu kuwapa hints mapema ili wale wa mbali tuanze kujitayarisha mapema, badala ya kuwashitukiza dakika za mwisho, na baadaye nitawafahamisha details zote muhimu mipango itakapokamilika ambayo kwa sasa bado iko kwenye duru za awali, lakini ninawaahidi wale wote wenye nia ya kufika huko kwamba kama kawaida yangu sitawaangusha tutaondoka wote tukiwa tumeridhika, tuombe Mungu tu hali ya hewa iwe kama ilivyo sasa, ninaamini kwamba itakuwa isipokuwa basi tutafahamishana any mabadiliko.

- Kwa niaba ya wenzangu wote tunaohusika, ninawakaribisha ndugu zangu wote wa JF na wengine wote kufika huko, hatuhitaji mchango isipokuwa tunaamini kwamba utakuwa considerate na kutokuja mikono mitupu siku ya siku itakapofika.

Ahsanteni Sana.

Wenu

William Malecela.





Sunday, February 15, 2009
msiba new york
PENDO MAGALUDA AMETUTOKA

Tumepokea taarifa kutoka kwa Bwana Abel Magaluda kuwa mke wake mpenzi Mrs. Pendo Magaluda amefariki dunia katika hospitali ya Rochester, New York, tarehe 13 Februari 2009 saa mbili na nusu usiku.
Kutoa heshima za mwisho:
Rochester: Jumatatu (16 Februari 2009) - kutakuwa na utaratibu wa kutoa heshima za mwisho kwa Marehemu Pendo Magaluda kuanzia saa nane mchana hadi saa kumi jioni.

Mahali: Rochester Memorial Chapel 1210 Cover Road, Rochester Telephone: 585-797-3553
New York: Ubalozi wa Tanzania, New York utaendelea kuwapa taarifa lini na wapi heshima za mwisho zitatolewa kabla ya kusafirisha mwili Tanzania mara mipango ya kusafirisha itakapokamilika.
Michango
Michango ya hali na mali inaombwa ili kuweza kulipia gharama zifuatazo:
(1) tiketi ya kurejea nyumbani Tanzania, Mama Mlezi wa Marehemu (2) gharama za kusafirisha personal effects za Marehemu (3) gharama za funeral home kwa siku mbili hapa New York wakati wa kusubiri safari.
Unaweza kutuma Mchango wako kupitia

HSBC BANK routing
No:022000020.
ACCOUNT NO: 526410230 yenye jina la
MAGOBE MAGALUDA NA PENDO MAGALUDA.
Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana wasiliana na
Bwana Abel Magaluda (Mume wa Marehemu) simu namba 1 347 238 9250, pia wafuatao:

Mr. Amos Shindika TEL -1 203 300 4122 na
Mr. William Malecela TEL-1 914 664 1518.
Tunaomba tushirikiane na familia ya Bwana Abel Magaluda katika kipindi hiki kigumu. Tafadhali watangazie na Watanzania wengine.



- Mkuu Esteemed ninaamini utapitia matangazo yote hapo juu na kujionea mwenye uzushi uliouleta kwamba ni nothing but majumgu na uzushi na ndio unatukwamisha wa-Tanzania kila siku hatuwezi kusonga mbele majungu, majungu, chuki, wivu, fitina fitina maendeleo hakuna!

Respect.

FMEs!

 
hivi W Malecela na FMES sauti ya umeme wana uhusiano gani?
huu mjadala na ule mjadala wa baba mtu na Sofia Simba naona kama wana fanana.

Anyway hawa ndio waliotufikisha hapa tulipo, ni bora kuwapuuuza, hawana cha uzalendo wala nini. wanachumia matumbo yao tu.
 
Back
Top Bottom