Chama Kipya cha Siasa Kusajiliwa

Chama Kipya cha Siasa Kusajiliwa

slaa amechuja, amebaki kuweweseka tu. chama kinamfia amebaki na matamko yasiyo na tija. hadi mwaka huu uishe atakuwa amebaki yeye na mbowe peke yao.

Huko nyuma hukuwa hivyo lazima utakuwa umeingiliwa wewe!
 
Kwani lazima ikombolewe na Chagadema?

Unataka ikombolewe na Waha?? Hawa waha type ya Kabourou? Hao ambao ukiwapa visenti tu wanakuwa tayari kutoa hadi wake zao? Afadhali kaskazini imetoa japo waziri mkuu...watu wa kigoma hata wakitoa ta.ko hawataupata huo u-pm, wataishia kutumika kufifisha juhudi za ukombozi
 
Badala ya kufungua makampuni ya kuwekeza hasa kwenye KILIMO na UFUGAJI, watu kila siku na madegree yao ni kufikiri kufungua vyama vya siasa tu -- KUNA BIASHARA GANI HUKO????


Waulize walioko huko.
 
MIMBA HAINA TABU SANA , shida ipo kwenye kulea mtoto ! Hata NLD NAYO SI IMESAJILIWA ?
 
Chama cha ACT ni kweli kipo na nimeshaona kadi kadi ya mwanachama mmoja wapo , wanaendelea tu kuvuna members kwa kufujo ila sanax2 mkoani kigoma na wilaya zake maana Zitto ndipo anapokubalika sana na ndugu zake ila wasix2 wangu tu ni hiki chama pia kuja kuonekana cha kikabila hivi karibuni......🙂
 
Mkuu DR. Slaa, mwachae Kitila aanzishe chama chake wakiwa na ZZK. Hiyo ndiyo demokrasia ya vyama vingi. Pia ni kitendo tu kizuri kwani kama walipenda kui Overide CDM wakashindwa then let them overide their party. Let them do it now coz Nape is there to fund them.
 
ACT planB CCM kufifisha CDM 2015!!! Majukumu yake na nguvu yake itakuwa mwisho 2015!!! Sponsorship as usual ni kodi zetu!!! Mikutanao ya hadhara watajaa wana SSM ili kuonesha kuwa kinapendwa!!! ZZK na kundi lake walijipanga sema CDM tuliwaambia muda mrefu na wakachelewa kuwatimua hawa watu!!! ZZK si CDM, CDM ni watanzania tu na ZZK hakupaswa kuogopwa. Si mnaona japo mmmechelewa kumwondoa lakini pia hana popularity yoyote na watu kumbe walikuwa wanamchukua tu. Hata ZZK mwenyewe hakuamini kuwa no public reaction towards his dismissal!!! Ha ha ha!!! na ACT nakuwambia hamtaiweza CDM!!! CDM ni mkombozi wa wanyonge. Period!!
 
Chama cha ACT ni kweli kipo na nimeshaona kadi kadi ya mwanachama mmoja wapo , wanaendelea tu kuvuna members kwa kufujo ila sanax2 mkoani kigoma na wilaya zake maana Zitto ndipo anapokubalika sana na ndugu zake ila wasix2 wangu tu ni hiki chama pia kuja kuonekana cha kikabila hivi karibuni......🙂
Mweleze mkuu, nafikiri hajajitambu akuwa hatambuliki kwingineko zaidi ya kwao!!! Usaliti wake hakuna atakayeweza kuukubali hata kidogo!!! Chama kitakufa tu hiki!!! ZZK saliti mabari mosi, hafiki mbali kisiasa!!! Tusubiri 2015 tuone!!
 
kipo kinachoitwa CHAMADE------Chama cha Maendeleo na Demokrasia .....kimepata usajili wa muda tangu mwezi Januari
 
Badala ya kufungua makampuni ya kuwekeza hasa kwenye KILIMO na UFUGAJI, watu kila siku na madegree yao ni kufikiri kufungua vyama vya siasa tu -- KUNA BIASHARA GANI HUKO????

biashara ya siasa haina kodi wala huhangaiki kulipa wafanyakazi, ni wao ndio wanakuchangia pesa na serikali inakuongezea ruzuku juu yake

SHTUKA
 
hao madiwani wanajivua uanachama wakati zito bado ni mwanachadema na anakula posho za bunge kwa nafasi ya mbunge, hii inashangaza
 
Mh. Dr. Slaa katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo akiwa Iringa amesema wamebariki madiwani 2 walioomba kujiuzulu Shinyanga, hiyo ndiyo Demokrasia ya kweli, madiwani hao moja ya sababu kubwa ya kujiuzulu ni kwamba wanamuunga mkono Mh. Zitto , Mh. Dr. Slaa amesema kuna taarifa pia kuwa chama cha ACT kiko mbioni kusajiliwa na baadhi ya wale waliovuliwa uanachama CHADEMA.Kama ni kweli chama hicho kitasajiliwa na viongozi wake ni miongoni mwa waliovuliwa uanachama CHADEMA, basi Dr. Kitila Mkumbo atakuwa ni mtu wa kuogopwa kama UGONJWA WA KUFISHA, ataogopwa na kizazi kilichoshuhudia usaliti wake na kizazi kitakacho kuja kuzaliwa na kusimuliwa kisa hiki.Kama watafanya kosa hilo la kusajili chama hicho , natabiri wakiweza kupata wanachama hata elfu kumi kwa nchi nzima basi ntajua watanzania wengi hatunazo akili. Dr. Kitila amekuwa akinukuliwa na magazeti baada ya usaliti wake kukwama na kuvuliwa uanachama akisema tunahitaji chama mbadala cha upizani zaidi ya CHADEMA kumbe malengo yake yalikuwa ni hayo. Huyu mtu ni msomi mzuri lakini nashawishika kusema siasa sio mahali pake alikosea njia, na kama ni mahali pake basi anauchu mbaya sana na tamaa ya madaraka.Tunahitaji kuikomboa Tanzania kwa kuiondoa CCM madarakani
Mtakaa tu!hakuna ubaguzi usio na malipo!
 
hata hivyo hicho chama watakachoanzisha hadi kiimarike sio leo, chadema imeshapanuka na ina wanachama wengi sana, hata akiondoka mbowe na slaa bado cdm kwa hatua iliyofikia kuna vijana wengi wasomi na machachari wanaiweza kazi , bado hawajapewa nafasi ya kujulikana tu
 
nashukuru Mungu kitila hakuwahi japo kunisimamia kufanya test UDSM.

msomi hopeless kama lile li-dokta la REDET
 
Back
Top Bottom