jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Hangover ya kukulia katika mfumo wa chama kimoja. Unfortunately, it is too late for him to change. Kwamba hataki mabadiliko haimanishi kwamba hayatatokea. Poleni my colleague BB!
Nakubaliana nawe, uwezo wa kufikiri nje ya box hawana. inawezekana kiapo hiki kimewaathiri sana (Naapa naahidi mbele ya chama, mapinduzi nitakulinda mpaka kufa!!!!!) kidogo tunachoweza kujadili ni kuwa waliapa kukilinda chama mpaka kife au mpaka wao wafe!!!!!