Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 688
hana jpya.
akishiriki katika mahojiano kwenye star t.v dr benson bana amesikika akirudia mara kadhaa kwamba kwa sasa hakuna chama mbadala zaidi ya ccm.msimamo wake unajengwa na hoja kwamba ccm ilishinda urais kwa asilimia 60,ccm ina wabunge wengi,serikali za mitaa zinaongozwa na ccm(asilimia 90).[/QUOTE
cRAP, SASA TENDWA AKIKIFUTA NCHI ITAKUWA BILA VIONGOZI? WE BANA WAKATI MWINGINE UNADUMAZAA UPEVU WA FIKRA ZA MABADILIKO. UWE UNAKAA KIMYA KAMA HUNA HOJA, SI LAZIMA KILA KITU UWE NA CHA KUSEMA.
Akishiriki katika mahojiano kwenye star T.V Dr benson bana amesikika akirudia mara kadhaa kwamba kwa sasa hakuna chama mbadala zaidi ya ccm. Msimamo wake unajengwa na hoja kwamba CCM ilishinda urais kwa asilimia 60, CCM ina wabunge wengi, serikali za mitaa zinaongozwa na ccm(asilimia 90).
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
tatizo wasomi wanakuwa wanazungumza huku wakiwa na maslahi fulani,,, nahis bwana B Bana anaogopa kivuli chake mwenyewe na sidhani kama kweli kauli yake ina uhalisia... mzee kapitiwa katika hilo, tumsamehe
Anachoongea ni kweli kbs,, Mpaka sasa vyama vya upinzani bd havijaonyesha mfano wa kuongoza zaidi ya kupiga kelele2,, wanachojivunia zaidi ni mwamko wa wananchi kutaka wawapigie kura lakini wamejipanga vp ktk kuendeleza taifa hili? Au ni kuwatoa madarakani ccm tuu? Mm naungana na dr. Banna kuwa bd hakuna mbadala ingawa ccm kuonyesha mapungufu katk baadhi ya maeneo lakini bd ni chama imara kwanza kinaruhusu mawazo tofauti kutoka ndani ya chama na nje ya chama chake, leo hii chama gani kinathubutu hvyo?. Kwa mfano cdm mm naona ni kama chombo cha habari na cyo chama cha siasa , kwa nn, wamekua wakihubiri matukio zaidi badala ya kueneza sera zao kwa watanzania sasa uwezo wao wa kutetea hayo wanayo yaamini unapimwa vp?. Wajipange na kama mawazo yao ni kuondoa ccm bs cy chama , kwani na ccm nao wakija na mkakati wa kuua upinzani patakuwa vp hapo kwa cc wananchi wa kawaida?
akishiriki katika mahojiano kwenye star t.v dr benson bana amesikika akirudia mara kadhaa kwamba kwa sasa hakuna chama mbadala zaidi ya ccm.msimamo wake unajengwa na hoja kwamba ccm ilishinda urais kwa asilimia 60,ccm ina wabunge wengi,serikali za mitaa zinaongozwa na ccm(asilimia 90).