Chama Kipya cha Siasa Kusajiliwa

Chama Kipya cha Siasa Kusajiliwa

Chadema itaathiriwa na ACT yake na ccm naye itaathiriwa na makada wake,
hapo kuna zero impact
 
Wanaweseka kama wametembelewa na kibwengo hakuna ukomo wa kusajili vyama watulize akili na kujiandaa anguko kuu mwakani
 
slaa amechuja, amebaki kuweweseka tu. chama kinamfia amebaki na matamko yasiyo na tija. hadi mwaka huu uishe atakuwa amebaki yeye na mbowe peke yao.

najua mnatamani sana kuiona cdm kina kufa,hii yote inatokana na nguvu mlizoziwekeza katika kuihujumu badala ya kuwekeza nguvu nyingi ili mtekereze ilani yenu mliyoinadi 2010. Ila poleni sana kwa kufeli misheni zenu katika kuhiujumu chadema.
 
ImageUploadedByJamiiForums1393527588.364035.jpg
 
Mleta mada anasema chama hiki hakiwezi kupata hata wanachama 25 elfu nyambafu mkowa wa singida tu kimepata wanachama 42 elfu halafu kwa taharifa yako ni kwamba Act tayari ilishapata uwanachama wa mda kama wewe nahuyo mzinifu ulikuwa bado hamja juwa ianabidi ufahamu sio tetesi hapo unaposema urusi kazi imekwisha bado tu utaona majibu ndio mana muhamedi mtoi alianza kulalamika kama kuku aneasubiri kuchinjwa sisi kule ndio kwetu hata kama tupo dar lakini kigoma ndio kwetu wewe ujuwi kuwa 1992 cdm kilizinduliwa kigoma? Sasa kinazikwa tena kigoma nyambafu
 
act ni chama cha wasomi hakiongozwi na dj aliepata division ziro
 
mkuu. zito hajawahi kuhama
chama kama hawa makanjanja wa
chadema
1.lema~ alikuwa ccm, akaenda tlp,
sasa chadema, ni mroho wa
madaraka, pesa na jambazi la
magari lililostaafu.
2.mbowe~alikuwa ccm, na sasa
chadema, alikuwa dj. ni mpiga dili
maarufu na msanii...amewauzia
magari mabovu chadema kwa bei
ya juu sana, amejimilikisha gazeti
la chadema TANZANIA DAIMA,
anakopesha chama kwa riba ya juu
sana
3. slaa- alikuwa ccm na sasa
chadema, ni padri alieasi kanisa,
ana kashfa ya kula hela za kanisa
kwenye ujio wa papa. ,
amejikopesha hela za ruzuku ya
chama kinyume na taratibu za
chama. ameshinikiza chama
kimlipe mshahara mkubwa kama
mbunge, kadi yake ya ccm bado
anayo na anailipia kila mwezi
4.mtei- alikuwa ccm na sasa
chadema . aligoma kupigania
uhuru na nyerere. mtei ndio
anachagua viongozi wa chama pale
shambani kwake tengeru, kamati
kazi yake ni kupitisha tu viongozi
aliowachagua, ki ufupi ni dikteta
 
chadema na washangaa sana,,aise!
Huyu babu mzinzi kawapa nini sijui, vijana sikuhizi mnashidwa hata kuwa na fikira za kujitegemea!? Juzijuzi tu hapa mlikuwa mnalalamika ,,mara zitto aanzishe chama atuachie chama chetu wakaskazin ,sasa kashakianzisha leo mnasema kitakufa hakifiki mbali maneno mengi ya nini,,tulia dawa ya kabwe iwaingie sawasawa,
Ubaguzi ndo umewamaliza.
 
Kuna wadau mamekunywa maji ya bendera humu ndani...wana mawazo mtindi(mgando)
 
1. mnahitaji kuikomboa tanzania
2. mnahitaji kuiondoa ccm madarakani.........................
tafsiri ya sentensi hizo ni kwamba

1. mnawalaghai watanzania kuwa nyie ni wakombozi kumbe mna uchu wa madaraka hata kwa kumwaga damu
2. lengo lenu ni kuiondoa ccm, kipenzi cha watanzania, sio kuikomboa nchi ambayo imekombolewa mwaka 1961
3. rejea maneno ya kitila kuwa ni heri mkoloni mweusi (ccm) kuliko mkoloni mwekundu (chadema).
NB MALENGO YENU BATILI HAYATAFANIKIWA KAMWE.

Hiyo ccm ni wenye akili za kushikiwa tu ndo wanaweza kuwa wapenzi wake. Kwa taarifa yako hata mafisadi hawaipendi ccm ila wanaitumia tu kwa ajili ya kufanikisha biashara zao!
 
1. mnahitaji kuikomboa tanzania
2. mnahitaji kuiondoa ccm madarakani.........................
tafsiri ya sentensi hizo ni kwamba

1. mnawalaghai watanzania kuwa nyie ni wakombozi kumbe mna uchu wa madaraka hata kwa kumwaga damu
2. lengo lenu ni kuiondoa ccm, kipenzi cha watanzania, sio kuikomboa nchi ambayo imekombolewa mwaka 1961
3. rejea maneno ya kitila kuwa ni heri mkoloni mweusi (ccm) kuliko mkoloni mwekundu (chadema).
NB MALENGO YENU BATILI HAYATAFANIKIWA KAMWE.

Asante kwa signature yako kwa wenzako!
 
chadema na washangaa sana,,aise!
Huyu babu mzinzi kawapa nini sijui, vijana sikuhizi mnashidwa hata kuwa na fikira za kujitegemea!? Juzijuzi tu hapa mlikuwa mnalalamika ,,mara zitto aanzishe chama atuachie chama chetu wakaskazin ,sasa kashakianzisha leo mnasema kitakufa hakifiki mbali maneno mengi ya nini,,tulia dawa ya kabwe iwaingie sawasawa,
Ubaguzi ndo umewamaliza.

imekuuma eti! BASI NENDA AKUZINI WEWE MANAKE NAONA UNALIA WIVU SIJUI!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom