Mkuu Malecela,
Naona na kakiburi tayari kameshawapanda hata kabla ya chama kuwa hai. Inaelekea mnataka kujibu maswali mnayoyapenda tu maana nyie ni above all others. Tufahamisheni basi ni maswali yepi ni ya kuwarudisha nyuma ambayo hamtaki kuyajibu ili tujue jinsi ya kuwauliza maswali.
Sijui hizi tabia za baadhi ya watumishi wa ubalozini/serikalini wanaotegemea kinga za wazee wa CCM zitaisha lini ili kila ubongo wa Mtanzania uweze kutumika kwa manufaa ya nchi.
Kama mnataka kuunda chama kwa ajili ya waTanzania kisichofungamana na siasa za nyumbani, basi inabidi kwanza muache hizi tabia zenu za kufikiria kuwa nyie wa ubalozini ni bora zaidi kuliko wengine. Otherwise msikiite chama cha waTanzania bali kiiteni cha watumishi wa ubalozini na wapambe wao.
Tatizo la watu kama hawa na wengine wanaojipenyeza kupata connections za ubalozi wanapenda sana kujitia kuanzisha vitu vya waTZ waishio nje wakati lengo ni kujinufaisha wenyewe binafsi. Cheap popularity ndizo zinazowafanya waongee hata vitu visivyokua na mshiko. Wanafikiri mawazo yao tu ndio lazima yawe sahihi,wanalimit idea za wenzao,that's so unbecoming!
When we are talking of critical thinking today some one from the so called jumuia ya wabongo huko comes up with things like "mawazo ya kurudi nyuma, ambayo kwa kweli hatutayajibu kabisaa maana tunataka kusonga mbele"
Haya "kila lakheri ktk kusonga mbele" ndio nature ya majibu unayotaka.