Na mimi nitajiunga na hicho chama kije haraka. Slaa badala ya kumnadi huyo Tendega wake bado anapiga stor za kina Kitila
teh.....teh......teh.......kuhama chama nayo ni demokrasia kama mtu akihama chama usikimbilie kuanza kumkashifu na kusema kama akipata wafuasi basi watanzania hatuna akili hayo ni matusi makubwa kwa watanzania na hayakisaidii chama chako, wewe unachotakiwa kufanya ni kujipanga na kuangalia mnafanya nini ili kuvutia wapiga kura wa vyama vingine na sisi ambao hatuna vyama ambao kwa mujibu wa takwimu ndiyo kundi kubwa.Mh. Dr. Slaa katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo akiwa Iringa amesema wamebariki madiwani 2 walioomba kujiuzulu Shinyanga, hiyo ndiyo Demokrasia ya kweli, madiwani hao moja ya sababu kubwa ya kujiuzulu ni kwamba wanamuunga mkono Mh. Zitto , Mh. Dr. Slaa amesema kuna taarifa pia kuwa chama cha ACT kiko mbioni kusajiliwa na baadhi ya wale waliovuliwa uanachama CHADEMA.
Kama ni kweli chama hicho kitasajiliwa na viongozi wake ni miongoni mwa waliovuliwa uanachama CHADEMA, basi Dr. Kitila Mkumbo atakuwa ni mtu wa kuogopwa kama UGONJWA WA KUFISHA, ataogopwa na kizazi kilichoshuhudia usaliti wake na kizazi kitakacho kuja kuzaliwa na kusimuliwa kisa hiki.
Kama watafanya kosa hilo la kusajili chama hicho , natabiri wakiweza kupata wanachama hata elfu kumi kwa nchi nzima basi ntajua watanzania wengi hatunazo akili. Dr. Kitila amekuwa akinukuliwa na magazeti baada ya usaliti wake kukwama na kuvuliwa uanachama akisema tunahitaji chama mbadala cha upizani zaidi ya CHADEMA kumbe malengo yake yalikuwa ni hayo. Huyu mtu ni msomi mzuri lakini nashawishika kusema siasa sio mahali pake alikosea njia, na kama ni mahali pake basi anauchu mbaya sana na tamaa ya madaraka.
Tunahitaji kuikomboa Tanzania kwa kuiondoa CCM madarakani
1. mnahitaji kuikomboa tanzania
2. mnahitaji kuiondoa ccm madarakani.........................
tafsiri ya sentensi hizo ni kwamba
1. mnawalaghai watanzania kuwa nyie ni wakombozi kumbe mna uchu wa madaraka hata kwa kumwaga damu
2. lengo lenu ni kuiondoa ccm, kipenzi cha watanzania, sio kuikomboa nchi ambayo imekombolewa mwaka 1961
3. rejea maneno ya kitila kuwa ni heri mkoloni mweusi (ccm) kuliko mkoloni mwekundu (chadema).
NB MALENGO YENU BATILI HAYATAFANIKIWA KAMWE.
ni kweli kabisa tunahitaji chama mbadala wa ccm lakini chadema NO.Mh. Dr. Slaa katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo akiwa Iringa amesema wamebariki madiwani 2 walioomba kujiuzulu Shinyanga, hiyo ndiyo Demokrasia ya kweli, madiwani hao moja ya sababu kubwa ya kujiuzulu ni kwamba wanamuunga mkono Mh. Zitto , Mh. Dr. Slaa amesema kuna taarifa pia kuwa chama cha ACT kiko mbioni kusajiliwa na baadhi ya wale waliovuliwa uanachama CHADEMA.
Kama ni kweli chama hicho kitasajiliwa na viongozi wake ni miongoni mwa waliovuliwa uanachama CHADEMA, basi Dr. Kitila Mkumbo atakuwa ni mtu wa kuogopwa kama UGONJWA WA KUFISHA, ataogopwa na kizazi kilichoshuhudia usaliti wake na kizazi kitakacho kuja kuzaliwa na kusimuliwa kisa hiki.
Kama watafanya kosa hilo la kusajili chama hicho , natabiri wakiweza kupata wanachama hata elfu kumi kwa nchi nzima basi ntajua watanzania wengi hatunazo akili. Dr. Kitila amekuwa akinukuliwa na magazeti baada ya usaliti wake kukwama na kuvuliwa uanachama akisema tunahitaji chama mbadala cha upizani zaidi ya CHADEMA kumbe malengo yake yalikuwa ni hayo. Huyu mtu ni msomi mzuri lakini nashawishika kusema siasa sio mahali pake alikosea njia, na kama ni mahali pake basi anauchu mbaya sana na tamaa ya madaraka.
Tunahitaji kuikomboa Tanzania kwa kuiondoa CCM madarakani
Badala ya kufungua makampuni ya kuwekeza hasa kwenye KILIMO na UFUGAJI, watu kila siku na madegree yao ni kufikiri kufungua vyama vya siasa tu -- KUNA BIASHARA GANI HUKO????
Slaa ni laghai! Hana cha kampeni wala nini, hotuba zake zoote ni repitative, hana jipya! Sasa kampeni za Kalenga na Ujio wa chama kipya ndio wanakalenga wanataka kujua? Wanahitaji sera za chagadema na sio ma stori ya marudio! Kutwa tembo, madawa,fisadi, watu wameshasikia sana habari hizo Slaa sema ndani ya miaka mitano Kalenga mtaifanyia nini na Hilo Tendegu lenu la kitanda!
Kila la kheri wapenda mabadiliko ya kweli.
gazeti la udaku la tanzania daima la mbowe?